Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi sifirani period.Mama yangu hatombani na watoto period
duh battle of words..Nitakupa mkyundu wangu Walaa sikupi mama yangu try me
haki ya nani nimecheka namimi duhImefika mahali inabidi tu kucheka
hahaha, mkuu nipe maomi kuhusu avatar...ikoje ati ..Avatar yako nayo duu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hata wangekuwa wa kike,brother umeleta uz ambao ambao unagusa jamii moja kwa moja so watu wengine huwa hatuelewi haraka so tarajia majibu mengi yenye ukakasi nawachukia mashoga na washirika waoAsante now I know! You are trying to be very neutral acting the middle way.....it's so natural...mimi ni baba wa watoto watatu wote wa kiume
Hivi mwanaume anasuka ili iweje? Ni tofauti gani kusuka na kupaka wanja?Kusuka naweza kukuelewa kidogo lakini sio kuset wala kuvaa mawigi
Hao hao wazungu ambao watu wanasema tusiwalaumu katika hili utawaona wameshikilia bango na bendera kudai haki za binadamu zinakiukwa. Hawa jamaa wametumezesha vitu vingi sana, vizuri na vichafu sasa mpaka hatujitambui na kila la mzungu kwetu ni dhahabu bila kupima athari yake.Sisi ndio twawaendekeza ilitakiwa hawa watu wasiwe wanaona usiku akijulikana tu ni shoga wanamtoa fasta lazima watajificha au kuacha kabisa
Kiongozi naona umeletewa chakula ndani kabisa, watu wanauza in "open space" siku hizi....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Lakini vilainishi vimepigwa marufuku
Wasiwe kama kina James DeliciousMungu warehemu watoto wetu......waokoe watoto wetu.......walinde watoto wetu......wawe wanaume kama ulivyowaumba.