Telewolth bin champion
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 2,386
- 6,473
Takataka kuwahi kuwepo JF..na huyu nae anajiita great thinker[emoji23][emoji23][emoji23].
Hakuna race yenye akili kuzidi ngingine acha mawazo ya kimasikini.
Ulimwengu mzima na technolojia zote zimebase kwenye kutegemeana na kusaidiana, hakuna race iliyofanya makubwa mpka kufikia hatua ya kusema ina uwezo mkubwa, hao wazungu sijui mnawatafsiri vip, maendeleo yao ni sawa na watu wa Asia, ambao hamuwapendi hao waarabu, wachina, Russia, wahindi n.k je unawezaje kuconclude kuwa wana akili ijapokuwa wako sawa kimaendeleo na race zingine?
Theory nying na gunduzi nying za kitabibu na kitechnolojia zimebase kwenye ancient societies ambazo hao wazungu wako unaowaabudu hawapo ktk hiyo list, na jamii hizo ndizo mnatumia mabaki ya fikra zao kuendeleza maisha ya kizazi hiki.
Acha upumbavu, hao wazungu wako wamependa wenyewe kuegemea kwenye ushoga, utoaji mimba na usagaji ndiomaana hawaongezeki, sas nayo hiyo ni akili? Ungekuwa unafikiri ni bora ungemtaja mchina kwa akili maana ndiye kakufanya uingie JF na kuperuzi mitandaoni kupitia huruma yake ya kuwapa grade za simu zinazoendana na umasikin wenu/wako, hii dunia bila usawa ingeangamia,
Hakuna race yenye akili kuzidi ngingine acha mawazo ya kimasikini.
Ulimwengu mzima na technolojia zote zimebase kwenye kutegemeana na kusaidiana, hakuna race iliyofanya makubwa mpka kufikia hatua ya kusema ina uwezo mkubwa, hao wazungu sijui mnawatafsiri vip, maendeleo yao ni sawa na watu wa Asia, ambao hamuwapendi hao waarabu, wachina, Russia, wahindi n.k je unawezaje kuconclude kuwa wana akili ijapokuwa wako sawa kimaendeleo na race zingine?
Theory nying na gunduzi nying za kitabibu na kitechnolojia zimebase kwenye ancient societies ambazo hao wazungu wako unaowaabudu hawapo ktk hiyo list, na jamii hizo ndizo mnatumia mabaki ya fikra zao kuendeleza maisha ya kizazi hiki.
Acha upumbavu, hao wazungu wako wamependa wenyewe kuegemea kwenye ushoga, utoaji mimba na usagaji ndiomaana hawaongezeki, sas nayo hiyo ni akili? Ungekuwa unafikiri ni bora ungemtaja mchina kwa akili maana ndiye kakufanya uingie JF na kuperuzi mitandaoni kupitia huruma yake ya kuwapa grade za simu zinazoendana na umasikin wenu/wako, hii dunia bila usawa ingeangamia,