Wazungu wapewe maua yao na si lawama, Utumwa ulikuwepo Dunia nzima, Wao ndio walikuwa wa kwanza kuanzisha harakati za kuufuta

Kwa kawaida Wazungu wana akili sana na Maarifa popote walipo
Wapo mbele sana kwenye mambo ya haki, Huko kwao hata wanyama wana haki zao, ukikutwa unamnyanyasa mnyama ujipange.
 
Wapo mbele sana kwenye mambo ya haki, Huko kwao hata wanyama wana haki zao, ukikutwa unamnyanyasa mnyama ujipange.
Wako mbele kwa kila kitu katika maisha haya ya chini ya jua kwa karne nyingi nyuma...a blessed race
 
Kuwa na akili kdg basi.

Mzungu (Uingereza) alifuta utumwa Africa ili kuwaumiza superpowers wengine ambao uchumi wao ulikua umejengeka kwenye concept ya slavery ikiwemo uarabuni na rumi (roman)

Ww na akili zako unadhan hata siku moja mzungu atakua na mahaba na mwafrika?
 
Fanya research kidogo basi

Roman empire ilikufa zamani mno kabla hata vasco da Gama na waarabu kuja Afrika
 
Anaeamua utumwa uachike kwa kiasi kikubwa ni mkoloni sio mtumwa, ilifika kipindi wao wakaona ukoloni haufai wakatupa nchi kwa amani (wangeamua kukaza wangeweza)
 
Toa upumbavu wako hapa !

View attachment 2956185
Utumwa upo tangu zamani duniani kote, iwe kwa waarabu waislam, wazungu wakristo, wahindi wahindu, wachina wabudha, waafrika waliokuwa na dini zao, wasio na dini, n.k. Hata biblia na Quran zilitambua uwepo wa watumwa

Wazungu ndio walioleta harakati za kuupiga stop
 
Halafu anakuja kenge wa dini fulani anadai kuwa wazungu ndio walikuwa vinara wa biashara ya utumwa na si waarabu ili hali kuna mikataba kama heligoland na moresby treaty ya kukomesha biashara ya utumwa
hebu na wewe wacha huo ukenge unaoita wenzakp, hivi hiyo heligoland treaty inahusu nini wakati ilikuwa ni issue ya kubadilishana visiwa ili waweze kutawala vizuri zaidi? Au umeona ukitaja hiyo treaty ndiyo wengine hatujawahi kusikia? Unadhani hatujui kama hizo treaties ni mbinu tu za watawala kumiliki nchi nyingine?

Na vile vile tunajua kuwa hasa Waingereza walianza kupiga vita utumwa baada ya kuona hauna faida kwao na hasa baada ya kuanza kutengeneza mashine za kufanyia kazi mbali mbali.

Nenda kaangalie clips za Thomas Sowell kuhusu biashara ya utumwa kwenye youtube utapata maelezo ya kutosha.
 
India ilikuwa na matajiri mpaka walipokuja hao washenzi kupeleka utumwa.
 
Wazungu wanajilewa.
 
Weusi waliopelekwa katika Asia waliishia wapi kwa sababu hawapo hadi sasa. Lakini tunawaona we us I waliopelekwa Ulaya na Marekani, mabaki yao yapo. Wazungu wanapenda rasilimali(mali) lkn wana kuwa na ubinadamu. Hadi sasa katika utumwa mambo leo, ukifanya kazi shirika la mzungu, utalipwa vizuri na ubinadamu unakuwepo. Fanya kazi na watu wa Asia, unaweza hata usipewe likizo, au hata kuhudhuria msiba wa mzazi.
 
Naona ngozi nyeusi hasahasa waabudu mfu mnavyo waabudu wazungu sijui ndio ujinga na ukilaza! Hata huku posta nawachoraga sana mnavyo wanyenyekea hao mabwana zenu! Kiufupi ngozi nyeusi na wazungu wote siwapendi maisha yangu yote! Kuna demu mbongo bahati mbaya alishika mimba yangu nilifanya kila niliwezalo mpaka mimba ikatoka!!!!
 
sawa, tuondoe helgoland, tubaki na mkataba wa moresby. Mbona waarabu ndio walifanya huo ushenzi na kumbukumbu zipo hadi leo. Hebu nenda bagamoyo na zanzibar kajionee
 
Halafu anakuja kenge wa dini fulani anadai kuwa wazungu ndio walikuwa vinara wa biashara ya utumwa
Ni kweli walikuwa Vinara na hawsa Wareno Wabritish na Waspanish na Wadachi.

Lakini baadae waliamua kupiga Marufuku.
 
Walipiga marufuku baada yakutokea mapinduzi ya viwanda na mashine ila kwa huruma yao
 
Ni kweli walikuwa Vinara na hawsa Wareno Wabritish na Waspanish na Wadachi.

Lakini baadae waliamua kupiga Marufuku.
na hawa waarabu unawatoa vipi wakati hata sasa bado wanafanya ushenzi huo kwa staili mpya, mbwa hao huwezi kuwatoa kwenye kadhia hiyo
 
na hawa waarabu unawatoa vipi wakati hata sasa bado wanafanya ushenzi huo kwa staili mpya, mbwa hao huwezi kuwatoa kwenye kadhia hiyo
Sijawatoa kwenye kadhia hiyo Waarabu ndio the worst, na bila European Powers kupiga Marufuku Biashara ya Utumwa Mwarabu angeendelea kuifanya mpaka kesho.

Na mpaka leo Mwafrika akiwa Uarabuni anaitwa "Al Abidi" yaani Mtumwa na hata kama hawatakuita basi wakiwa wanakuongelea bila wewe kuwepo watakuita Mtumwa.
 
sawa, tuondoe helgoland, tubaki na mkataba wa moresby. Mbona waarabu ndio walifanya huo ushenzi na kumbukumbu zipo hadi leo. Hebu nenda bagamoyo na zanzibar kajionee
ingia na Congo pia ukajionee Leopold alivyokuwa akifanya, nenda West Africa ukaone jinsi mzungu alivyokuwa akifanya...... simply ni kwamba hii biashara ilikuwa inahusisha makabila mengi wakiwemo waafrika lakini wewe unaishia kukomalia hao waarabu kwa kuwa ni wa dini fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…