Wazungu walikataa mfumo wa ndoa wa asili sasa wameangukia kwenye ushoga

Wazungu walikataa mfumo wa ndoa wa asili sasa wameangukia kwenye ushoga

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kinachotokea ulaya hakijaja kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya watu kukataa mfumo wa asili wa ndoa ya mwanaume na mwanamke

Asilimia kubwa ya mafeminist ni wasagaji na asilimia kubwa ya wanaume wanaokataa ndoa wanahatari ya kuangukia kwenye ushoga

Kuvunjika kwa maadili kulikokithiri zama hizi ni matokeo ya kuyumba kwa ndoa kundi kubwa la watoto wanalelewa na mama tu huku wababa wakiingia mitini
Kwa mtoto wa kiume mama yake hawezi mfundisha kuwa a real man

Kama wewe ni kataa ndoa na unazalisha wanawake wewe ni sehemu kubwa sana ya matatizo ya kileo yakiwemo ongezeko la ushoga, usagaji na kuvunjika kwa maadili

Kuwa na kizazi nyoronyoro ni matokeo ya watoto wengi kulelewa na mzazi mmoja hasa mama a real man zama hizi wanazidi kupotea

Kuongezeka kwa wanaume wanaopenda kulelewa ni matokeo ya kataa ndoa sababu wanaume hawataki tena kuwajibika bali wanataka kulelewa

Wanaume leo hii wanalilia haki sawa na wanawake ni kawaida kusikia kataa ndoa anakuambia ndoa inawabeba sana wanawake mara ni utapeli kwa lugha nyingine huyu mtu anataka haki sawa na mwanamke kwelii anasahau mwanamke ni kiumbe dhaifu
Mwanaume aliyekamilika hawezi lalamikia mfumo wa ndoa uliopo
 
Mwanaume atakataaje ndoa kama hajawahi kuingia ndoani na kukutana na changamoto? Kataa ndoa wana hoja na si kuwanasibisha na ushoga. Yaani mtu akatae ndoa halafu ajiingize kwenye ushoga? Kataa ndoa ni wanaume kamili walioamua kufanya mapenzi na wanawake bila kuishi pamoja no matter watazaa watoto. Wanaume hao hawataki kuumizwa, kusalitiwa na kutishiwa maisha na wanawake. Hali kadhalika kataa ndoa wa kike nao hawataki kubanwa na kuishi chini ya mwanaume kwa kuwa wanajiweza kifedha, ndio hao single mother, huwaambii kitu kuhusu ndoa japo watoto wanapata
 
Kinachotokea ulaya hakijaja kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya watu kukataa mfumo wa asili wa ndoa ya mwanaume na mwanamke

Asilimia kubwa ya mafeminist ni wasagaji na asilimia kubwa ya wanaume wanaokataa ndoa wanahatari ya kuangukia kwenye ushoga

Kuvunjika kwa maadili kulikokithiri zama hizi ni matokeo ya kuyumba kwa ndoa kundi kubwa la watoto wanalelewa na mama tu huku wababa wakiingia mitini
Kwa mtoto wa kiume mama yake hawezi mfundisha kuwa a real man

Kama wewe ni kataa ndoa na unazalisha wanawake wewe ni sehemu kubwa sana ya matatizo ya kileo yakiwemo ongezeko la ushoga, usagaji na kuvunjika kwa maadili

Kuwa na kizazi nyoronyoro ni matokeo ya watoto wengi kulelewa na mzazi mmoja hasa mama a real man zama hizi wanazidi kupotea

Kuongezeka kwa wanaume wanaopenda kulelewa ni matokeo ya kataa ndoa sababu wanaume hawataki tena kuwajibika bali wanataka kulelewa

Wanaume leo hii wanalilia haki sawa na wanawake ni kawaida kusikia kataa ndoa anakuambia ndoa inawabeba sana wanawake mara ni utapeli kwa lugha nyingine huyu mtu anataka haki sawa na mwanamke kwelii anasahau mwanamke ni kiumbe dhaifu
Mwanaume aliyekamilika hawezi lalamikia mfumo wa ndoa uliopo
Inasikitisha sana
 
Nasikia Wazungu nao walianza hivi hivi huko miaka ya nyuma sasa hivi wanafukunyuana viungo vya kutolea haja kubwa.

Huku bora tuwe washamba, turudi kwenye zile mila zetu za kale, kijana akifikisha umri anapewa eneo na mzee, inachinjwa ng'ombe mnakula nyama, mzee wa boma anachomewa pumbu za ng'ombe anakula kijana anavuta mke.
 
mashoga na wasagaji wanafunga ndoa mbona

ushoga na usagaji ni jinsia tata, wala hazina uhusiano na ndoa
 
Nasikia Wazungu nao walianza hivi hivi huko miaka ya nyuma sasa hivi wanafukunyuana viungo vya kutolea haja kubwa.

Africa bora tuwe washamba, turudi kwenye zile mila zetu za kale, kijana akifikisha umri anapewa eneo na mzee, inachinjwa ng'ombe mnakula nyama, mzee wa boma anachomewa pumbu za ng'ombe anakula kijana anavuta mke.
Wazee wenu wanayo hata hayo maeneo ya kuwapa mfuge hata kuku??
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wazee wenu wanayo hata hayo maeneo ya kuwapa mfuge hata kuku??
Tunayo mkuu. Kubalini kuodoka mijini tu, Tanganyika tuna mapori yanaishi nyoka na papasi. Ukisafiri mikoani huoni mapori kibao?
 
Hawapo tayari kusikia hili. Nakazia, uwepo wa baba mwenye hulka ya ubaba ni muhimu kwa ustawi wa familia
 
Wazungu wanakuja mfano Zanj wapo wanaendaga mpaka eneo maarufu la mafarasi kupata vijana WA kiafrika Kwa ajili ya mapenzi. Kwa sababu huko kwako kuna ombwe la wanaume.
 
Kinachotokea ulaya hakijaja kwa bahati mbaya bali ni matokeo ya watu kukataa mfumo wa asili wa ndoa ya mwanaume na mwanamke

Asilimia kubwa ya mafeminist ni wasagaji na asilimia kubwa ya wanaume wanaokataa ndoa wanahatari ya kuangukia kwenye ushoga

Kuvunjika kwa maadili kulikokithiri zama hizi ni matokeo ya kuyumba kwa ndoa kundi kubwa la watoto wanalelewa na mama tu huku wababa wakiingia mitini
Kwa mtoto wa kiume mama yake hawezi mfundisha kuwa a real man

Kama wewe ni kataa ndoa na unazalisha wanawake wewe ni sehemu kubwa sana ya matatizo ya kileo yakiwemo ongezeko la ushoga, usagaji na kuvunjika kwa maadili

Kuwa na kizazi nyoronyoro ni matokeo ya watoto wengi kulelewa na mzazi mmoja hasa mama a real man zama hizi wanazidi kupotea

Kuongezeka kwa wanaume wanaopenda kulelewa ni matokeo ya kataa ndoa sababu wanaume hawataki tena kuwajibika bali wanataka kulelewa

Wanaume leo hii wanalilia haki sawa na wanawake ni kawaida kusikia kataa ndoa anakuambia ndoa inawabeba sana wanawake mara ni utapeli kwa lugha nyingine huyu mtu anataka haki sawa na mwanamke kwelii anasahau mwanamke ni kiumbe dhaifu
Mwanaume aliyekamilika hawezi lalamikia mfumo wa ndoa uliopo
Jumalokolw NI mzungu?
 
Mwanaume atakataaje ndoa kama hajawahi kuingia ndoani na kukutana na changamoto? Kataa ndoa wana hoja na si kuwanasibisha na ushoga. Yaani mtu akatae ndoa halafu ajiingize kwenye ushoga? Kataa ndoa ni wanaume kamili walioamua kufanya mapenzi na wanawake bila kuishi pamoja no matter watazaa watoto. Wanaume hao hawataki kuumizwa, kusalitiwa na kutishiwa maisha na wanawake. Hali kadhalika kataa ndoa wa kike nao hawataki kubanwa na kuishi chini ya mwanaume kwa kuwa wanajiweza kifedha, ndio hao single mother, huwaambii kitu kuhusu ndoa japo watoto wanapata
Hao watoto wanaozalisha wanawake hasa wanaume nani atakayewafundisha kuwa wanaume
Kusalitiwa, na kuumizwa ni sehemu za maisha mwanaume uliyekamilika unaogopaje changamoto na hili ni tatizo la wanaume wa sasa kuogopa changamoto

Kuna point unasema kutishiwa na mwanamke hakuna mwanamke aliyekamilika akatishiwa na mwanamke ukiona unatishiwa na mwanamke basi wewe ni mwanaume suruali
 
Back
Top Bottom