Wazungu walikataa mfumo wa ndoa wa asili sasa wameangukia kwenye ushoga

Wazee wa sasa hawana jipya, kutoa eneo ni mtihani.
 
Reactions: Tsh
Tatizo la wazungu wanakitu chao kinaitwa trans-gender.

Mtoto wa kike anazaliwa anafika miaka 10 anaambiwa achague jinsia vile vile kwa wakiume akizaliwa anaambiwa achague jinsia.......what a fucknnnn,

unamwona ni wakike then swali la jinsia linatoka wapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…