Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Marekani ni nchi mojawapo lkn zinazotengeneza ndege ni nchi nyingi.
.
Rekodi ya dunia ndege kubwa za abiria ni concord na airbus's ambazo sio za Marekani. Ndege kubwa za mizigo zipo Urusi sio Marekani.
.
Kwanini tuige nchi moja wakati nchi nyingi zinamashirka yao?
.
Hata kiutawala Sisi na Marekani hatufanani...
.
Sisi tuna mikoa wao wanamajimbo yenye mamlaka zake ambayo yanamashirika yao ya ndege.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mpaka sasa ushaiga Marekani.

Marekani ndiye kaanzisha mfumo wa urais, hata hii internet unayoitumia kaanzisha Marekani.

Kwa hivyo, mpaka hapo ushamuiga Mmarekani, ujue au usijue.

Zaidi, pinga hoja kwa sababu kitu ni kizuri au kibaya.

Hoja ya msingi ni kwamba, biashara ya ndege ni risky sana, mashirika ya serikali hayawezi kuendesha biashara za ndege kwa faida.Nimeweka article ina point nyingi sana kuelezea hili.

Biashara hii ingefaa iachiwe sekta binafsi kuiendesha.

Ama sivyo, naku guarantee ATC itakuwa inakula hasara miaka nenda rudi, na hilo linamaanisha wewe hela yako ya kodi inaubguzwa kila siku.
 
Precision na fastjet wamekufa au wanakufa kwa sababu zao binafsi pasipo kuingiliwa na mkono wa serikali. Ukosefu wa weledi wa sekta ya anga, umeua fastjet.

Kuna wataalam wa masoko na masuala ya anga wanaoendesha shirika kwa sasa, kwa ufupi lipo katika mikono salama sana kulinganisha na miaka ile ya awamu ya kwanza na ya pili.
Hapana, serikali kuingilia biashara ya ndege kwa kuingiza ruzuku kubwa kwa ATC tayari kunaleta unfair advantage na mpaka hapo hutakiwi kusema Precision na FastJet zimekufa zenyewe.
 
Hapana, serikali kuingilia biashara ya ndege kwa kuingiza ruzuku kubwa kwa ATC tayari kunaleta unfair advantage na mpaka hapo hutakiwi kusema Precision na FastJet zimekufa zenyewe.
Fastjet wamekufa kwa uongozi wa juu kukosa weledi, aliambiwa atafute mtaalam wa sekta ya anga akachukulia poa tu.

Haya mambo ni shule ukiikosa unaharibu kila kitu. Ruzuku kubwa ni sababu ya uongozi wa sasa kurithi madeni makubwa, siku zinavyokwenda ule ukubwa wa deni unaendelea kupungua.
 
Kupiga picha bila ridhaa ya wahusika ni jambo gumu isitoshe hii nchi ipo kijelajela wana Vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Rizika na ninachokuambia.Kama kuna mwanaJF uwanja wa KIA na Karume anaweza kushuhudia nyomi itakayoshuka baada ya saa moja kuanzia sasa.
Addis-KIA Ni saa 1 (60 minutes)?
 
Back
Top Bottom