Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Wazungu wameshatuharibia vijana wetu

Mkuu acha kubishana kwa feelings bishana kwa fact's. Na pia kubali sometimes kushindwa hakuna shida katika hili itaonyesha ni jinsi gani umekomaa kiakili unless ni ubishi wa vijiweni.
Pengine hujui tofauti ya feeling na fact nimeuliza maswali nataka kujibiwa ni hilo tu...hizo blah blah nyingine ni mambo ya kawaida kwakuwa hapa hatutafuti mshindi wala mshindwa
 
Pengine hujui tofauti ya feeling na fact nimeuliza maswali nataka kujibiwa ni hilo tu...hizo blah blah nyingine ni mambo ya kawaida kwakuwa hapa hatutafuti mshindi wala mshindwa
Kuanza kuingiza mambo ya watoto wa watu sio blah blah nafikiri ni vizuri tukibaki kwenye fact's.
 
Kuanza kuingiza mambo ya watoto wa watu sio blah blah nafikiri ni vizuri tukibaki kwenye fact's.
Mashoga hawakutoka mwezini ni watoto walizaliwa salama na wazazi ndio maana nikawauliza hilo swali ambalo sikujibiwa
 
Mashoga hawakutoka mwezini ni watoto walizaliwa salama na wazazi ndio maana nikawauliza hilo swali ambalo sikujibiwa
Swali lipi umeuliza haujajibiwa??
Unaposama walizaliwa salama una maana gani ? Kwani ushoga ni ugonjwa au maamuzi?
 
Swali lipi umeuliza haujajibiwa??
Unaposama walizaliwa salama una maana gani ? Kwani ushoga ni ugonjwa au maamuzi?
Watoto wengi huzaliwa wakiwa na matatizo mbalimbali ya ulemavu ugonjwa nk
 
Mashoga hawakutoka mwezini ni watoto walizaliwa salama na wazazi ndio maana nikawauliza hilo swali ambalo sikujibiwa
Kadri mtoto anvyokuwa pia personality na sexual behavior zinaanza kuijionyesha ndio maana akishakuwa MTU mzima nia hiari yake kuamua which sexual orientation atachajagua hakuna MTU anakupangia.
 
We hujielewi wewe, inaezekana na wewe ni mmojawapo ya waliotumwa kuendeleza hii Sodom , hata aibu huoni kwa shit unazoongea, yani kabisa dume likupumulie kwa nyuma, halafu useme ni haki zao, wacha kabisa, embu fanya maombi na utubu wewe

Siwezi kubishana na wewe mtu ambaye hata point moja hauna. Unabaki kuleta mambo ya kiimani.
Ongea facts au logic ueleweke.
 
Si wazungu tu wanaoiharibu dunia, wapo waarabu, na wanaojilipua na kuua wenzao kwa kumtetea Allah kama walivyoziacha nchi nyingi kuwa magofu na wakimbizi kibao!
 
imefika wakati sasa tuzi-boost akili zetu ziukubali ukweli.
mashoga wapo tu siku zote.
na hamna ubavu wa kuwafanya lolote lile.
mnatoka majasho bure kubwata hapa, huenda hata baba zenu/kaka zenu/wadogo zenu ni mashoga.
mnapambana na vitu ambavyo haviwezekani hata iweje.
nawahurumia tu kwasababu there is nothing you guys are going to change.
inatia huruma sana pale workdone inapokuwa zero!.
endeleeni kupambana na wavaa sketi, wakati bosi wako anayekulipa mshahara ni shoga.
nenda university ukutane na mashoga mpaka utabloo.
ushoga ni part ndogo ya maisha, haupaswi kuchukuliwa kwamba ushoga ni mtu mzima!!
can't you see other potentials in those you call gays!

So sad.
Mtu kaja hapa na point eti tunapoteza nguvu kazi. Kwani kuwa shoga Ndio mtu ashindwe kufanya shuguli za kijamii??
Gays wapo Kwenye kila sector ya jamii, madereva, wanafunzi, wanasheria, madaktari, wanasiasa nk
And wapo so hardworking .
 
Siwezi kubishana na wewe mtu ambaye hata point moja hauna. Unabaki kuleta mambo ya kiimani.
Ongea facts au logic ueleweke.
We ndio unabishana, coz naona unaleta hadi mihemuko na pivu jingi sana, ati mambo ya kiimani, kumbe ndio maana, duh kwa hili tendo la kupumuliwa kwa behind naamini hata shetani anawaogopa Sasa, Hawa ni kuwachoma [emoji91] tuu
 
Anyways hii ni opportunity Pia, hivi mnaanza kutumia pampas baada ya mda gani na ni zipi??? hizi za watoto wetu ama ni special order ??? Coz jinsi mnatetea hamna namna, ngoja niunde faida tuu
 
Si wazungu tu wanaoiharibu dunia, wapo waarabu, na wanaojilipua na kuua wenzao kwa kumtetea Allah kama walivyoziacha nchi nyingi kuwa magofu na wakimbizi kibao!
Haya nayo yametoka wapi mkuu,au unatafuta uchokozi!
 
Hio picha happ juu inanikumbusha Matola.

MTOTO anapaka mkorogo km ana laana. Halafu sura mbovuuuu!
Dah.
Makalio makavu ka Ndimu iliokauka lkn Bado yumo tu na Vipodozi.
 
Haki za binadamu ni kitu cha kujichanganya mno hata hao unaowasifu wameshindwa kuitimiza kwa asilimia mia
Kusingekuwa na vita dhidi ya mihadharati na madawa ya kulevya
Kusingekywa na sheria kali zinazozuia unywaji pombe uliopitiliza
Mambo ni mengi na Usiwe brainwashed na slogan usizozijua
Weeeeeell said.
 
Back
Top Bottom