Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Wakuu nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwa sasa Addis Ababa Bole International Airport

IMG_9610.jpg
 
Sijawahi kuwa chawa hata siku moja fuatilia mabandiko yangu utaufahamu msimamo wangu tangu enzi za Mzee wa ukweli na uwazi.
Haijalishi picha, nani angeamini Mdee yupo kwetu! Watanzania wanahitaji franctional of second kubadilika
 
Kupiga picha bila ridhaa ya wahusika ni jambo gumu isitoshe hii nchi ipo kijelajela wana Vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Rizika na ninachokuambia.Kama kuna mwanaJF uwanja wa KIA na Karume anaweza kushuhudia nyomi itakayoshuka baada ya saa moja kuanzia sasa.
Binafsi nakuamini hili wala sina shaka nalo.

Nikikumbuka ule uzi wa general tyre najua huyu mtu ni wa level gani na hapa huwa una heshima yako kubwa sana kwangu.
 
Sijawahi kuwa chawa hata siku moja fuatilia mabandiko yangu utaufahamu msimamo wangu tangu enzi za Mzee wa ukweli na uwazi.
Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?

Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.
 
Back
Top Bottom