Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

mkinijibu hili swali nitaanza kuupinga ushoga!
iweje mtu aumie kwa jambo linalofanywa na mtu fulani, tena jambo ambalo haliathiri mtu/ maisha ya mtu mwingine?
inakuwa kuwaje?
bado sijapata logic.
 
Naona sasa umepunguza mihemko na unajadili kimjadala sasa
Kila kitu kina target audience, ndio maana wewe huwezi kukaa kwenye tv na kuangalia katuni unajua ni kwa nini? You are not a targeted audience
Tunaelewa msimamo wa wazungu kwenye suala la ushoga, kwao hili ni haki ya msingi ya binadamu kwamba kila mtu ana uchaguzi wake na ni haki yake lakini kiafrika Tunaelewa kuwa ushoga ni laana
Nchi nyingi za ulaya zimehalalisha ushoga na ndoa za jinsia moja kuna vyama vingi official vya mashoga na vina haki zote
Africa kwa kiasi kikubwa inagetemea misaada toka nchi hizo si maramoja nchi zilizokataa ushoga zimetishiwa kunyimwa misaada
Hizi NGO nyingi zinahamasisha haki za mashoga na kwa kiasi kikubwa target audience yao ni vijana
Kuna vijarida vingi machapisho mengi video nyingi na mitandao mingi inayohamasisha ushoga na vyote hivi vinapata ufadhili toka kwa wazungu na target audience ni vijana
Ndio maana imefika mahali sasa kutokana na hamasa hiyo ya wazungu vijana wengi wanaona hiki ni kitu cha kawaida...
Ishu ya kusema kwani hao vijana wamelazimishwa!ni point moja ya kipuuzi mno kwakuwa tunajua brainwashing wanayofanyiwa vijana ni vigumu mno kuchomoa...tuna mifano halisi kwenye hili
To the best of my knowledge Nimejaribu kukueleza kwa ufupi kwanini nikaamua kutumia hiyo heading
CC: Eli79
 
kuna kila dalili humu JF kuna mipunga mingi
Mipunga iko mingi sana ningekua me rais ningechoma moto mashoga wote pumbafu sana hawa watu tumepoteza nguvu kazi kwa ajili ya hawa mashoga
 
Yeah, how can I write something ain't know? , u know I know that why ua pissed off [emoji87]
Hahaha bora uandike Kiswahili
First it's not piss off it's to get pissed. Piss off means go away( dismissal)
Secondly am not pissed. The term you used is derogatory to a certain community, that's y I asked if you understand what you wrote Don't be ignorant. Go read something instead of airing your ignorance to the public.
 
Mkuu Asante kwa bandiko zuri me ningekua kiongozi wa juu ningechoma moto mashoga wote pumbafu sana hawa gay
 

Unachoandika hakina logic kabisa
Target audience ipi hasa ulikuwa unalenga unapozungumzia issue ya mapenzi ya jinsia moja?? Hawa ni sehemu ya jamii yetu au ulikuwa unataka wachangie wenye msimamo wa kibaguzi Kama wa kwako.

Pili unazungumzia haki za mashoga kuwa ni haki za binaadamu kwa wazungu ila sio kwa waafrika, Ina maana waafrika sio binaadamu hadi wasiwe na haki hizo?? Ndio maana zinaitwa human rights( haki za binaadamu) pasipo kuangalia race, religion, social or economic background
 
Duuu bora sikuiona hii thread Mshana ingenipa matatizo kuna watu wana majibu ya nyoko ,sema wewe jamaa una busara sana ,
Nilijiandaa vilivyo kisaikolojia nawafahamu vilivyo nimeishi nao wana majibu ya shobo na nyodo mno. Usipokuwa makini unaweza kurusha ngumi
Kuna mmoja katetea sana kitu kinachoitwa transgender huu ni ulemavu kama ulivyo ulemavu wowote ule na isiwe kisingizio cha kufanya kuwa wote wako hebu ona picha hizi
Huyu ni typical transgender ni mlemavu wa jinsia
hawa ni kutokana na kuiga hawa hawana tofauti na wanajifanyisha na kujilazimisha ulemavu
 
Haki za binadamu ni kitu cha kujichanganya mno hata hao unaowasifu wameshindwa kuitimiza kwa asilimia mia
Kusingekuwa na vita dhidi ya mihadharati na madawa ya kulevya
Kusingekywa na sheria kali zinazozuia unywaji pombe uliopitiliza
Mambo ni mengi na Usiwe brainwashed na slogan usizozijua
 
Nimemuona huyo mdau na utetezi wake wa transgender ,walahi kuna watu wana roho ngumu ,haya ni maisha ila mtu kutetea haramu kwa nguvu zote kisa sijui mimi au wewe hatuna mamlaka ya kujudge ,
Wengi wao wameiga tu huo upuuzi wala tatizo sio kwamba wana hormone imbalance
 
Na wale ma-anti maarufu wa Magomeni na mwananyamala, nao walifundishwa na wazungu?
 
Your arguement is too low. Sex is a universal natural need for both humans and anything living. So, apart from the perverts like you who want to go against nature, give me ten examples of other living things that engage in sex with the same sex for pleasure.
 
Am glad u got me[emoji5] , actually am trying to learn kimalkia, it's not my mother tang, am practicing, thanks at least ua understanding me, this means am progressing [emoji12], but wacha kutetea hao mapunga, unless ua one of them.
 
Mkuu Asante kwa bandiko zuri me ningekua kiongozi wa juu ningechoma moto mashoga wote pumbafu sana hawa gay
Wewe acha upumbavu umeshachoma wangapi? JF tafadhali fungia watu kama hawa hatuhitaji chuki za kijinga.
 
Kila mtu ana mtazamo tofauti. Ila mitazamo mingine ya kisenge sana. Una Mtoto wa kiume anakuletea mkwe ambaye ni mwanaume mwenzie utakubali au?

Halafu kuna watu wanatetea ujinga tu.
 
Kila mtu ana mtazamo tofauti. Ila mitazamo mingine ya kisenge sana. Una Mtoto wa kiume anakuletea mkwe ambaye ni mwanaume mwenzie utakubali au?

Halafu kuna watu wanatetea ujinga tu.
Wanaotetea ushoga lzma nao ni mashoga uwezi kua mwanaume wa kweli afu unatetea ushoga kwangu big no
 
Sisi ndio twawaendekeza ilitakiwa hawa watu wasiwe wanaona usiku akijulikana tu ni shoga wanamtoa fasta lazima watajificha au kuacha kabisa
Dsm na Zanzibar nasikia wako wengi sana, tena hawana kificho. Waziri wa utamaduni yupo ila hasemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…