Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Hata kama ndege ni lazima, si lazima ndege ziwe za serikali.

Marekani hawana shirika la ndege la serikali linalofanya biashara ya usafiri wa ndege, na nchi yao inakwenda vizuri tu. Na hawa ndio waliogundua usafiri wa ndege, ndio wanaotengeneza ndege kubwa za Boeing.

Biashara ya ndege ina risk kubwa sana, na watu wa serikali kikawaida hawajui kujiendesha kwa ufanisi kibiashara, na pale wanapojua, serikali ina michakato yenye ukiritimba mwingi ambao haufai kwenye biashara. Serikali ingeweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kufanya biashara. Mashirika binafsi yafanye biashara. Tulishaanza hili vizuri.


Lakini kwetu sisi, serikali ndiyo imeshiriki kuua mashirika ya ndege ya binafsi kama Precision Air na FastJet.

Na hata hilo shirika la ndege la serikali haliachwi lijiendeshe kwa uhuru kibiashara, linaingiliwa sana kisiasa na serikali.

No wonder linatengeneza hasara year in, year out.

Soma zaidi kwa nini Africa mashirika yake mengi ya ndege yanapata hasara.

Precision na fastjet wamekufa au wanakufa kwa sababu zao binafsi pasipo kuingiliwa na mkono wa serikali. Ukosefu wa weledi wa sekta ya anga, umeua fastjet.

Kuna wataalam wa masoko na masuala ya anga wanaoendesha shirika kwa sasa, kwa ufupi lipo katika mikono salama sana kulinganisha na miaka ile ya awamu ya kwanza na ya pili.
 
Kuelewa faida za atcl ni shule pana sana. Kuelewa uhusiano wa Royal Tour na nchi kuwa na ndege zake yenyewe ni maono yanayokwenda pamoja na elimu pana ya darasani.

..maana yake ni moja tu, kwamba hakuna faida kwa Tz kumiliki shirika la ndege.

..pia waelezeni wananchi uhalisia kuhusu Royal Tour na sio kuwajaza matumaini ya uongo.

..bado tutahitaji matangazo mengine baada ya Royal Tour. Bado tutahitaji kuboresha mazingira ya utalii hapa Tz.

..Royal Tour sio documentary ya kwanza kuhusu utalii Tz. Pia haipaswi kuchukuliwa kama funga kazi. There is more work to be done.
 
..maana yake ni moja tu, kwamba hakuna faida kwa Tz kumiliki shirika la ndege.

..pia waelezeni wananchi uhalisia kuhusu Royal Tour na sio kuwajaza matumaini ya uongo.

..bado tutahitaji matangazo mengine baada ya Royal Tour. Bado tutahitaji kuboresha mazingira ya utalii hapo Tz.

..Royal Tour sio documentary ya kwanza kuhusu utalii Tz. Pia haipaswi kuchukuliwa kama funga kazi. There is more work to be done.
Huwezi kujaliwa na Mungu kila aina ya vivutio halafu ukakosa wenye akili ya kuwezesha biashara kubwa kufanyika.

Mkuu Joka Kuu kama wewe huoni faida ya atcl na sekta ya anga kwa ujumla kumbuka tupo milioni 60, baadhi yetu wapo wenye upeo mkubwa wa kibiashara na ndio wamekamata sekta tangu JPM akiwa ikulu.
 
Picha ziko wap...
Ama ndo uchawa tunaousema
Ndiyo hao wanaosema royo tua inaleta hao watu, kumbe ni msimu wao wanakimbia joto kali.

•Yaani yule mzungu aliyefanya ile sinema mjanga sana asee, yaani kafanya research muda wa kuizundua wakaona miezi ambayo kuna utitiri wa watalii kuja afrika ni hii, ndipo wakapiga aseeee ahahahaaa🤑
 
Ndiyo hao wanaosema royo tua inaleta hao watu, kumbe ni msimu wao wanakimbia joto kali.

•Yaani yule mzungu aliyefanya ile sinema mjanga sana asee, yaani kafanya research muda wa kuizundua wakaona miezi ambayo kuna utitiri wa watalii kuja afrika ni hii, ndipo wakapiga aseeee ahahahaaa🤑

Mkuu hakuna mahali nimesema nyomi ya watalii ni kwasababu ya Royal Tour.Kama Royal Tour itafanya vizuri matokeo yake ni mwaka ujao.Wageni wanaokuja sasa walipanga safari mwaka mmoja au miwili iliyopita.

Itoshe kusema wageni wameongezeka kwasababu kuu mbili au tatu.

Mosi ujio wa Covid 19 ulisababisha safari nyingi kusogezwa mbele au cancel kabisa.
Unaweza kushangaa kwanini nasema Covid 19 ni sababu kubwa ya ongezeko la watalii !.Kumbuka kwa zaidi ya miaka miwili au mitatu hapakuwa na utalii wazungu walifungiwa katika nchi zao.Ipo kiu kubwa ya wageni kutaka kusafiri baada ya kuzuiliwa kwa miaka mitatu.

Pili wageni walioairisha safari zao na waliopanga kusafiri wote kwa pamoja wanaangukia katika msimo wa high season 2022.Hapa nazungumzia waliopanga kuja mwaka 2019 na walipanganga kuja mwaka huu (wageni wapya).

Mwisho wageni wengi wanaokuja Tanzania kwa mara ya kwanza wakiulizwa kwanini walikuja Tanzania au walipata taarifa za vivutio vyetu asilimia kubwa ni kupitia mawakala wa utalii.

Ngongo kwasasa Karatu.
 
Mkuu hakuna mahali nimesema nyomi ya watalii ni kwasababu ya Royal Tour.Kama Royal Tour itafanya vizuri matokeo yake ni mwaka ujao.Wageni wanaokuja sasa walipanga safari mwaka mmoja au miwili iliyopita.

Itoshe kusema wageni wameongezeka kwasababu kuu mbili au tatu.

Mosi ujio wa Covid 19 ulisababisha safari nyingi kusogezwa mbele au cancel kabisa.
Unaweza kushangaa kwanini nasema Covid 19 ni sababu kubwa ya ongezeko la watalii !.Kumbuka kwa zaidi ya miaka miwili au mitatu hapakuwa na utalii wazungu walifungiwa katika nchi zao.Ipo kiu kubwa ya wageni kutaka kusafiri baada ya kuzuiliwa kwa miaka mitatu.

Pili wageni walioairisha safari zao na waliopanga kusafiri wote kwa pamoja wanaangukia katika msimo wa high season 2022.Hapa nazungumzia waliopanga kuja mwaka 2019 na walipanganga kuja mwaka huu (wageni wapya).

Mwisho wageni wengi wanaokuja Tanzania kwa mara ya kwanza wakiulizwa kwanini walikuja Tanzania au walipata taarifa za vivutio vyetu asilimia kubwa ni kupitia mawakala wa utalii.

Ngongo kwasasa Karatu.
Upo karatu eneo gani?.
Njoo hapa golden sparrow lounge tule vyombo, kama ni mgeni uliza barabara inayopita msimbazi view...
 
Upo karatu eneo gani?.
Njoo hapa golden sparrow lounge tule vyombo, kama ni mgeni uliza barabara inayopita msimbazi view...

Niko Manyasini napenda disco 💃 malapaa sana.
 
Bora sisi tunapambana kupandisha uchumi wetu kuliko wao wanapambana kukwamisha maendeleo yetu.
Wao wanafanya jitihada za kupinga mradi wa Bomba la mafuta.
Vile vile ujenzi wa barabara ya lami kupitia serengeti inapingwa!
 
Wako semester hao kawaida tu
Kuna en route cheap upitie Znz au kili uunge Precision mpk Dar ndo mana wamejaa hapo.
Ticket ndege kubwa za kutua Dar bila Precision ni almost double ya hizo za kuunga.
 
..maana yake ni moja tu, kwamba hakuna faida kwa Tz kumiliki shirika la ndege.

..pia waelezeni wananchi uhalisia kuhusu Royal Tour na sio kuwajaza matumaini ya uongo.

..bado tutahitaji matangazo mengine baada ya Royal Tour. Bado tutahitaji kuboresha mazingira ya utalii hapo Tz.

..Royal Tour sio documentary ya kwanza kuhusu utalii Tz. Pia haipaswi kuchukuliwa kama funga kazi. There is more work to be done.
Ahsante mkuu na Kiranga

Kuwa na shirika la ndege ni sehemu tu lakini siyo 'factor' katika utalii, Kiranga amefafanua vema hapo nyuma

Phillipo Bukililo kama wanaonedensha ATCL ni hawa wa Guonzhuo Milioni 22 return Ticket, tuna tatizo kubwa.
Sera za mwendazake ilikuwa kuuawa fast jet na Precision kwa kuamini monopoly kwa ATCL.
Kulikuwa na ushindani mzuri sana kabla, baada ya hujma dhidi ya washindani wateja wanalipa sana sasa hivi.

Kukuza utalii kungesaidiwa na uwepo wa mashirika ya ndege yatakayoleta competition.
Kwanini hatujiulizi, BA, Lufthansa, France, SAS, PIA haziji tena nchini lakini zinatua nchi jirani?
Tunatakiwa tutoe ''incentives'' kwa mashirika hayo ili wasafiri wapate urahisi wa booking na bei nzuri tupate watalii

Pili, utalii unaambatana na mambo mengi si Royal Tour pekee. Mfano, ujenzi wa conference centre Dar es salaam (JNCC) umeleta ushindani kwa Arusha international (AICC) kwenye utalii. Ushindani umeathiri utalii wakati ambapo mbuga kama Mikumi, Selous haziwezi kutoa mchango kama ule wa AICC Arusha kwa wageni wanaokuja kwa Conference

Tunashindwa kujitangaza kwasababu hatujui wapi pa kuwekeza!
 
Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?

Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.

Jinga kama wewe ndo unaweza kuwa wale wezi wa dawa za hospitalini. Sasa huyu mzee wako kijijini anafaidikajr na wewe kutumia bando lako kwa chuki za kijinga.
 
Hata kama ndege ni lazima, si lazima ndege ziwe za serikali.

Marekani hawana shirika la ndege la serikali linalofanya biashara ya usafiri wa ndege, na nchi yao inakwenda vizuri tu. Na hawa ndio waliogundua usafiri wa ndege, ndio wanaotengeneza ndege kubwa za Boeing.

Biashara ya ndege ina risk kubwa sana, na watu wa serikali kikawaida hawajui kujiendesha kwa ufanisi kibiashara, na pale wanapojua, serikali ina michakato yenye ukiritimba mwingi ambao haufai kwenye biashara. Serikali ingeweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kufanya biashara. Mashirika binafsi yafanye biashara. Tulishaanza hili vizuri.


Lakini kwetu sisi, serikali ndiyo imeshiriki kuua mashirika ya ndege ya binafsi kama Precision Air na FastJet.

Na hata hilo shirika la ndege la serikali haliachwi lijiendeshe kwa uhuru kibiashara, linaingiliwa sana kisiasa na serikali.

No wonder linatengeneza hasara year in, year out.

Soma zaidi kwa nini Africa mashirika yake mengi ya ndege yanapata hasara.

Marekani ni nchi mojawapo lkn zinazotengeneza ndege ni nchi nyingi.
.
Rekodi ya dunia ndege kubwa za abiria ni concord na airbus's ambazo sio za Marekani. Ndege kubwa za mizigo zipo Urusi sio Marekani.
.
Kwanini tuige nchi moja wakati nchi nyingi zinamashirka yao?
.
Hata kiutawala Sisi na Marekani hatufanani...
.
Sisi tuna mikoa wao wanamajimbo yenye mamlaka zake ambayo yanamashirika yao ya ndege.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna nchi huko imefikia 47 oC nyuzi joto lazima waje kwetu na sio Sudan.
 
Ahsante mkuu na Kiranga

Kuwa na shirika la ndege ni sehemu tu lakini siyo 'factor' katika utalii, Kiranga amefafanua vema hapo nyuma

Phillipo Bukililo kama wanaonedensha ATCL ni hawa wa Guonzhuo Milioni 22 return Ticket, tuna tatizo kubwa.
Sera za mwendazake ilikuwa kuuawa fast jet na Precision kwa kuamini monopoly kwa ATCL.
Kulikuwa na ushindani mzuri sana kabla, baada ya hujma dhidi ya washindani wateja wanalipa sana sasa hivi.

Kukuza utalii kungesaidiwa na uwepo wa mashirika ya ndege yatakayoleta competition.
Kwanini hatujiulizi, BA, Lufthansa, France, SAS, PIA haziji tena nchini lakini zinatua nchi jirani?
Tunatakiwa tutoe ''incentives'' kwa mashirika hayo ili wasafiri wapate urahisi wa booking na bei nzuri tupate watalii

Pili, utalii unaambatana na mambo mengi si Royal Tour pekee. Mfano, ujenzi wa conference centre Dar es salaam (JNCC) umeleta ushindani kwa Arusha international (AICC) kwenye utalii. Ushindani umeathiri utalii wakati ambapo mbuga kama Mikumi, Selous haziwezi kutoa mchango kama ule wa AICC Arusha kwa wageni wanaokuja kwa Conference

Tunashindwa kujitangaza kwasababu hatujui wapi pa kuwekeza!
Wewe ni wale wale wanaochukua habari za kupotoshwa na kuzigeuza kuwa za kweli. Fastjet na Precision wamejiua wenyewe.

Uendeshaji wa Fastjet ni matatizo kuanzia juu kabisa kule katika uongozi. Lawrence Marsha kachukua uendeshaji wa shirika la ndege akiwa ni mwanasheria, hana uzoefu wowote wa masuala ya aviation.

Mwaka mmoja kabla hizi ndege hazijaja, CEO wa mamlaka ya anga TCAA alizunguka katika nchi kadhaa za ulaya na USA katika kufungua masoko na kusaini mikataba ya awali ya ushirikiano wa mashirika ya ndege, hayafanyiki mambo kwa kukurupuka tu.

Bei za tiketi ya ndege zinachangiwa na factors nyingi tu na hazikai zile zile siku zote.
 
Niko Manyasini napenda disco 💃 malapaa sana.
Jumapili njoo eneo hilo mkuu kuna chocho inapigwa sound na wadogo zenu wa kinyiramba, kinyanturu na wa hapa hapa wanakuwepo!.
 
Wewe ni wale wale wanaochukua habari za kupotoshwa na kuzigeuza kuwa za kweli. Fastjet na Precision wamejiua wenyewe.

Uendeshaji wa Fastjet ni matatizo kuanzia juu kabisa kule katika uongozi. Lawrence Marsha kachukua uendeshaji wa shirika la ndege akiwa ni mwanasheria, hana uzoefu wowote wa masuala ya aviation.

Mwaka mmoja kabla hizi ndege hazijaja, CEO wa mamlaka ya anga TCAA alizunguka katika nchi kadhaa za ulaya na USA katika kufungua masoko na kusaini mikataba ya awali ya ushirikiano wa mashirika ya ndege, hayafanyiki mambo kwa kukurupuka tu.

Bei za tiketi ya ndege zinachangiwa na factors nyingi tu na hazikai zile zile siku zote.
Masha alichukua shirika likiwa limeshahujumiwa na Mwendazake
Mwenda alitaka monopoly ya ATC hadi kuamrisha watumishi wa serikali watumie ATC

22M return ticket ni upuuzi, kuna mashirika mengi duniani yanakwenda huko na bei nzuri tu

ATCL hakuna plan , vision au strategy ! kumbuka wanaoendesha shirika ni Waswahili walioua shirika lile lile
 
Masha alichukua shirika likiwa limeshahujumiwa na Mwendazake
Mwenda alitaka monopoly ya ATC hadi kuamrisha watumishi wa serikali watumie ATC

22M return ticket ni upuuzi, kuna mashirika mengi duniani yanakwenda huko na bei nzuri tu

ATCL hakuna plan , vision au strategy ! kumbuka wanaoendesha shirika ni Waswahili walioua shirika lile lile
Hakuna cha hujuma, hakuwa na utaalam wa sekta ya anga na kibaya zaidi hakutaka au hakuwa na uwezo wa kuajiri mtaalam wa anga amfanyie kazi. Kusema kuwa JPM alitaka ATC peke yake wawe na monopoly ni stori ya kutunga ya mtaani.

China wana covid mpaka muda huu ukumbuke, na kule ni mbali pia. Lipo suala la demond and supply lenye kuchangia beii kuwa juu kwa muda huu.

Hizi akili zako za kusema waswahili hawawezi kazi ni chanzo kingine cha umaskini wa TZ, kudharauliana na kuchukuliana poa kwa kila kitu.
 
Hakuna cha hujuma, hakuwa na utaalam wa sekta ya anga na kibaya zaidi hakutaka au hakuwa na uwezo wa kuajiri mtaalam wa anga amfanyie kazi. Kusema kuwa JPM alitaka ATC peke yake wawe na monopoly ni stori ya kutunga ya mtaani.
Hoja ni kwamba , Masha, amechukua shirika baada ya wamiliki kuondoka kutokana na hujuma za Magufuli
Yes, Magufuli alitaka monopoly kwa njia nyingi kama kulazimisha watumishi wa serikali kutumia ATC. Ni monopoly ile ile ya TTCL kwamba watumishi wachukue line. JPM hakuwahi kuamini katika maarifa zaidi ya maguvu, QED

China wana covid mpaka muda huu ukumbuke, na kule ni mbali pia. Lipo suala la demond and supply lenye kuchangia beii kuwa juu kwa muda huu.
Demand and supply inaangalia factors nyingi mfano, competitions, alternatives , nguvu ya shirika n.k.
22M haina uhalisia ukizingatia soko lipo wazi kwa mashirika competent yanayoweza ku operate katika ''margin'
ATCL Haipo katika kundi hilo
Hizi akili zako za kusema waswahili hawawezi kazi ni chanzo kingine cha umaskini wa TZ, kudharauliana na kuchukuliana poa kwa kila kitu.
Walioua ATC ni Watanzania. Walioua viwanda zaidi ya 400 na mahoteli ni Watanzania.

Tukubali kuwa sisi hatuwezi management! huo ni ukweli mchungu na ATCL chini ya hawa watu wetu ime operate katika hasara kwa miaka yote tangu imefufuliwa

Tulitakiwa tuchukue wataalam wa nje . Mashirika kama Qatar au Emirate yameajiri wataalam wa nje

Hawa ATCL hakuna kitu! ni hasara tupu tunasubiri
 
Back
Top Bottom