Wazungu waanza kuambiana ukweli

Wazungu waanza kuambiana ukweli

Mkuu,

Hata huo mchezo wa soccer si utamaduni wa Waarabu.

Huo ni mchezo uliotokea Uingereza.

Sasa, huoni kwamba hata huo mchezo kwenda kufanya World Cup Qatar ni kuruhusu kusambaa kwa ustaarabu wa Muingereza Qatar?

Kwani Waarabu hawana michezo yao?

Kwa nini wanaruhusu michezo ya Waingereza Qatar iende kusambaza utamaduni wa Waingereza?
Kwa waislamu michezo ni haramu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mwarabu anaona ushoga na pombe ni jambo haram mno lakin mwarab ndiye top kwa kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile tena mwanamke wa kiarabu yupo tayari aitunze bikra yake ya mbususu ila akupe ANAL.

ila ili jambo limefunikwa na halizungumziwi, wanawake wengi wa kiarabu hawana marinda totali
Huu unafiki wa waarabu ndio nao pambana nao humu..shida wake za waarabu wa jf hawataki kuelewa hilo kwa sababu mahaba yamewazidia.

Hao Qatar ni wanafiki wangeweka hizo terms and conditions za kabla ya kuomba kupigiwa kula ya kuhost WC..cha ajabu walikua kimya baada ya kupata mwezi mmoja kabla ndio wakaibuka na visheria na miongozo miingi...walikua wapi kuisema hivyo before all this.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wazungu wengi hawajazoea hizo sheria za Qatar, wamezoea kujiachia kwao wanapokuwa kwenye starehe zao, sasa inawauma kwamba watalipa pesa nyingi kutoka Ulaya kwenda Qatar halafu hawata enjoy ki hivyo. Watu wameshazoea wanaposafiri kwenda World Cup sio tu wanaenda kuangalia mpira bali na mambo mengine ya pembeni. Qatar wamewapiga wazungu na kitu kizito kichwani[emoji16]
Wazungu nafkiri hili kombe la dunia kwenda qatar imewauma sana sijajua kwanini maana propaganda dhidi ya qatar zimekua nyingi sana kutoka nchi za ulaya. Sioni nchi zingine zikilalamika. Mara waruhusu mashoga mara waruhusu bia uwanjani.
 
unaona akili zenu
hamjawahi kuwa na hoja zaidi ya hiyo marinda, inaonekana unapenda sana kukagua watu marinda, baadae tupo mrejesho kama babako bado anayo au lah
View attachment 2421793
Labda nikuulize wewe , kama unayo hayo marinda , mm baba yangu ameshatangulia mbele ya khaki kazi kwako Sasa wewe uende kumuuliza huko aliko

Licheki kwanza Domo bayaaa
 
Swagger jacking ni kitendo cha mtu kuiba swagger ya mtu mwingine. A special sort if "culture appropriation".

Yani, mtu si gay, ameshiriki katika kuhakikisha gays wamefunikwa huko Qatar.

Halafu anakuja bila aibu anajifanya amesimama na ushirikiano na gays anajiona na yeye kama gay.

Ameyatumia maumivu ya gays kutengwa kwa faida yake ya kisiasa, kibaya zaidi, na yeye kashiriki katika kuwakandamiza hao gays wafunikwe kama wakoma huko Qatar.

Yani hata kama mtu hukubaliani na gays, unatakiwa uone kwamba huyu jamaa ana hadaa ya hali ya juu.

Bora asingewataja tu hao gays akasema tu mambo kivyakevyake.

Yani haiwezekani yeye mtu mmoja awe kiongozi wa FIFA iliyokubali gays wapigwe marufuku World Cup, halafu hapo hapo anajidai kusimama pamoja na gays.

It is sheer hypocrisy.
Kama gay hawakubaliki huko Qatar, kwa nini wanalialia.......they are doing an abomination na bado wanataka kuwa recognized! wakae hukohuko ambako wameruhusiwa, siyo kulazimisha kwenda kuchafua jamii za watu wengine...
 
mnakataa pombe ila miji mliojaa nyie ndio inaongoza kwa ufirauni m@m#3 zenu na hata kipindi mkia mfungoni biashara ya kitimoto huwa inadoda halafu mnakuja kuandika upuuzi tu
nawachana ukweli kama ban fresh tu
Mbona unakuja na ghadhabu na kuandika uzushi tu ambao haujathibitishwa?
 
Infantino: "Today I feel Qatari, I feel Arab, I feel African, I feel gay, I feel disabled, I feel a migrant worker.... For what we Europeans have been doing around the world in the last 3,000 years we should be apologising for the next 3,000 years before starting to give moral lessons"
Huyu Infantino kilaza kweli kweli hivi anafahamu wazungu walikuwa wakiishi namna gani miaka 3000 iliyopita? Kumbuka tangu Yesu Kristo amezaliwa ni miaka 2000 imepita!

Amejidhalilisha!
 
Huyu Infantino kilaza kweli kweli hivi anafahamu wazungu walikuwa wakiishi namna gani miaka 3000 iliyopita? Kumbuka tangu Yesu Kristo amezaliwa ni miaka 2000 imepita!

Amejidhalilisha!
Yaani wewe ndio kilaza kweli kwa hiyo dunia imeanza wakati wa Yesu? kulikuwa na mitume na mitume kabla ya Yesu kweli elimu yetu inachangamoto sana. Nenda kasome
 
Yaani wewe ndio kilaza kweli kwa hiyo dunia imeanza wakati wa Yesu? kulikuwa na mitume na mitume kabla ya Yesu kweli elimu yetu inachangamoto sana. Nenda kasome
Ujinga wako unakupotosha miaka 3000 iliyopita wazungu walikuwa wanafanya nini na walikuwa na hali gani? Acha kukumbatia elimu yako ya giza!
 
Ujinga wako unakupotosha miaka 3000 iliyopita wazungu walikuwa wanafanya nini na walikuwa na hali gani? Acha kukumbatia elimu yako ya giza!
Researchers believe that H. sapiens only truly became a global species during a later migration, spreading out across much of Asia and down into Australia after about 60,000 years ago. Even then, the earliest dates for the arrival of modern humans in Europe come in at roughly 42,000 years ago.
 
Ujinga wako unakupotosha miaka 3000 iliyopita wazungu walikuwa wanafanya nini na walikuwa na hali gani? Acha kukumbatia elimu yako ya giza!
Soma wewe acha uvivu umeshindwa hata kufundishwa shule hujui history ya dunia na nani alikwambia Yesu kutoka europe? binadamu wana history kabla ya dini na mitume. wewe unajuwa miaka mingapi baina ya Moses na Yesu baina yao? miaka zaidi 1300 nenda kasome history
 
Ujinga wako unakupotosha miaka 3000 iliyopita wazungu walikuwa wanafanya nini na walikuwa na hali gani? Acha kukumbatia elimu yako ya giza!
Calender tunayotumia leo wa Roman walianzisha na kuhesabu wakati wa Yesu sio kwamba ndio dunia na history imeanza hapo kuna miaka mingi baina ya mitume na mitume maelfu ya miaka mpaka kwa kina Yohana huko, nakupa elimu ya bure tu
 
Wazungu wengi hawajazoea hizo sheria za Qatar, wamezoea kujiachia kwao wanapokuwa kwenye starehe zao, sasa inawauma kwamba watalipa pesa nyingi kutoka Ulaya kwenda Qatar halafu hawata enjoy ki hivyo. Watu wameshazoea wanaposafiri kwenda World Cup sio tu wanaenda kuangalia mpira bali na mambo mengine ya pembeni. Qatar wamewapiga wazungu na kitu kizito kichwani[emoji16]
Itabidi tu wazoee Kwani hawawezi ku enjoy bila kunywa pombe uwanjani au kuruhusu ushoga? Pombe wameshaambiwa ni ruksa ila sio uwanjani. Hii ni kawaida na nchi nyingi tu wanafanya ivo hawaruhusu pombe uwanjani. Na ushoga pia ni kinyume na sheria za nchi sasa wanataka sheria ibadilishwe kwajili yao tu. Kwaio wachina wahindi warabu waafrica wote wafate sheria wanayotaka mzungu tena kwenye nchi ambayo sio yao. Hii sio sawa.
 
Infantino: "Today I feel Qatari, I feel Arab, I feel African, I feel gay, I feel disabled, I feel a migrant worker.... For what we Europeans have been doing around the world in the last 3,000 years we should be apologising for the next 3,000 years before starting to give moral lessons"
Operation ya mrusi Ukraine inawafanya wazungu wawe na akili na watesema meng ni swala la muda mabeberu huku kwao hali sio hali yanakaza tu fuvu[emoji38]
 
Kwenye pombe naona jamaa wamezingua ila sio mbaya kama ni uwanjani tu basi tutakuja na stimu kichwani ila hawa mashoga hawafaii tokomeza ushoga
....sio tu Qatar kila mahali shoga akionekana auwawe mara moja.
 
Calender tunayotumia leo wa Roman walianzisha na kuhesabu wakati wa Yesu sio kwamba ndio dunia na history imeanza hapo kuna miaka mingi baina ya mitume na mitume maelfu ya miaka mpaka kwa kina Yohana huko, nakupa elimu ya bure tu
Nadhani vitabu hivyo vya kishetani na majini ndivyo vimekuharibu ubongo! Mimi sijasema Yesu ni mzungu lakini ustaarabu wa sasa tulionao umeanzia Mashariki ya Kati. Hivyo miaka 2000 iliyopita wazungu hawakuhusika na cho chote katika dhulma walizofanyiwa waarabu wala waafrika, bali zilifanywa na waarabu wenyewe kwa wenyewe na waafrika miongoni mwao.

Kuwahusisha wazungu na mateso waliyopata waarabu na waafrika miaka hiyo ni ukilaza na ujinga usio na viwango!
 
Nadhani vitabu hivyo vya kishetani na majini ndivyo vimekuharibu ubongo! Mimi sijasema Yesu ni mzungu lakini ustaarabu wa sasa tulionao umeanzia Mashariki ya Kati. Hivyo miaka 2000 iliyopita wazungu hawakuhusika na cho chote katika dhulma walizofanyiwa waarabu wala waafrika, bali zilifanywa na waarabu wenyewe kwa wenyewe na waafrika miongoni mwao.

Kuwahusisha wazungu na mateso waliyopata waarabu na waafrika miaka hiyo ni ukilaza na ujinga usio na viwango!
Wewe nashingaa hata kwanini nakujibu sababu ujijue kuanzia leo hauko sawa na kama kuna sehemu ulisoma basi kuna shida kubwa huna hoja eti wazungu walikuwa wapi? walikuwepo kama ulivyokuwepo wewe na bahati mbaya ni hao hao wazungu walisema walikuja kugundua maziwa yetu na bara letu. kaa na ujinga wako unataka kujifananisha akili zako na raisi wa FIFA, unadhani angekuwa kilaza zile media za jana zingemwacha na hilo. Media gani umeona wame question miaka 3000? Kwa hiyo kilaza umebaki wewe
 
Mambo mengine yanashangaza kweli aisee , kule Qatar watu wameenda kucheza Mpira , lakini wanashadadia pombe kama wameenda kule kunywa pombe na kufanya ufirauni mwingine , kana kwamba pombe na ufirauni ndio vimewapeleka kule , wamesahau kua Mpira ndio umewapeleka kule
Hao jamaa wanaongoza kwa kujitoa fahamu na wakiambiwa wanakuwa wwkali Sana...utoke na pombe kwenu ukanywee kwenye nyumba za watu .....shuwain!!!!!
 
Wewe nashingaa hata kwanini nakujibu sababu ujijue kuanzia leo hauko sawa na kama kuna sehemu ulisoma basi kuna shida kubwa huna hoja eti wazungu walikuwa wapi? walikuwepo kama ulivyokuwepo wewe na bahati mbaya ni hao hao wazungu walisema walikuja kugundua maziwa yetu na bara letu. kaa na ujinga wako unataka kujifananisha akili zako na raisi wa FIFA, unadhani angekuwa kilaza zile media za jana zingemwacha na hilo. Media gani umeona wame question miaka 3000? Kwa hiyo kilaza umebaki wewe
Ona ulivyo mwehu! Umesoma wapi wazungu wanasema waligundua maziwa yetu miaka 3000 iliyopita?

Media wasingeanza kumuhoji Infantino kuhusu ukilaza wake kwani hoja iliyopo ni nchi ya Qatar haikustahili kupewa hadhi ya kuandaa mashindano ya kombe la dunia.
 
Back
Top Bottom