rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Ungekuwa na watoto usingese!a huoo upuziii...lakini pia ukiweza kuimba huo wimbo mbele ya mama na baba akoo bhasi basata watakuwa Wamekoseaa...!Nahisi huu ni uonevu wa kiwango cha PhD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa na watoto usingese!a huoo upuziii...lakini pia ukiweza kuimba huo wimbo mbele ya mama na baba akoo bhasi basata watakuwa Wamekoseaa...!Nahisi huu ni uonevu wa kiwango cha PhD
WAMESHAI BLOCK.. KWA BONGO HAIPO ILA NJE YA NCHI UNAWEZA KUONA.WAME BLOCK IP ADRESS YA TANZANIA
Sisi wa nje tunaendelea kuifaidi.WAMESHAI BLOCK.. KWA BONGO HAIPO ILA NJE YA NCHI UNAWEZA KUONA.WAME BLOCK IP ADRESS YA TANZANIA
Nyegezi na iokote ipi ina maudhui mabaya?Ungekuwa na watoto usingese!a huoo upuziii...lakini pia ukiweza kuimba huo wimbo mbele ya mama na baba akoo bhasi basata watakuwa Wamekoseaa...!
hawa wapumbavu wasidhani muziki ni kwa Tanzania pekee, this shit is global. tena rayvanny asiuondoe huo wimbo youtube sheria za basata ziishie tanzania pekee. Pale youtube wangefanya kuublock usionekane tanzania tu ila kwengine uonekane kama kawaida.
Wakiuondoa wimbo Youtube,halafu ukabaki Vevo hapo itakuwaje?WCB , Diamond na Rayvanny wametozwa tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'
BASATA imewatoza faini ya Tsh. Milioni 3 kila mmoja Mwanamuziki Diamond Platnumz, Mwanamuziki Rayvanny na Lebo nzima ya Wasafi Classic
Aidha, Wasanii hao wamepewa maelekezo wauondoe wimbo huo 'YouTube' vinginevyo wa mamlaka waliyonayo BASATA watafungiwa kufanya shughuli za sanaa
Vile vile BASATA imesisitiza kuwa mtu yeyote, kwa sehemu yoyote au chombo chochote kisiutumie wimbo huo kwa sababu haufai kwa matumizi yoyote yale
Milioni 9 ndogo sana ilitakiwa wapigwe 900 ingependeza.WCB , Diamond na Rayvanny wametozwa tsh milioni 9 kutokana na maudhui mabovu ya wimbo 'Mwanza'
BASATA imewatoza faini ya Tsh. Milioni 3 kila mmoja Mwanamuziki Diamond Platnumz, Mwanamuziki Rayvanny na Lebo nzima ya Wasafi Classic
Aidha, Wasanii hao wamepewa maelekezo wauondoe wimbo huo 'YouTube' vinginevyo wa mamlaka waliyonayo BASATA watafungiwa kufanya shughuli za sanaa
Vile vile BASATA imesisitiza kuwa mtu yeyote, kwa sehemu yoyote au chombo chochote kisiutumie wimbo huo kwa sababu haufai kwa matumizi yoyote yale
Naomba unielekeze namna ya kupakua wimbo YouTube kwa simu maana app nilizokuwa natumia zamani now zinakataa nilikuwa natumia tubemate na videoderAnae wachagua Viongozi wa Basata Ni nani????
Kinacho nikeraga Ni Wasanii kuwashobokea BASATA
BASATA kuendelea Kuongea ongea kuhusu wimbo huuu ni kuupa kiki now days Watanzania Washa Janjaruka Wimbo ukitoka Tuuu wa Download basi labda watukamate watanzania wote tunaosikiliza huo wimbo
Tumia vidmateNaomba unielekeze namna ya kupakua wimbo YouTube kwa simu maana app nilizokuwa natumia zamani now zinakataa nilikuwa natumia tubemate na videoder
Asante bossTumia vidmate
Asante boss
Shida Neno NYEGEEE bhasiii...Why wafupishee Nyegeziii....!??? Iokotee popotee inaimbwaa maana ni ngumu hata mtoto kujua ni matusii sasaa neno Nyegee leynyewee tayari ni Tusii.. Iokotee haina tusi direct ilaa tafsida tuNyegezi na iokote ipi ina maudhui mabaya?
Shida Neno NYEGEEE bhasiii...Why wafupishee Nyegeziii....!??? Iokotee popotee inaimbwaa maana ni ngumu hata mtoto kujua ni matusii sasaa neno Nyegee leynyewee tayari ni Tusii.. Iokotee haina tusi direct ilaa tafsida tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]bhasi nyegee....nyegeee...nyegezii nimeifungulia Mimi Kama mwenyekiti Basata na itabdi Leo uipige mbele ya familia yako Kama sio wazazi wakoo...Sawa mwenyekiti wa BASATA