Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Mshike mzungu mmoja aongee nawewe kidhungu kutujulisha anenda wapi na kwa nini!
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Ziwafikie Sukumagang Masalia😂
 
Muda sio mrefu nitaanza safari ya kuelekea Moshi from Arusha naamini huko njiani nitakutana na cruizer, hiace mayai na coaster Kali zikiwa na wanegro wakutosha.
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Wala hatuhitaji kuwapitishia watalii wetu kwenye viwanja vya ajabu ajabu kama Bole sijui nini.
Wetu wanamba moja kwa moja toka Ulaya ,Marekani na kwingine kule.
KQ,KLM, Silverstone, Lufthansa,British Airways,United etc
Halafu ni msimu wa nyumbu wetu kurejea toka utumwani hapo nchi ya kidikteta sijui Seringiti.,[emoji74][emoji74][emoji74]

Kalb hayawan ...!
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Sawa tumejua kuwa nawe umepanda ndege.
 
Duh! Kwahio hujui ET inaenda karibu dunia nzima na hata ukitoka US/UK etc kwa kutumia ET lazima ushuke Addis ndio upande ndege ya kukupeleka Znz/Kia/Dsm/Nrb etc?
Hakuna utalii wa kuona sinema ikiisha unafunga safari kwenda kutalii ulikokuona, utalii hupangwa mwaka mmoja kabla, utalii wa ndani unakwenda Sabasaba unapanda basi mnapelekwa Mikumi jioni mnarudi. Hii habari ya kuona Royal Tour ndani ya ndege kisha mnamwambia rubani ageuze ndege mkaone haipo.
 
Kupiga picha bila ridhaa ya wahusika ni jambo gumu isitoshe hii nchi ipo kijelajela wana Vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Rizika na ninachokuambia.Kama kuna mwanaJF uwanja wa KIA na Karume anaweza kushuhudia nyomi itakayoshuka baada ya saa moja kuanzia sasa.
Wengine ndiyo wanaingia kuchukua nafasi ya masaai tuliowafukuza kutoka kwenye sehemu zao walizo kuwa wanaishi.
 
Hatupambani na Kenya bali tutawaacha kwa mbali saaaana.
Hamtakaa muwaweze Kenya maana tayari wapo juu sana kiuchumi.

Shilingi moja ya Kenya nyie mnaipata kwa sh 23 zenu za madafu
 
Back
Top Bottom