Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Etwenge, extrovert & co fools watapinga 😂😂
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Safi sana aise

Ova
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Hao wenzetu wana more direct flights to Nairobi kuliko sisi

We are doing very well…. I am sure takwimu zitaongea

But Bole might be a wrong indicator
 
Nyie Bawacha ndio maana Mbowe aliwananga muwe na heshima mitandaoni.. Hivi unafikiri watalii kuongezeka wanaofaidika ni CCM pekee? Acha roho mbaya
UWT akili zenu hazina akili, kipindi hiki ni msimu wa joto Ulaya ndiyo maana wanaita high season lazima watalii waje kwa wingi na ni miaka yote isipokuwa 2020 na 2021 corona
 
Kupiga picha bila ridhaa ya wahusika ni jambo gumu isitoshe hii nchi ipo kijelajela wana Vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Rizika na ninachokuambia.Kama kuna mwanaJF uwanja wa KIA na Karume anaweza kushuhudia nyomi itakayoshuka baada ya saa moja kuanzia sasa.
Niko KIA mafuriko balaa....hii July na August ni MAVUNO!!!!
 
Yeah hii ni kweli hata source zangu zinasema royal tour inaleta mafuriko
Hata kama ni ujinga lakini hili la kusema hiyo Royal Tour imeongeza watalii ni ujinga uliopitiliza. Tena ni ushamba na ulimbukeni wa hali ya juu sana. Lack of exposure. Hakuna kipya ambacho wazungu watalii walikuwa hawakijui kuhusu ''safari'' kwenye ile filamu. Mnajiingiza kwenye ubishani wa kijinga kabisa.
 
UWT akili zenu hazina akili, kipindi hiki ni msimu wa joto Ulaya ndiyo maana wanaita high season lazima watalii waje kwa wingi na ni miaka yote isipokuwa 2020 na 2021 corona
Ila sehemu za kwenda zipo nyingi sio Tanzania pekee. Au unafikiri huko kwao wanaambia au kuchaguliwa pa kwenda?

Kama wanakuja kwa wingi kwetu ukilinganisha na huko nyuma lazima tufurahie..
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom