Tunaanza na hapa kwetu Afrika, utumwa ulikuwepo hata kabla ya waarabu na wazungu kuja, hapo badae soko la watumwa wa kiafrika lilikuwa kubwa na kutufanya sisi kwa sisi waafrika tuanze kuuzana kwa wageni, hivyo nasi tulishiriki kwa kiasi kikubwa sana kwenye utumwa
Warabu walikuwa na watumwa na hapo badae kuanza kununua watumwa huku Afrika, hawa walipinga sana harakati za mzungu kupiga stop utumwa, ilibidi kuwe na jitihada za ziada, mpaka leo nchi za kiarabu kama Libya na Mauritania bado kuna biashara ya utumwa kwa waafrika wanaowakamata wakijaribu kuvuka nchi hizo kwenda ulaya.
India kulikuwa na watumwa ila mpaka leo wana matabaka ya kuamini flani yupo chini ya flani, makampuni ya wahindi hapa kwetu yamekuwa yakilalamikiwa baadhi ya mambo kufanyika kitumwa
Wazungu wao kwa wao walitumikishana, waingereza waliwahi kuwa na makoloni mengi hapa duniani kuanzia india, nchi za kiarabu, china, n.k.
China kulikuwa na watumwa
Israel kulikuwa na watumwa
Walatini walikuwa na wafltumwa, mfano mzuri muvi ya apocalypse
Kwenye vitabu vya dini kulikuwa na watumwa
..................
Lakini licha ya wazungu kupiga stop utumwa bado walikuwa na nafuu kwa mbali, walitupa elimu, waliruhusu watumwa tuweze kujiongoza kwa kiwango flani, waliruhusu kuzaliana leo hii kuna wamarekani babu zao walikuwa watumwa, ikafikia hatua wazungu wao wenyewe wakaona utumwa sio sawa wakaupiga ban.
Na kumbuka mwenye mamlaka makubwa ya kuchukua hatua hii ni yule anaetumikisha sio watumwa wanaotumikishwa,
Si kuharamisha tu utumwa kwa binadamu lakini wazungu wapo mbele zaidi wameweza kutokomeza kwa kiasi kikubwa unyanyasaji wa wanyama.
Warabu walikuwa na watumwa na hapo badae kuanza kununua watumwa huku Afrika, hawa walipinga sana harakati za mzungu kupiga stop utumwa, ilibidi kuwe na jitihada za ziada, mpaka leo nchi za kiarabu kama Libya na Mauritania bado kuna biashara ya utumwa kwa waafrika wanaowakamata wakijaribu kuvuka nchi hizo kwenda ulaya.
India kulikuwa na watumwa ila mpaka leo wana matabaka ya kuamini flani yupo chini ya flani, makampuni ya wahindi hapa kwetu yamekuwa yakilalamikiwa baadhi ya mambo kufanyika kitumwa
Wazungu wao kwa wao walitumikishana, waingereza waliwahi kuwa na makoloni mengi hapa duniani kuanzia india, nchi za kiarabu, china, n.k.
China kulikuwa na watumwa
Israel kulikuwa na watumwa
Walatini walikuwa na wafltumwa, mfano mzuri muvi ya apocalypse
Kwenye vitabu vya dini kulikuwa na watumwa
..................
Lakini licha ya wazungu kupiga stop utumwa bado walikuwa na nafuu kwa mbali, walitupa elimu, waliruhusu watumwa tuweze kujiongoza kwa kiwango flani, waliruhusu kuzaliana leo hii kuna wamarekani babu zao walikuwa watumwa, ikafikia hatua wazungu wao wenyewe wakaona utumwa sio sawa wakaupiga ban.
Na kumbuka mwenye mamlaka makubwa ya kuchukua hatua hii ni yule anaetumikisha sio watumwa wanaotumikishwa,
Si kuharamisha tu utumwa kwa binadamu lakini wazungu wapo mbele zaidi wameweza kutokomeza kwa kiasi kikubwa unyanyasaji wa wanyama.