Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wwe bwabwa ndo uko shift sasa hivi nini?? Komaa lkn wambie mabwabwa wenzio wakupokee saiziPresent facts and examples which are discussable and arguable sio kuleta matusi.
Nimesema as long it's not a criminal act kwa sheria ya nchi Hata hoja zenu hazina maana yoyote. As long kila MTU anaheshimu sheria za nchi sioni sababu ya kumlaani kwa sababu tu ya feeling zako binafsi.Hata kama hu support lakini vema ukaonyesha msimamo la sivyo itakuwa ni ngumu kujenga hoja
Naona kuna mahali tunapishana lakini sidhani kama tuna sheria inayohamasisha vitendo vya ushoga hapa nchini ....labda nikumbushe iko ibara no ngapiNimesema as long it's not a criminal act kwa sheria ya nchi Hata hoja zenu hazina maana yoyote. As long kila MTU anaheshimu sheria za nchi sioni sababu ya kumlaani kwa sababu tu ya feeling zako binafsi.
Naona bado unazungukia pale palesijui utahoji vingapi.
nimeona nikupe simple logic kabisa inayoendana na uelewa wako.
nakupa lecture rahisi rahisi kabla sijakubwisha vitu vinavyokuzidi kimo!
umekosa nini mpaka hapo kwasababu ya mashoga?
salary?
ajira?
oxygen?
lunch?
Na hakuna mahali sheria inasema ushoga ni criminal.Naona kuna mahali tunapishana lakini sidhani kama tuna sheria inayohamasisha vitendo vya ushoga hapa nchini ....labda nikumbushe iko ibara no ngapi
Kwahiyo hoja zako hazina msingi wowote kisheria ni porojo tu.Na hakuna mahali sheria inasema ushoga ni criminal.
Tunaongelea ushoga na si kuoana ni vitu viwili tofauti.Kwahiyo wanaruhusiwa kuoana?
Ungeleta basi hoka nyingine tofauti kama mashoga waruhusiwe kuoana au la.Kwahiyo wanaruhusiwa kuoana?
Tofauti ni kwamba sheria haisemi kwamba kitendo cha ushoga ni criminal na kuoa jinsia moja bado haijaruhusiwa kisheria kwamba upata cheti cha ndoa kutoka serikalini.Hebu nipe tofauti zake tafadhali