Wazungu wahamasishwe kuzaa sana, kugoma kuzaliana kwa wingi kuna hatari mbeleni dunia itajaa wajinga watupu

Wazungu wahamasishwe kuzaa sana, kugoma kuzaliana kwa wingi kuna hatari mbeleni dunia itajaa wajinga watupu

Takataka kuwahi kuwepo JF..na huyu nae anajiita great thinker[emoji23][emoji23][emoji23].

Hakuna race yenye akili kuzidi ngingine acha mawazo ya kimasikini.

Ulimwengu mzima na technolojia zote zimebase kwenye kutegemeana na kusaidiana, hakuna race iliyofanya makubwa mpka kufikia hatua ya kusema ina uwezo mkubwa, hao wazungu sijui mnawatafsiri vip, maendeleo yao ni sawa na watu wa Asia, ambao hamuwapendi hao waarabu, wachina, Russia, wahindi n.k je unawezaje kuconclude kuwa wana akili ijapokuwa wako sawa kimaendeleo na race zingine?

Theory nying na gunduzi nying za kitabibu na kitechnolojia zimebase kwenye ancient societies ambazo hao wazungu wako unaowaabudu hawapo ktk hiyo list, na jamii hizo ndizo mnatumia mabaki ya fikra zao kuendeleza maisha ya kizazi hiki.

Acha upumbavu, hao wazungu wako wamependa wenyewe kuegemea kwenye ushoga, utoaji mimba na usagaji ndiomaana hawaongezeki, sas nayo hiyo ni akili? Ungekuwa unafikiri ni bora ungemtaja mchina kwa akili maana ndiye kakufanya uingie JF na kuperuzi mitandaoni kupitia huruma yake ya kuwapa grade za simu zinazoendana na umasikin wenu/wako, hii dunia bila usawa ingeangamia,
 
Mzungu anafikiri kabla ya kutenda, kuzaa ni jukumu kubwa, mtoto anastahili malezi mazuri sio kuzaa na kuanza kubahatisha.

Mtu mwenye akili anajipanga kabla ya kuzaa.

Ukitaka angalia mataifa yanayoongoza kwa natality rate utaelewa
Ushoga ni akili? Hao wazungu wasioongezeka wanawazid vp watu wa uarabuni, uchina, uhindini huko kwenye idadi kubwa ya watu? Achen kuwaabudu watu weupe kisa ivyo viutandawazi vya kijinga
 
Sio akili ni fursa wazungu wanajicho la kuziona na jinsi ya kuzitumia hizo fursa kiutamaduni waafrika tuko na ujinga wakuridhika haraka "instant gratification" ni kwa sababu ya kukulia kwenye utajiri tuna kila kitu.

Tungezaliwa jangwani akili ingetukaa sawa. Hivyo ni ishu ya utamaduni zaidi kuliko rangi.
Bongo mbna watu wanajituma sana hv hamtembei? Shida sio watu, shida ni serikali yenu kutojali maisha ya raia wake, huwezi kupiga hatua kama hakuna sapoti ya serikalo, hizo fursa bila , vitendea kazi na sapoti ya serikali ni kazi bure, acheni Utumwa
 
Na hivi wanachochea na kuhamasisha LGBTQ ndio basi tena.....
 
Takwimu zinaonyesha uzazi kupungua sana miongoni mwa wazungu walioko Ulaya, America, Canada na Australia. Wengi hawataki kuzaa au wakizaa na katoto kamoja au viwili wengine hawataki sababu wanejitumbukiza ndoa za jinsia moja.

Ieleweke kuwa wazungu ndio wenye DNA yenye. watu wenye akili mno duniani kuliko races zingine.

Sasa hivi nchi kama uingereza, maeneo mengi wazungu wameanza kuwa wachache kuliko races zingine

Tatizo litakalotokea ni kuwa dunia itakosa population ya wenye akili na tutafika mahali marekani na ulaya na Canadsa na Australia wanajazana walizaliana kizazi cha wajinga wenye DNA isiyo na akili wenye asili ya Asia na Africa kulikojaa wajinga ambao hawawezi gundua chochote cha maana kwenye ulimwengu wa teknolojia kama ilivyo kwa wazungu

Niwaombe wazungu wazaliane sana waiachie dunia watu wenye DNA zenye akili nyingi. Wasipofanya hivyo dunia huko mbeleni itakuwa ngumu ku advance kiteknolojia na nchi kama Marekani na ulaya ambazo sasa tunaziona superior zitakuwa level moja tu na za kwetu sababu population itakayokuweko kule ndio hiyo hiyo iko nchini kwetu ya waswahili wenzetu walewale wajingawajinga
Jamaa una bonge la pointi. Hivi fikiria dunia ibaki na watu kama wafuasi wa ngo ya Mh. mbowe si ni balaa, yaani Mh. Lema na Mh. Lisu huko ulaya si mambo yatakuwa mabaya sana
 
Jamaa una bonge la pointi. Hivi fikiria dunia ibaki na watu kama wafuasi wa ngo ya Mh. mbowe si ni balaa, yaani Mh. Lema na Mh. Lisu huko ulaya si mambo yatakuwa mabaya sana
Kabisa
 
Ushoga ni akili? Hao wazungu wasioongezeka wanawazid vp watu wa uarabuni, uchina, uhindini huko kwenye idadi kubwa ya watu? Achen kuwaabudu watu weupe kisa ivyo viutandawazi vya kijinga
Mada iliyopo mezani ni kuzaa, sio ushoga.

Pili, hapa tunaongelea wazungu sio wachina.

Hivi wewe kwa akili zako unadhani kwa nini nchi iliyoko kwenye equator, maana yake mwaka mzima hakuna extreme condition bado tunashindwa kupata maendeleo
 
Sio akili ni fursa wazungu wanajicho la kuziona na jinsi ya kuzitumia hizo fursa kiutamaduni waafrika tuko na ujinga wakuridhika haraka "instant gratification" ni kwa sababu ya kukulia kwenye utajiri tuna kila kitu.

Tungezaliwa jangwani akili ingetukaa sawa. Hivyo ni ishu ya utamaduni zaidi kuliko rangi.
Angalia black community ya USA, ina tofauti gani na wamatumbi wa Manzese?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Wazungu/Usa ukitoa mitaji wanafanya cha maana sasa hivi? Tech zote za kisasa zipo Asia sasa hivi, hao wazungu sasa hivi wapo Busy kumwaga mpunga kina TSMC walete viwanda Magharibi, Nyanja Zote za Technology Duniani hazifanyiki bila Japan, Korea na China nao hawapo Mbali, kuna kina Taiwan etc.

Its just matter of time, ila power ina Shift toka Ulaya kwenda Asia.
Mkuu Kuna ukweli kwenye andiko lako.....
Wanasema hawa Asians walikuwa magiant kwenye technology hata kabla ya unyanganyi na ukoloni wa wazungu.....so wanachokifanya Kwa Sasa wanarudi kwenye hali zao za zamani
 
Mkuu
Umepotoka

Mfalme suleiman anasema "yeye ni mweusi mweusi lakini ni MZURI enyi mabinti wa kimisri""!wimbo uliobora 1:5, kuna mtu mwenye akili na hekima kama suleiman!!?

Pia Ayubu anasisitiza kwamba "ngozi yangu ni nyeusi nayo yanitoka"

Ayubu 5:1---

Nenda kasome mwenyewe!

Sisi ndio waisrael tuliobarikiwa akili na rasilimali zote

Sema!

Tulimkataa masihi hivyo LAANA ya utumwa na umaskini inatuhusu!

Hivyo tu!!mweusis
Yaani sisi Ni WAISRAEL?HOW?Hebu acha kabisa huu upuuzi..
Suleiman na Ayubu waligundua Nini?
 
Mkuu Kuna ukweli kwenye andiko lako.....
Wanasema hawa Asians walikuwa magiant kwenye technology hata kabla ya unyanganyi na ukoloni wa wazungu.....so wanachokifanya Kwa Sasa wanarudi kwenye hali zao za zamani
Waafrika naona hatuna chetu tokea enzi hizo
 
Angalia black community ya USA, ina tofauti gani na wamatumbi wa Manzese?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa marekami wakioifamya kuwa hivyo imeendelea wazingu wa marekani

Waafrika wa marekani hawana tofauti na sidi waafrika tulioko Africa kwa kuwa na akili ndogo .Tofauti yao kubwa kati yao na sisi ni moja wao raia wa Marekani sisi raia wa Afrika lakini kwenye udogo wa akili hatuchekani ni wamatumbi walewale

Mfano Marekani wazungu wote waondoke leo Marekani haitakuwa tofauti na nchi za Afrika kwenye kila maeneo ikiwa siasa za kiswahili

Hata Afrika kusini wanayoifanys Afrika kusini iwe juu sana ni wazungu walioko kule
Yaani waxungu wahamasishwe kuzas.waache ubahili
kubania mbegu zao za kiume na kike dunia inahitaji DNA yao yenye akili
 
Takwimu zinaonyesha uzazi kupungua sana miongoni mwa wazungu walioko Ulaya, America, Canada na Australia. Wengi hawataki kuzaa au wakizaa ni katoto kamoja au viwili wengine hawataki sababu wamejitumbukiza ndoa za jinsia moja.

Ieleweke kuwa wazungu ndio wenye DNA yenye. watu wenye akili mno duniani kuliko races zingine.

Sasa hivi nchi kama uingereza, maeneo mengi wazungu wameanza kuwa wachache kuliko races zingine

Tatizo litakalotokea ni kuwa dunia itakosa population ya wenye akili na tutafika mahali marekani na ulaya na Canadsa na Australia wanajazana walizaliana kizazi cha wajinga wenye DNA isiyo na akili wenye asili ya Asia na Africa kulikojaa wajinga ambao hawawezi gundua chochote cha maana kwenye ulimwengu wa teknolojia kama ilivyo kwa wazungu

Niwaombe wazungu wazaliane sana waiachie dunia watu wenye DNA zenye akili nyingi. Wasipofanya hivyo dunia huko mbeleni itakuwa ngumu ku advance kiteknolojia na nchi kama Marekani na ulaya ambazo sasa tunaziona superior zitakuwa level moja tu na za kwetu sababu population itakayokuweko kule ndio hiyo hiyo iko nchini kwetu ya waswahili wenzetu walewale wajingawajinga
Akili ni nini na inapatikana wapi?
 
Mzungu anafikiri kabla ya kutenda, kuzaa ni jukumu kubwa, mtoto anastahili malezi mazuri sio kuzaa na kuanza kubahatisha.

Mtu mwenye akili anajipanga kabla ya kuzaa.

Ukitaka angalia mataifa yanayoongoza kwa natality rate utaelewa
Kabisa mkuu,siyo tuzae kuwatesa watoto
 
This is from a white supremacist masquerading as a black person. Soma historia za ugunduzi na uvumbuzi wa watu weusi kopte duniani. Aliyekudanganya watu weusi hawana akili ni nani.
Achana na mambo history taja vitu viwili hapo ndani kwako amegundua muafrica
 
Sio swala la Andiko wewe ukoo.wenu na kabila lenu lote mna nini cha kiteknoljia mlichogundua kinachosaidia dunia?

Tanzania yote tuna miaka 60 ya uhuru.na wasomi kibao tumegundua nini kiteknolojia?

Mwenye macho hambiwii tazama
Mpemba effect imegunduliwa na Mtanganyika
 
Back
Top Bottom