Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Wazungu wamechafukwa, lango la Kilimanjaro na Zanzibar hapa Bole ni kufuru

Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Wewe umejuaje hao wazungu wanakuja Kilimanjaro nk?

Ilhali kila mtu yupo na passport yake pamoja na ticket yake?

Umefanya nao interview?

Wakati wewe upo Bole airport umewezaje kujua kinachoendelea huko Kenya wakati haupo huko?

Acha uchawa!
 
Wewe umejuaje hao wazungu wanakuja Kilimanjaro nk?

Ilhali kila mtu yupo na passport yake pamoja na ticket yake?

Umefanya nao interview?

Wakati wewe upo Bole airport umewezaje kujua kinachoendelea huko Kenya wakati haupo huko?

Acha uchawa!
Aisee... Mkuu Tembea Duniani acha kukaa hapo Makao Makuu ya CCM Dodoma pekee...

Ukiwa viwanja vya watu wana wings mbalimbali....

Nakupa Mfano ukiwa Denmark airport watu wana wings na gates mfano unaenda Jburg.. Wanakwambia Wing C1 ...Au Paris Wing D... Inamaana uingie rooms hizo au mageti hayo kwa destination husika...

Sasa Bole Int wana gates mbalimbali..
Mfano.. Wanatangaza Gate no 4 Nairobi.. Gate no 7 Abidjan.. Gate no 6 Enttebe nk nk Hivyo hivyo kuna Gate za Dar...
ET (Ethiopian airways) huwa na gate la KIA / Zanzibar watu wanaingia wanasubiri ndege... Ukiwa abiria unaenda destination tofauti na hiyo root huingii... sasa mtoa mada kasema gate zinamafuriko wewe unashangaa...

Airport nyingi ni vioo ..unaweza ukaona gates za destination nyingine.... Yeye kaona ya NBI.. Wewe unaleta undumila kuwili..
 
Ni
Kupiga picha bila ridhaa ya wahusika ni jambo gumu isitoshe hii nchi ipo kijelajela wana Vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Rizika na ninachokuambia.Kama kuna mwanaJF uwanja wa KIA na Karume anaweza kushuhudia nyomi itakayoshuka baada ya saa moja kuanzia sasa.
Ni sahihi kabisa kwa Leo nimekutana na magari mengi Sana ya watalii yanayotokea KIA
 
Waku nipo Bole International Airport muda gate la Kilimanjaro & Zanzibar wazungu ni wengi kupitiliza.

Watani wetu wa jadi Kenya wamenuna ndege kuelekea Nairobi wazungu hawazidi kumi.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu mkubwa.

Ngongo kwasasa Addis Ababa Bole International Airport
Connection ya flight kuja Tanzania ipo Bole na Jomo Kenyatta pia. Kama umeona abiria wengi Bole, yawezekana na Nairobi ni wengi zaidi. Tufikirie kwa ujumla wa kujenga na kuandika kwa mtazamo wa mbali unaojenga mahusiano zaidi.
 
Too early to say.

Take into consideration the COVID-19 hiatus.

They were forced to cut back from daily flights to three(?) per week now?

Rwanda Airways was in the works, don't know how far they have reached on the same route!
Kweli kabisa

Pamoja
 

Attachments

  • IMG_9610.jpg
    IMG_9610.jpg
    39.6 KB · Views: 5
Hao wenzetu wana more direct flights to Nairobi kuliko sisi

We are doing very well…. I am sure takwimu zitaongea

But Bole might be a wrong indicator

Ni kweli Mkuu wangu majuzi nilipita tena hapo nikabaki kushangaa ET sasa wanaleta ndege mbili kubwa Kilimanjaro na Zanzibar.Bei zimepanda sana kuanzia sasa hadi mwezi ujao.

Nilipata wasaa wa kushare mawili matatu na wadau wa sector ya Utalii hasa Northern Corridor wageni wengi ni wale walio cancel safari zao mwaka 2019 kwasababu ya Covid.

Pia wazungu kwa kipindi kirefu hawakuwahi kusafiri kubwa zaidi ni huo ugonjwa.
 
Wewe umejuaje hao wazungu wanakuja Kilimanjaro nk?

Ilhali kila mtu yupo na passport yake pamoja na ticket yake?

Umefanya nao interview?

Wakati wewe upo Bole airport umewezaje kujua kinachoendelea huko Kenya wakati haupo huko?

Acha uchawa!

Duh wacha nikupe pole tena pole kweli kweli.Haya mambo ya kujifungia Tandaimba hadi unazeekea huko si kosa lako kuuliza swali la kitoto kiasi hiki.
 
Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?

Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.
Achana na roho za kimaskini bro. Wazungu kwa kuja kama watalii wanaongeza pato la taifa.

Ni ongezeko la pesa zinazoingia hazina kuu ya nchi na zinawafikia wazazi wako huko shamba kwa njia mbalimbali.

Ujenzi wa mahospitali wanayotibiwa wanapougua unajengwa kwa pesa hizo za kodi. Umeme ukisambazwa na wazazi wako wakaanzisha kiwanda au hata kilimo cha kisasa cha umeme hiyo ni pesa ya kodi inayotokana na utalii.

Panua ubongo usiishie kupanua miguu wakati wa kujisaidia.
 
Hao wazungu watawaletea nini wazazi wako huko kijijini ?

Weke namba ya simu,unaweza kupata uteuzi.

Kwa taarifa yako ujio wa wazungu ni neema kubwa sana kuanzia muuza Mboga mboga,Matunda,..........

Fedha za sector ya utalii zinawafikia watu wengi sana kama ulikuwa huna taarifa Ndugu magari yanakodishwa,nyumba za wageni zinajaa,mafundi wa garage,wauza spares ......
 
..Na Jpm aliwaulizs Watz kama wanahitaji midege toka kwa mabeberu?
Mazingira ya dunia ya sasa huwezi kukwepa kuwa na ndege. Kama unafunguka kadri dunia inavyofunguka huwezi kuukwepa usafiri wa anga.

Ukiwa na mawazo ya uoga ya kutojiamini unaweza usielewe ni kwanini ndege hizi ni muhimu.
 
Mazingira ya dunia ya sasa huwezi kukwepa kuwa na ndege. Kama unafunguka kadri dunia inavyofunguka huwezi kuukwepa usafiri wa anga.

Ukiwa na mawazo ya uoga ya kutojiamini unaweza usielewe ni kwanini ndege hizi ni muhimu.

..ujasiri wa kuiingiza nchi ktk mradi unaotia HASARA haufai.

..Atcl inatutia hasara kila mwaka. Fedha tulizotumia kununua ndege zingeweza kufanya mambo mengine yenye tija na faida.
 
Mazingira ya dunia ya sasa huwezi kukwepa kuwa na ndege. Kama unafunguka kadri dunia inavyofunguka huwezi kuukwepa usafiri wa anga.

Ukiwa na mawazo ya uoga ya kutojiamini unaweza usielewe ni kwanini ndege hizi ni muhimu.
Hata kama ndege ni lazima, si lazima ndege ziwe za serikali.

Marekani hawana shirika la ndege la serikali linalofanya biashara ya usafiri wa ndege, na nchi yao inakwenda vizuri tu. Na hawa ndio waliogundua usafiri wa ndege, ndio wanaotengeneza ndege kubwa za Boeing.

Biashara ya ndege ina risk kubwa sana, na watu wa serikali kikawaida hawajui kujiendesha kwa ufanisi kibiashara, na pale wanapojua, serikali ina michakato yenye ukiritimba mwingi ambao haufai kwenye biashara. Serikali ingeweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kufanya biashara. Mashirika binafsi yafanye biashara. Tulishaanza hili vizuri.


Lakini kwetu sisi, serikali ndiyo imeshiriki kuua mashirika ya ndege ya binafsi kama Precision Air na FastJet.

Na hata hilo shirika la ndege la serikali haliachwi lijiendeshe kwa uhuru kibiashara, linaingiliwa sana kisiasa na serikali.

No wonder linatengeneza hasara year in, year out.

Soma zaidi kwa nini Africa mashirika yake mengi ya ndege yanapata hasara.

 
Hata kama ndege ni lazima, si lazima ndege ziwe za serikali.

Marekani hawana shirika la ndege la serikali linalofanya biashara ya usafiri wa ndege, na nchi yao inakwenda vizuri tu. Na hawa ndio waliogundua usafiri wa ndege, ndio wanaotengeneza ndege kubwa za Boeing.

Biashara ya ndege ina risk kubwa sana, na watu wa serikali kikawaida hawajui kujuendesha kwa ufanisi kibiashara, na pale wanapojua, serikali ina michakato yenye ukiritimba mwingi ambao haufai kwenye biashara. Serikali ingeweka mazingira mazuri kwa mashirika binafsi kufanya biashara. Mashirika binafsi yafanye biashara. Tulishaanza hili vizuri.

Lakini kwetu sisi, serikali ndiyo imeshiriki kuua mashirika ya ndege ya binafsi kama Precision.

Na hata hilo shirika la ndege la serikali haliachwi lijiendeshe kwa uhuru kibiashara, linaingiliwa sana kisiasa na serikali.

No wonder linatengeneza hasara year in, year out.

Naomba kukazia hoja.

Kwakuwa tayari tumeshaingia mkenge wa kununua Ndege,nashauri Serekali kualika watu binafsi kuongeza mtaji na uendeshaji wa ATCL.

Serekali nyingi duniani zimeshajiondoa katika kufanya biashara sana sana wanaweza kubakisha hisa chache tu.
 
Naomba kukazia hoja.

Kwakuwa tayari tumeshaingia mkenge wa kununua Ndege,nashauri Serekali kualika watu binafsi kuongeza mtaji na uendeshaji wa ATCL.

Serekali nyingi duniani zimeshajiondoa katika kufanya biashara sana sana wanaweza kubakisha hisa chache tu.
At this point kwa ATC, serikali inaweza kufanya PPP (Public Private Partnership), watu wa sekta binafsi wakaendesha shirika, wakati serikali inakuwa na share tu na ina regulate.

Tatizo watu ambao serikali ilitakiwa kufanya nao PPP ndio hao kina FastJet na Precicion.

Ambao serikali ishawaua.

Unaua ma Jenerali wako kabla ya kuanza vita, ili uinekane Mfalme shujaa peke yako.

Halafu vita umeanza, unagundua unahitaji wale ma Jenerali uliowaua!
 
..ujasiri wa kuiingiza nchi ktk mradi unaotia HASARA haufai.

..Atcl inatutia hasara kila mwaka. Fedha tulizotumia kununua ndege zingeweza kufanya mambo mengine yenye tija na faida.
Kuelewa faida za atcl ni shule pana sana. Kuelewa uhusiano wa Royal Tour na nchi kuwa na ndege zake yenyewe ni maono yanayokwenda pamoja na elimu pana ya darasani.
 
Back
Top Bottom