Wazungu wanajiamini nini mpaka kutembea nusu uchi hadharani?

Wazungu wanajiamini nini mpaka kutembea nusu uchi hadharani?

Ni jamii iliyostaarabika.
Ukiwa kwao kila mtu anajali mambo yake..kuhusu mavazi wao hawana tabia ya kufuatiliana kama huku tangagiza.

Ikiacha kwao Ulaya..hata hapa Nairobi mabinti kutembea nusu uchi ni kawaida tu.

Siajabu kumuona binti kavaa blauzi inayofikia matakoni na chupi peke yake.
Interesting!!!!
 
Maisha yao hawana kitu kinachoitwa maadili,Wao wana kitu kinaitwa utandawazi ndo maana kila unachokiona cha ajabu kwenye jamii yetu mzungu anafanya
hicho unachoona maadili tumeiga kutoka kwao na huo utandawazi wameiga kutoka kwetu.
Jamii nyingi za kiafrika hasa za chini ya jangwa la sahara "uchi" ulikuwa ni viungo vya uzazi (dhakari na k#ma) pamoja na njia ya aja kubwa (mk#ndu) lakini chuchu, mapaja, tumbo havikuonekana kuwa ni uchi vinapokuwa wazi.

Kwaiyo usiseme hawana maadili kwa kuiga tamaduni yako.
 
Hawa jamaa si binadamu wa kawaida linapokuja suala la aibu.
Nakumbuka hapo zamani tulikuwa sehemu na hawa jamaa toka Melbourne 🦘 wakifanya kitu inaitwa sunbathing kwenye mawe. Mzee mzungu mwenye familia yake akawa anapiga gitaa lake huku mguu mmoja ukiwa kwenye jiwe kama ilivyo hapa chini:
View attachment 2240437
Kwa kuwa mzee alikuwa na kitu kama boxer tu, kende zikawa zimepata upenyo halafu binti yake mkubwa tu akaziona akamwendea akazishika na kuzirudisha.

Mzungu baba aligeuka na kusema 'Ooh, thank you!" huku akiendelea kutoa burudani kwa kucharaza gitaa na kusindikiza mlio wake kwa wimbo.


Sasa sijui angekuwa baba mkurya kashikwa kende na bintiye ingekuwaje!
🤣🤣🤣
 
Hapo ni ile kona ya mtaa wa Calle la Feliz ukikunja hapo mbele unaingia ufukweni, ukirudi walipotokea unakua unaenda Pablo De La Luna kuna bonge moja la danguro. Ibiza moja hiyo umenikumbusha mbali sana mwaka 2006 ndo niliota nipo Ibiza
Ibiza ya buza au😂😂😂
 
Wazungu hawana nyege mkuu ndio maana wao mtoto mmoja wawili mwisho tena kwakujiforce. Hata ivo huko watu wengi ingekua bongo vichochoro vingi ubakaji ungekua njenje
 
Biashara ya madera inaweza lipa Sana tununue tuwapelekee
 
Hao mbona wamevaa, vipi kuhusu wale nudist. Na ipo mitaa na beach uruhusiwi kuvaa nguo mnaenda uchi.
 
Awaweki ngono kipaumbele chao, maana ngono kwao ni SAwa na maji ya kunywa
 
Hawana mvuto, hat wapite uchi hawashtui zaidi wanachekesha
 

Attachments

  • Screenshot_20220528_194940.jpg
    Screenshot_20220528_194940.jpg
    93.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220528_194940.jpg
    Screenshot_20220528_194940.jpg
    93.6 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220528_194925.jpg
    Screenshot_20220528_194925.jpg
    91.1 KB · Views: 14
Back
Top Bottom