The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hao watalii ndio wamemwambia huyo aliye comment kua wanakimbia joto au ametoa tu maoni yake kwa kutumia hisia zake tu?Hujasoma comment inayosema wanakimbia joto 😂
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watalii ndio wamemwambia huyo aliye comment kua wanakimbia joto au ametoa tu maoni yake kwa kutumia hisia zake tu?Hujasoma comment inayosema wanakimbia joto 😂
Nilichosema sio mtaala wala sheria, you're free kukinzana ila kuita ujinga views zisizofanana na zako ni utoto.Hata kama ni ujinga lakini hili la kusema hiyo Royal Tour imeongeza watalii ni ujinga uliopitiliza. Tena ni ushamba na ulimbukeni wa hali ya juu sana. Lack of exposure. Hakuna kipya ambacho wazungu watalii walikuwa hawakijui kuhusu ''safari'' kwenye ile filamu. Mnajiingiza kwenye ubishani wa kijinga kabisa.
Haters huwa hamkosekani 🤣🤣Picha ziko wap...
Ama ndo uchawa tunaousema
Kuna mjinga ame like huu uharo..He, Wazungu watalii toka Ethiopia! Huu sasa utani.
Maji, barabara,mashule na soko la bidhaa.Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?
Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.
Ma fool watapinga na kukuita chawa 😄😄Yeah hii ni kweli hata source zangu zinasema royal tour inaleta mafuriko
Hiyo ndio nyota ya SSH..Mwenye Enzi Mungu yuko upande wetu Tanzania [emoji1241]
Wivu 😆😆,haters huwa hamkosekani.Mnaweweseka sana,ni muda wa NYUMBU kurejea Maasai Mara toka huko kwenyu Serengeti.
Utalii mmeanza kuuelewa juzi tu bichwa tayari .
Kalb wahed.
Utasikia Royal Tour haina faida. Walisikika walevi wa k vantWaku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.
Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.
Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Inawezekana ni hadithi ya kweli au ya kutunga, kama hakuna vithibitishoSijawahi kuwa chawa hata siku moja fuatilia mabandiko yangu utaufahamu msimamo wangu tangu enzi za Mzee wa ukweli na uwazi.
Hatupambani na Kenya bali tutawaacha kwa mbali saaaana.
Utasikia Royal Tour haina faida. Walisikika walevi wa k vant
Bora sisi tunapambana kupandisha uchumi wetu kuliko wao wanapambana kukwamisha maendeleo yetu.Badala tupambane kupanda kama Kenya sisi tuna pambana kuwashusha wakenya sijui nani katuloga?
Kwa Ksh kuwa juu ndiyo uchumi kuwa juu? Angalia fedha ya Japan iko chini.Hamtakaa muwaweze Kenya maana tayari wapo juu sana kiuchumi.
Shilingi moja ya Kenya nyie mnaipata kwa sh 23 zenu za madafu
Aliyekwambia wazazi wake wapo kijijini nani? Kwani wazazi wote wapo kijijini? Mimi ni mzazi sipo kijijini unopened kuleta akili za ccm hapa.Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?
Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.
Labda walimnong'oneza.Hao watalii ndio wamemwambia huyo aliye comment kua wanakimbia joto au ametoa tu maoni yake kwa kutumia hisia zake tu?
😂😂