Ila hawa wamezidi khaaaah. [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]View attachment 2241165View attachment 2241166
Hizi ni picha za CR7 na mama ake
Hawa watu sijui wanawezaje,kuna baba aliwahi lala na mwanae wa kike mpaka asubuhi na binti kamkumbatia baba
Interesting!!!!Ni jamii iliyostaarabika.
Ukiwa kwao kila mtu anajali mambo yake..kuhusu mavazi wao hawana tabia ya kufuatiliana kama huku tangagiza.
Ikiacha kwao Ulaya..hata hapa Nairobi mabinti kutembea nusu uchi ni kawaida tu.
Siajabu kumuona binti kavaa blauzi inayofikia matakoni na chupi peke yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3059][emoji1787]Tumewaharibu sana wazungu. Kutembea nusu uchi ni utamaduni wa muafrika.
Kwa hiyo amevaa huyuHilo ni picha la ngono..
Kwa hiyo amevaa huyu
hicho unachoona maadili tumeiga kutoka kwao na huo utandawazi wameiga kutoka kwetu.Maisha yao hawana kitu kinachoitwa maadili,Wao wana kitu kinaitwa utandawazi ndo maana kila unachokiona cha ajabu kwenye jamii yetu mzungu anafanya
๐คฃ๐คฃ๐คฃHawa jamaa si binadamu wa kawaida linapokuja suala la aibu.
Nakumbuka hapo zamani tulikuwa sehemu na hawa jamaa toka Melbourne ๐ฆ wakifanya kitu inaitwa sunbathing kwenye mawe. Mzee mzungu mwenye familia yake akawa anapiga gitaa lake huku mguu mmoja ukiwa kwenye jiwe kama ilivyo hapa chini:
View attachment 2240437
Kwa kuwa mzee alikuwa na kitu kama boxer tu, kende zikawa zimepata upenyo halafu binti yake mkubwa tu akaziona akamwendea akazishika na kuzirudisha.
Mzungu baba aligeuka na kusema 'Ooh, thank you!" huku akiendelea kutoa burudani kwa kucharaza gitaa na kusindikiza mlio wake kwa wimbo.
Sasa sijui angekuwa baba mkurya kashikwa kende na bintiye ingekuwaje!
Ibiza ya buza au๐๐๐Hapo ni ile kona ya mtaa wa Calle la Feliz ukikunja hapo mbele unaingia ufukweni, ukirudi walipotokea unakua unaenda Pablo De La Luna kuna bonge moja la danguro. Ibiza moja hiyo umenikumbusha mbali sana mwaka 2006 ndo niliota nipo Ibiza
Somo la Logic ulipata ngapi dogo? Au umesoma miaka ya Mkapa?Ibiza ya buza au๐๐๐
Serious?Hao mbona wamevaa, vipi kuhusu wale nudist. Na ipo mitaa na beach uruhusiwi kuvaa nguo mnaenda uchi.
True, we nenda tu kaserebuke nao tu masharti usivae nguo. Ingia google andika nudistSerious?
Na sex inaruhusiwa?True, we nenda tu kaserebuke nao tu masharti usivae nguo. Ingia google andika nudist
Kwann isiruhusiwe hapo ni beach, pia kuna mitaa KILA mtu hana nguo hadi maofisini, wanaamini kwamba mwanadamu aliumbwa uchi bila nguo.Na sex inaruhusiwa?