Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

He, Wazungu watalii toka Ethiopia! Huu sasa utani.
Mkuu tembea.....

Hizo ni connection tuu... Hapo Addis Ababa.. (Bole Int) ni meeting point.. Za ndege kutoka sehemu mbalimbali.. Kisha wanakuja Kilimanjaro au Zanzibar/ Dar

Juzi tuu nina ndugu alitokea Canada.. Kuja KIA lakini connection alipata Istanbul (Turkey) kutumia Turkish airlines... Katika ndege ya kuja Kilimanjaro ilikuwa na watu 260 lakini watanzania hawakuzidi 15 ndani ya ndege...

Kipindi hiki watu huko majuu wanakipenda kwa ajili ya mapumziko..

Corona iliharibu biashara sana Arusha... Ila naona inarecover na Serikali itapata mapato...
 
..kumefanyika SURVEY yoyote kujua kwamba watalii wanaokuja sasa hivi wamevutiwa kuja Tz baada ya kuangalia Royal Tour?

..Ili ujue Royal Tour imefanikiwa au la ni lazima udadisi / utafiti kwa kuuliza Watalii wanaotua Tz kama wameiona filamu hiyo, na zaidi kama filamu hiyo ndiyo iliyowasukuma kufanya maamuzi ya kuja Tz.
Mjuaji wewe kafanye hiyo survey. Hamkosagi defensive mechanism. Ujuaji ukizidi utaonekana kituko. Kuutangaza utalii ni shid.?
 
Mjuaji wewe kafanye hiyo survey. Hamkosagi defensive mechanism. Ujuaji ukizidi utaonekana kituko. Kuutangaza utalii ni shid.?

..kuutangaza utalii ni jambo zuri.

..Ni jambo zuri zaidi kujihakikishia kama matangazo yetu ya Utalii yanatupatia matokeo tunayoyataka, au tunayoyatarajia.

..Kwa upande wa Royal Tour, baada ya kuirusha, ni vizuri tukadadisi imeangaliwa na watu wangapi.

..Zaidi, ni lazima tudadisi Royal Tour imeleta watalii wangapi hapa nchini.

..Sasa ili kufahamu hilo hatuna budi kufanya survey kwa watalii wanaokuja nchini kujua kama wameshawishiwa na Royal Tour.

Cc Phillipo Bukililo
 
..kuutangaza utalii ni jambo zuri.

..Ni jambo zuri zaidi kujihakikishia kama matangazo yetu ya Utalii yanatupatia matokeo tunayoyataka, au tunayoyatarajia.

..Kwa upande wa Royal Tour, baada ya kuirusha, ni vizuri tukadadisi imeangaliwa na watu wangapi.

..Zaidi, ni lazima tudadisi Royal Tour imeleta watalii wangapi hapa nchini.

..Sasa ili kufahamu hilo hatuna budi kufanya survey kwa watalii wanaokuja nchini kujua kama wameshawishiwa na Royal Tour.

Cc Phillipo Bukililo

Changamoto jingine ni kujua nafasi ya ATC katika hili soko la watalii wanaokuja TZ.

Kama hata ET itaendelea kuwa tegemeo la watalii wetu basi ile hoja ya kwamba tukiwa na ndege zetu wenyewe tutawaleta “direct” toka Ulaya kwa gharama nafuu inakosa maana. Anyway, it’s professionally complicated than that awkward justification.
 
Changamoto jingine ni kujua nafasi ya ATC katika hili soko la watalii wanaokuja TZ.

Kama hata ET itaendelea kuwa tegemeo la watalii wetu basi ile hoja ya kwamba tukiwa na ndege zetu wenyewe tutawaleta “direct” toka Ulaya kwa gharama nafuu inakosa maana. Anyway, it’s professionally complicated than that awkward justification.

..wamelazimisha kununua ndege lakini tulikuwa hatuzihitaji.

..idadi ya watalii ilikuwa ikiongezeka bila uwepo wa shirika la ndege.

..tumetumia matrillioni kununua ndege, lakini huwezi kupata muwekezaji ktk kilimo, au viwanda, ambaye yuko tayari ku-invest kiwango sawa, au zaidi ya tulichotumia kununua ndege.
 
He, Wazungu watalii toka Ethiopia! Huu sasa utani.
Acha ushamba bwege wewe. Ethiopian airlines ndio Wana operate ZAIDI ktk ukanda huu wa EAC hasa connection za ndege nyingi hufanyika Addis Ababa. Wazungu wanapanda sana sababu ni cheap pia
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Na bado. Wacha wagombane wenyewe kwa wenyewe kwenye uchaguzi. Wakiamka tuko kuleee 😇😇😇
 
Changamoto jingine ni kujua nafasi ya ATC katika hili soko la watalii wanaokuja TZ.

Kama hata ET itaendelea kuwa tegemeo la watalii wetu basi ile hoja ya kwamba tukiwa na ndege zetu wenyewe tutawaleta “direct” toka Ulaya kwa gharama nafuu inakosa maana. Anyway, it’s professionally complicated than that awkward justification.
Umenena vyema
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Ni mkuu Ngongo?

Angekuwa ni mwingine kama Etwege hivi ningesema unatafuta tu kutukoga, tujue upo Bole!

Kuna miaka ya nyuma kidogo, nilikuwa ninasikitika sana wakati nikisafiri na KLM, ikipitia Nairobi kabla ya kuja Dar.

Ndege ilikuwa inajaza sana wazungu toka Amsterdam. Inapofika Nairobi, wazungu wote wanateremka ndege inabaki na sisi wachache tu tunaokuja Dar!
Hali hiyo ilikuwa inanisikitisha kweli kweli.

Lakini usemavyo ni kweli, mambo yamebadilika, lakini tusianze kuimba wimbo wa Royo Tua. Mambo haya ya sasa yalianza kabla ya sinema hiyo.
 
Bimkubwa kusema Mt Kilimanjaro iko TZ na dunia nzima imejua kupitia Royo Tua hiyo tu inatosha kumfanya mzungu mwenye nia ya kupanda Mlima huo kushukia Kia na sio Nairobi. wazungu ndio wanaongoza kwa kubana matumizi. hii ina maana idadi ya wageni ni lazima iongezeke TZ na kupungua Kenya!

Mi niliwahi kushuka Nairobi usiku nikaona watalii wakipokelewa wanapelekwa kulala hotelini asubuhi wanapandishwa Coaster shuttle Impala wanaletwa bongo kupanda Mlima Kilimanjaro wakifika boda Namanga wanauliza!

Why do we have to cross the border to go to Kilimanjaro? But you guys said Kilimanjaro Mountain is in Kenya! I will never forget Africa, i love Africa, the dark continent with black magic, Mayele, Feisal aka Zanzibar finest and Super Sub Denis Nkane aka Ole Gunner Solskjær !!
 
Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?

Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.
Uh - Oh!
Ngongo atafute uteuzi? Jameni hebu muwe mnasoma maandishi ya watu vizuri humu JF! Msiwe mnarukia watu na kushutumu bila ya kujiridhisha juu ya msimamo wa mhusika, amabo unajulikana vizuri kabisa kwa yeyote mwenye akili timamu.
 
Hao wenzetu wana more direct flights to Nairobi kuliko sisi

We are doing very well…. I am sure takwimu zitaongea

But Bole might be a wrong indicator
Tusubiri mkuu Ngongo atakaporudi nyumbani, apitie hapo Nairo, halafu atupe aliyoona juu ya wazungu wanaotua hapo kuunganisha safari ya kuja Dar/Kilimanjaro na Zanzibar.

The whole idea of having direct KQ flights to the US was premised on that preposition. Making Nairobi a hub for the region.
It would be interesting to know how the idea is working out so far.
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Kwa kweli kutojielewa kunafanya uchawa sana.
Kwa nchi za wenzetu miezi ya July na August ni kipindi ya summer na shulee vyuo zimefungwa likizo. Hivyo kusafiri walishajioanga na kutokana na COVID 19 ilivyotesa Wana hami ya kusafiri.
Subiri mwezi wa Tisa kwenda mbele hawatafurika utajua haujui.!
 
Tusubiri mkuu Ngongo atakaporudi nyumbani, apitie hapo Nairo, halafu atupe aliyoona juu ya wazungu wanaotua hapo kuunganisha safari ya kuja Dar/Kilimanjaro na Zanzibar.

The whole idea of having direct KQ flights to the US was premised on that preposition. Making Nairobi a hub for the region.
It would be interesting to know how the idea is working out so far.
I think direct flights to Nairobi was a failed project
 
..hivi hatuwezi kufurahia mafanikio yetu bila kuwataja wakenya?

..tabia ya kuona wakenya wanatuzibia au wanatuhujumu, inatuchelewesha ktk kupanga mambo yetu, na inawafanya vijana wetu wasijiamini.
Athari moja ya legacy. Kuna watu waliajiriwa kwa kazi hiyo. Hangover bado inaendelea.
 
..kuutangaza utalii ni jambo zuri.

..Ni jambo zuri zaidi kujihakikishia kama matangazo yetu ya Utalii yanatupatia matokeo tunayoyataka, au tunayoyatarajia.

..Kwa upande wa Royal Tour, baada ya kuirusha, ni vizuri tukadadisi imeangaliwa na watu wangapi.

..Zaidi, ni lazima tudadisi Royal Tour imeleta watalii wangapi hapa nchini.

..Sasa ili kufahamu hilo hatuna budi kufanya survey kwa watalii wanaokuja nchini kujua kama wameshawishiwa na Royal Tour.

Cc Phillipo Bukililo
Ndio. Mkuu tena napendekeza kwa wakuu wa nchi wautangaze utalii kupitia timu za mpira wa miguu hususani timu za England na spain tena zile kubwa kubwa zinazocheza hadi UEFA CL na kwa mpira wa kikapu kule marekani pia tukautangaze utaliii kupitia zile timu naamini baada ya muda tutaona matunda yake. Biashara ni matangazo. Wazungu wanapenda kitu ambacho kipo connected na wao. Kutangaza kupitia wao ni njia bora zaidi ya kuwavutia wengi
 
I think direct flights to Nairobi was a failed project
Too early to say.

Take into consideration the COVID-19 hiatus.

They were forced to cut back from daily flights to three(?) per week now?

Rwanda Airways was in the works, don't know how far they have reached on the same route!
 
Back
Top Bottom