Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

ac412600c0593a1fbaa930735731ae9e.jpg

naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie.

Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie.

Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile.

bc8edd11b145bc63a9c83b21c2465055.jpg
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan. Vijana wa kiume kubusiana hadharani. Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo

Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike. Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike. Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk

Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja.

6abb0b33340a8ad552147e17d6cc3878.jpg
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana

Acha kuonea Wazungu hawajalea mwanao mtoto umleavyo ndivyo akuavyo wazee wangapi walikuwa wanawakati watoto wao wa kiume alafu familia inaficha wacheni ujinga wa kulaumu Wazungu hayo mambo yako Tanzania kwenye familia nyingi lakini wanaficha alafu mtoto anakua na kujitambua kama alivyo lelewa mnamlaumu?? Waulize wengi walianzia hiyo kitu wapi alafu utaelewa vizuri unafiki wa familia na jamii
 
Acha kuonea Wazungu hawajalea mwanao mtoto umleavyo ndivyo akuavyo wazee wangapi walikuwa wanawakati watoto wao wa kiume alafu familia inaficha wacheni ujinga wa kulaumu Wazungu hayo mambo yako Tanzania kwenye familia nyingi lakini wanaficha alafu mtoto anakua na kujitambua kama alivyo lelewa mnamlaumu?? Waulize wengi walianzia hiyo kitu wapi alafu utaelewa vizuri unafiki wa familia na jamii
Ok basi sawa
 
Leo nduguzangu nipo ujerumani Munich hii ndio hali ulaya yote wana andamana kupigania haki za usagaji na ushoga

Cha ajabu nimewakukuta dadazetu wa tanzania [emoji1241] na bendera ya nchi wana andamana kutaka haki za usagaji na ushoga nimerekodi mwenyewe hizi muone hali ilivyo nihatari ndugu zangu sijuwi tunaendawapi kwa wazungu sikushtuka sana kilicho nishtuwa kuina dada zetu wanyumbani wamo ktk kuandamana kutupinga
CnPView attachment 2601697
Tena wengi wao ni Kaskazini
 
Huwa hamchoki kujadili ushoga?Lakini mtoa mada ufiraji anaunga mkono.
 
ac412600c0593a1fbaa930735731ae9e.jpg

naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie.

Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie.

Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile.

bc8edd11b145bc63a9c83b21c2465055.jpg
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan. Vijana wa kiume kubusiana hadharani. Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo

Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike. Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike. Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk

Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja.

6abb0b33340a8ad552147e17d6cc3878.jpg
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana

Kwanini wawatake wa bandia wakati wa uhalisia wapo
 
 
Back
Top Bottom