Wazungu walikataa mfumo wa ndoa wa asili sasa wameangukia kwenye ushoga

Wazungu walikataa mfumo wa ndoa wa asili sasa wameangukia kwenye ushoga

Nasikia Wazungu nao walianza hivi hivi huko miaka ya nyuma sasa hivi wanafukunyuana viungo vya kutolea haja kubwa.

Huku bora tuwe washamba, turudi kwenye zile mila zetu za kale, kijana akifikisha umri anapewa eneo na mzee, inachinjwa ng'ombe mnakula nyama, mzee wa boma anachomewa pumbu za ng'ombe anakula kijana anavuta mke.
Wazee wa sasa hawana jipya, kutoa eneo ni mtihani.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Tatizo la wazungu wanakitu chao kinaitwa trans-gender.

Mtoto wa kike anazaliwa anafika miaka 10 anaambiwa achague jinsia vile vile kwa wakiume akizaliwa anaambiwa achague jinsia.......what a fucknnnn,

unamwona ni wakike then swali la jinsia linatoka wapi???
 
Back
Top Bottom