Wazungu wameshatuharibia vijana wetu


To answer your question y god created man and woman
I don't know because I wasn't there when he was doing this so called creation and i don't know his mind. When you see him or talk to him ask him that question.

Though to my understanding every species has the male and female sex for the purpose of reproduction. But then again man engages in sexual activity not purely for reproduction but for pleasure as well.
 

Safi sana kiongozi.
 
akili ndogo sijapatapo kuona
 
akili ndogo sijapatapo kuona
Kwa sababu ulisharuhusu akili kubwa(mzungu) kuongoza akili ndogo(yako), hata kutafakari huwezi, kila unaposhindwa kitu unamsingizia mzungu.

Yani "wazungu wametuharibia vijana wetu", kwa vile hao vijana wameshikwa akili hawana utashi kabisa wa kujua jema na baya.

Unapomsingizia mzungu kwa upumbavu wako, bado kuna stages katika evolution utakuwa hujazipitia....poor you!!
 
Katika hili shetani amefanikiwa kwa kiasi kikubwa, Mshana nadhani unafahamu hii ni idara mojawapo ya kuzimu
 
Yenye wanachama wengi sana
Kweli kabisa, na ndo maana Rais wa nchi fulani kubwa duniani anajaribu kutuonesha hili ni jambo la kawaida, nyuma ya pazia kuna mpango madhubuti wa huko kuzimu. Hapa tutatoka kwa maombi na labda kufanya ibada sana
 
Kweli kabisa, na ndo maana Rais wa nchi fulani kubwa duniani anajaribu kutuonesha hili ni jambo la kawaida, nyuma ya pazia kuna mpango madhubuti wa huko kuzimu. Hapa tutatoka kwa maombi na labda kufanya ibada sana
Kuna watu nimewashangaa sana hapa wamenishutumu kuwa nimeweka picha za kudhalilisha wahusika, OMG! Ama kweli ukipenda chongo utaona kengeza, hizo picha wahusika wamejipiga na kuzisambaza mitandaoni wenyewe mimi kuziweka hapa nikaonekana nawadhalilisha
Inawezekana neno kudhalilisha lina tafsiri nyingi
 
Kila mtu ana mtazamo wake na naheshimu hoja zenye mashiko, kwenye huu uzi nakiri kuwa hukuelewa muktadha mzima wa kile nilichoandika au la tuna misimamo na uelewa tofauti kwenye hili

Kwa hiyo ulitaka bango lako lichangiwe na watu wenye msimamo sawa na wako? Basi ungetahadharisha ili wenye msimamo tofauti tusichangie.

Bango lako lipo wazi "wazungu wametuharibia vijana wetu". Niambie ni nini hasa maana ya hiyo heading.
 
Kwa hiyo ulitaka bango lako lichangiwe na watu wenye msimamo sawa na wako? Basi ungetahadharisha ili wenye msimamo tofauti tusichangie.

Bango lako lipo wazi "wazungu wametuharibia vijana wetu". Niambie ni nini hasa maana ya hiyo heading.
Mmh kwanini hii heading imekugusa kiasi hiki?
 
Mmh kwanini hii heading imekugusa kiasi hiki?
Kiongozi, tunaongelea hoja uliyoiweka. Nami nimechukua sehemu tu ya mada yako, au ukikurupushwa kuandika heading bila kufikiria?
I bet umefanya mijadala mbalimbali, watu wanachukua sehemu ndogo tu ya kile unachosema na kuanzisha mjadala. Nijibu basi, wazungu wametuharibia vijana wetu, hao vijana wenu akili zao zipo wapi hadi waharibiwe? Unataka kusema vijana wenu hawana utashi hadi wamagharibi wawaharibu from miles away??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…