Wazungu wanasema Tanzania rushwa imepungua Sana wakati wa Rais Samia kuliko ule wa Magufuli. Watanzania wanasema rushwa inaongezeka. Je, ipi ni ipi?

Ulizeni kwa nini ndege zetu zilinunuliwa na Magufuli cash cash!
 
Jiwe ndiye alikiwa chanzo cha rushwa na wizi, kumbuka alivyowagawia mahawara zake nyumba za Serikali
Ona huyu?

Chanzo cha rushwa anaweza akawa huyo kweli?.. Zee la msoga lilikuwepo kabla ya JPM.
 
Rushwa imepungua ila kelele za rushwa ndio zimeongezeka,

Wakati wa Magufuli kusema kuwa Serikali ina rushwa lilikuwa kosa kubwa,

Leo rushwa imepungua ila kelele zimeongezeka,
 
Hata hiyo smartphone unayoitumia kuandika huu uozo wako pia ni toka kwa Mzungu
 
Hilo ni kweli kabsa, kama mtu anaweza kukulazimisha uvae nguo zake alizotumia kuanzia chupi na ukisema hapana anakwambia ukija kukopa sikupi mkopo.
Kagame kapiga marufuku biashara ya mitumba Rwanda. Sasa fanya hivyo Tanzania uone watakaokukoromea ni kina nani: wazungu au wanyonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…