Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Acha kulalama na uache huo ujinga. Kwani nani kakuambia anataka kukuchagulia mke/mume? Kinachohitajika ni chaguo sahihi and that is opposite sex and not some madness you are trying to justify. Do this and nobody will ever bother you.

Nani mwenye mamlaka ya kuamua kuwa same sex relationships/marriage sio sahihi?? Na kwamba opposite sex is the right choice???
 
Mada yako unataka Watu waishi na wafanye Kama unavyotaka wewe. Kama mtu kaamua kuvaa nguo za kike au kusuka au kutoboa sikio wewe inakuhusu nini?? Mbona yeye haangaiki na wewe kisa hufanyi Kama yeye? Ondoka na fikra za kizamani jombaa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
What do you mean chaguo sahihi??

Unaweza kuchagua huyo opposite sex na ukawa ume boogy step

Who are you kumchagulia mtu kwamba lazima apendane na opposite sex??

Kwani tigo ni yako ? Watu wamekubaliana wenyewe let them be.
It is about doing the right thing not making mistakes.
 
You have been influenced the wrong way. A lie repated many times finally appears to be the truth though it is still a lie. You are just trying to be accomodative but that doesnt remove the fact that the practice just hell bound.
 
Nawachukia watu wanaofanya hivyo vitu. Mungu atuhurumie
Wana tofauti gani na wale wanaokula wanawake kinyume na maumbile? Msitake kuona dhambi moja wakati tunafanya madhambi mengi ya kufanya mtu.

Unawachukia wafiraji/wafirwaji ili hali hiyo nokia/Samsung/HTC nk unazotiumia kuwasema watu zimetengenezwa na mikono ya wanaoamini katika kufirwa/kufira? Kwa nini kama unawachukia usichukie na vitu vinavyotokana na wao?

Kumsingia mzungu katika upumbavu wetu wenyewe ni kuonyesha jinsi gani tunazidi kuonekana tegemezi na wapumbavu mbele za hao wazungu. Hatuna utashi wa kupembua baya na jema hadi tusingizie wengine kwa vitu ambavyo tunaweza kujiongoza wenyewe...come on mshana jr
 
Kila mtu ana mtazamo wake na naheshimu hoja zenye mashiko, kwenye huu uzi nakiri kuwa hukuelewa muktadha mzima wa kile nilichoandika au la tuna misimamo na uelewa tofauti kwenye hili
 
Only the mentally retarded cannot see what is right in this case.

I asked you a simple question and you resort to abusive language. Who has the authority to decide for another human being whom they should fall in love with??? You are full of discriminatory remarks talking about mental retardation, is it their choice that they should be mentally retarded???? First discriminating LGBT and now making remarks about people with mental disabilities. Check yourself !!!
 
Kila mtu ana mtazamo wake na naheshimu hoja zenye mashiko, kwenye huu uzi nakiri kuwa hukuelewa muktadha mzima wa kile nilichoandika au la tuna misimamo na uelewa tofauti kwenye hili

Sawa kila mtu ana mtazamo wake ila mtazamo wako umejawa na ubaguzi, chuki na wivu dhidi ya binaadamu wenzako.
 
Tabia mbaya tu za kwetu kupenda pesa bila jasho,mashoga na wanawake wanaosagana nalo ni jipu maana idadi yao inaongezeka kila kukicha lkn tusiwalaumu wazungu tulejee ktk maadili yetu wapi tumekosea?Kuna watu wanajiusisha na mapenzi ya jinsia moja,Wako Kanisani kama viongozi,msikitini pia,mashuleni,mahospitalin ,magerezan,Majumbani,yaani ni tabu tupu inabidi turudi hatua moja nyuma na kutafakar ni wapi tumekosea kama taifa
 
Naamini kuwa penye tabia za kishoga pako karibu na maangamizo na laana kubwa...na nuksi..

Mkuu jr katika vitabu vyako vya uchawi bado hujagundua namna ya kuwaloga hawa watu au ukaogopesha watu na hizi tabia ... Zimekuwa ni soo yaani daily.. Kwa sasa kuna mpaka wakuu(wasomi walio graduate huko magharibi) wa makampuni makubwa tz ni mashoga na wengine ni wasagaji
 
DAAAAH! Mungu tusamehe waja wako
 
Because you are already perverted, your mind is clouded to the point of blinding your ability to distinguish right from left. One fact will always be clear, your lies and self consolation about your dirty ways of life will come to abrupt end when it will be too late for you to reverse.
Finally, your so called a question of who has the right of deciding whom to love, if you your mind is working normally, you shouldnt have asked because it is not a question. Look around you and the answer is obviuos. To help you, why do you think God created man and woman? And, each body part was made for aspecific function and not for you to improvise its use whose results can only be disaster.
 

It is clear you are the one whose mind is clouded to the point where you don't want to acknowledge other human beings. To you what you do is the right thing and everyone should do so otherwise they are perverted. I am straight but don't have any issues with the gay community.

Secondly are you a psychologist to say one mind is not working normally just because of their sexual orientation?? You have a retarded mind which still need to evolve that is why you cling to Jewish myths and discriminate against your fellow human beings just because their sexual orientation is diff from your own.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…