WCB, Diamond na Rayvanny watozwa Tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'

WCB, Diamond na Rayvanny watozwa Tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'

M9 kwa wasafi ni ndogo sana...wasihisi wamewakomoa
 
Ungekuwa na watoto usingese!a huoo upuziii...lakini pia ukiweza kuimba huo wimbo mbele ya mama na baba akoo bhasi basata watakuwa Wamekoseaa...!
Nyegezi na iokote ipi ina maudhui mabaya?
 
hawa wapumbavu wasidhani muziki ni kwa Tanzania pekee, this shit is global. tena rayvanny asiuondoe huo wimbo youtube sheria za basata ziishie tanzania pekee. Pale youtube wangefanya kuublock usionekane tanzania tu ila kwengine uonekane kama kawaida.
 
hawa wapumbavu wasidhani muziki ni kwa Tanzania pekee, this shit is global. tena rayvanny asiuondoe huo wimbo youtube sheria za basata ziishie tanzania pekee. Pale youtube wangefanya kuublock usionekane tanzania tu ila kwengine uonekane kama kawaida.

Ndivyo walivyofanya mkuu, hawa Jamaa akili mingi sana. Tena kwa TZ mtu unaweza kuuangalia kupitia VPN
 
[emoji2][emoji2][emoji1] me naona bora ule pini maana dah..vitoto mtaani ni hiyo song tu, Tena hawaimalizii mpaka mwisho..
Utasikia NYEGE..NYEGE.........
 
WCB , Diamond na Rayvanny wametozwa tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'

BASATA imewatoza faini ya Tsh. Milioni 3 kila mmoja Mwanamuziki Diamond Platnumz, Mwanamuziki Rayvanny na Lebo nzima ya Wasafi Classic

Aidha, Wasanii hao wamepewa maelekezo wauondoe wimbo huo 'YouTube' vinginevyo wa mamlaka waliyonayo BASATA watafungiwa kufanya shughuli za sanaa

Vile vile BASATA imesisitiza kuwa mtu yeyote, kwa sehemu yoyote au chombo chochote kisiutumie wimbo huo kwa sababu haufai kwa matumizi yoyote yale
Wakiuondoa wimbo Youtube,halafu ukabaki Vevo hapo itakuwaje?

Wakiuondoa wimbo Youtube, halafu wimbo ukabaki kwenye Youtube Channel ya mtu mwingine ambaye hawana uhusiano naye, aliudownload na yeye akauweka, hapo itakuwaje?
 
WCB , Diamond na Rayvanny wametozwa tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'

BASATA imewatoza faini ya Tsh. Milioni 3 kila mmoja Mwanamuziki Diamond Platnumz, Mwanamuziki Rayvanny na Lebo nzima ya Wasafi Classic

Aidha, Wasanii hao wamepewa maelekezo wauondoe wimbo huo 'YouTube' vinginevyo wa mamlaka waliyonayo BASATA watafungiwa kufanya shughuli za sanaa

Vile vile BASATA imesisitiza kuwa mtu yeyote, kwa sehemu yoyote au chombo chochote kisiutumie wimbo huo kwa sababu haufai kwa matumizi yoyote yale
Milioni 9 ndogo sana ilitakiwa wapigwe 900 ingependeza.
 
Anae wachagua Viongozi wa Basata Ni nani????

Kinacho nikeraga Ni Wasanii kuwashobokea BASATA

BASATA kuendelea Kuongea ongea kuhusu wimbo huuu ni kuupa kiki now days Watanzania Washa Janjaruka Wimbo ukitoka Tuuu wa Download basi labda watukamate watanzania wote tunaosikiliza huo wimbo
Naomba unielekeze namna ya kupakua wimbo YouTube kwa simu maana app nilizokuwa natumia zamani now zinakataa nilikuwa natumia tubemate na videoder
 
Naomba unielekeze namna ya kupakua wimbo YouTube kwa simu maana app nilizokuwa natumia zamani now zinakataa nilikuwa natumia tubemate na videoder
Tumia vidmate
 
Nyegezi na iokote ipi ina maudhui mabaya?
Shida Neno NYEGEEE bhasiii...Why wafupishee Nyegeziii....!??? Iokotee popotee inaimbwaa maana ni ngumu hata mtoto kujua ni matusii sasaa neno Nyegee leynyewee tayari ni Tusii.. Iokotee haina tusi direct ilaa tafsida tu
 
Sawa mwenyekiti wa BASATA
Shida Neno NYEGEEE bhasiii...Why wafupishee Nyegeziii....!??? Iokotee popotee inaimbwaa maana ni ngumu hata mtoto kujua ni matusii sasaa neno Nyegee leynyewee tayari ni Tusii.. Iokotee haina tusi direct ilaa tafsida tu
 
Sawa mwenyekiti wa BASATA
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]bhasi nyegee....nyegeee...nyegezii nimeifungulia Mimi Kama mwenyekiti Basata na itabdi Leo uipige mbele ya familia yako Kama sio wazazi wakoo...
 
Back
Top Bottom