Huo ndo unafiki wenyewe[emoji2][emoji2][emoji2]Kuna shoga mmoja alikuwa na saluni pale kinondoni nyuma ya mahakani, kwenye nyumba ya Cosmas Chidumule kwa mbele kidogo kwenye corner.
Cha kushangaza unakuta wahuni wanampinga mchana, lakini ikifika usiku wanambambia!
Hapo ndio nikajisemea hii vita ngumu jamani.
Kuna mwingine alimtumia pm dada wa watu hapa JF anaomba amtafutie mtu wa kumtekenya mk..ndu.Dah mashogaa jau sana cocastic yupo wapi awatetee wenzake
Wazungu wametumaliza Mungu tuepushe na Hawa mashetaninaweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie
Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie
Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan
Vijana wa kiume kubusiana hadharani
Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo
Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike
Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike
Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk
Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1752]
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1752]
Kuna mkanganyiko mkubwa sana linapokuja swala la kupashana habari.. Kukiwa na mifano halisi kama hiyo ku support andiko lako zinakuja dhana kama hizi....[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mshana Jr am sorry to say kuwa unapromote ushoga kwa kiasi kikubwa japo in indirectly. kunamsemo wa kizungu unasema kuwa Seeing is Believing. Uzi wako huu unaonesha mashoga pengine kuna watu humu hawajawahi kuwaona so kupitia uzi huu wataona na kukiamini wanachokiona na worse zaidi ni kukifanyia kazi.
Unatengeneza social proof. kunawatu wanaweza kuwa mashoga na wasiwe away na vile dunia inaenda so wakiendelea kuona wanazaidi kupata hali ya kujiamini katika hali zao.
Kuna mwingine alimtumia pm dada wa watu hapa JF anaomba amtafutie mtu wa kumtekenya mk..ndu.
Ndio nikajua kumbe na hapa JF wapo!
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana
Wapi wazungu walianzisha shule kufundisha ushoga?sie wenyewe tumeiga kwa utashi wetu,vijana wa Afrika hawakufundishwa kujipenda na kujithsmini,kujiona Bora jinsi walivyo,hizo stadi mtoto wa Kiafrika hapati popote,naweka hii post hapa kama ahadi kwa mdau mmoja aliyefuatwa pm na picha za kutisha za mwanaume mwenzake aliye uchi huku kajibinua makalio akimuomba jamaa amshughulikie.
Huyu ndugu siku yake iliharibika kabisa na akaona kama ni mkosi na nuksi kubwa kabisa kuombwa na mwanaume mwenzake amuingilie.
Wazungu ni washenzi sana hii kitu waliipenyeza kidogo kidogo tukapinga na kuikataa kwa nguvu zote lakini taratibu tunaishiwa na pumzi na kuanza kuona kama ni kitu cha kawaida vile.
Kuna vitu vyenye kuacha maswali mengi siku hizi lakini hatuvikemei tenan. Vijana wa kiume kubusiana hadharani. Vijana wa kiume kusuka nywele tena Mitindo
Vijana wa kiume kuvaa nguo za kike. Vijana wa kiume kutoga masikio na kujikwatua kama wanawake huku wakitumia kwa sehemu kubwa vipodozi vya kike. Vijana wa kiume kuvaa mapambo ya kike nk nk
Hakuna dalili njema hapa wazungu wameharibu wa kwao sasa wamekuja kuharibu na wa kwetu...kuna baadhi ya nchi za ulaya sasa hivi kuna uhaba wa watoto wadogo au wanawake wajawazito...nani atawapa mimba?wakati fashion siku hizi ni ndoa za jinsia moja.
Huko mbeleni malezi ya mtoto wa kiume yatakuwa na changamoto kubwa zaidi ya mtoto wa kike na sidhani kama tutaokoka na hii laana
The whites are influencers of out casted cultures... Tuna ndimi mbili misaada yao tunapoipokea ina agenda nyingi za siri nyuma yake... Je tuna ubavu wa kuikataa?Wapi wazungu walianzisha shule kufundisha ushoga?sie wenyewe tumeiga kwa utashi wetu,vijana wa Afrika hawakufundishwa kujipenda na kujithsmini,kujiona Bora jinsi walivyo,hizo stadi mtoto wa Kiafrika hapati popote,
Unazaliwa jamii haikufundishi kitu kizuri kuhusu utamaduni wako,
Sikuwahi kuambiwa kwanini nilibatizwa jina la kizungu,la kwenye biblia,au kwanini nipewe jina Khadija,zaidi utaambiwa lazima ubatizwe jina la mtakatifu maana majina ya Kiafrika sio ya kimungu,unapewa jina Khadija kisa tu mke wa mtume aliitwa Khadija!kwanini nisiitwe chakubanga,kyoma,Simba,tabu,siwema,sikitu,mazengo,rwoma,mwita,magesa,njau,unaaminishwa vya Kiafrika sio vzr,tatizo lipo hapo.
Indeed.Hahahaa...kaazi kweli kweli.
I mean, watu wanafanya ushoga kwa hiari yao halafu wa kulaumiwa wanakuwa wazungu.
Halafu, mtu kama kaamua kwa hiari yake kuwa shoga....kwa nini wengine wahemuke?
Wanawaonea wivu hao mashoga au? Wanatamani wao ndo wangekuwa wanaliwa tigo?
Sioni kwa nini nijishughulishe na mapenzi ya mwingine kuliwa tigo.
Tigo ni yake, maisha ni yake, uamuzi ni wake.
Tatizo liko wapi?