Wazungu wanaziponda sana hizi nyumba. Kumbe ndiko tulikojifunza kujenga "mapiramidi!"

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Kuna hizi nyumba wazungu/Wamarekani wanazichamba balaa. Utacheka wakianza kuzichamba. Wanaziita Mcmansions(Poor man mansions).

Ni zile nyumba kubwa, zina manjonjo mengi na zaidi paa linachukuwa sehemu kubwa ya nyumba. Nimegundua hizi nyumba zetu za kisasa ni viMcmasnions vidogo. Ujenzi wetu simple wa zamani ulikuwa mzuri sana.

Hizi McMansions na wanavyozichamba.





Naona sisi tumeamua kujenga vi MiniMcMansions.




 
Wana haki ya kuziponda, ni poor mansions kweli, maana haijafikia kuitwa mansion.
Ila sie huku kwetu kibongo bongo kupata kibanda kama hicho ni umetoboa kichizi, maana gharama za ujenzi hazijalegea.
Let us say umetumia kujenga kati ya milioni 70-100 hapo si mchezo kwa kwetu ila kwa kwao pesa hiyo ni ya madafu kweli kweli, huwezi pata nyumba kizembe hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…