MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Kwa nini waliacha kufungia ile nibebe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wataendaje kufanya matamasha huko bila kibali cha mamungu wa BASATA chini ya serikali ya JIWE ?Kuzuiwa kufanya shughuli za sanaa nchini...wanaweza kwenda kufanyia kenya au hata south africa, hawana ubavu huo hawa viongozi wa BASATA waondolewe
Mil 9 ni chenji lakini kwakuwa umeitolea jasho na unaitoa kwa ajili ya upuuzi wakeee inauma pia...!Too late! Hapo ndipo ninapo ona yule dada yetu aliyetaka kupigwa na Sugu lakini akamuonea huruma (sijui tayari amesha tuletea mjomba au bado) anapo kurupuka kwa kushirikiana na Basata yake. Alisema kuwa wimbo kabla ya kutolewa kwenye public ni lazima msanii apeleke mashairi yake ya huo wimbo BASATA ili yakahakikiwe. Sasa kwa Vanny boy na Mond kwa nini waliruhusu mpaka wimbo umevuja watu wamesha pakua tayari ndio wanagundua makosa. Anyway hizo hela kwa Mond nina uhakika ni sawa na chenji tu labda angekuwa yule "yoh"
Nani kapakuliwa mtaro tena?[emoji56]Kama wimbo ilikua ni kuisifu na kuizungumzia Mwanza mambo ya kupakuana mitaro Mara mambo ya umber ruty yameingiaje!
Basata wako sahihi!
wamembia vijana wezao wenye rika moja na wao, sasa hapo hakuna shidaJaribu kuwa serious basi,akafanyie mziki nje ya nchi ? Angeweza tu kama mashairi yake pamoja na lugha ingekuwa inajulikana ,hivi unapoimba nyege,nyege ,nyegezi unakuwa unaimanisha nini?
Ile ya Rose Muhando?[emoji51][emoji56]Kwa nini waliacha kufungia ile nibebe?
Ungekuwa na watoto usingese!a huoo upuziii...lakini pia ukiweza kuimba huo wimbo mbele ya mama na baba akoo bhasi basata watakuwa Wamekoseaa...!
Unatumia VPN tu kuucheki weka ip adress ya kenya kazi kwisha
Bhasi sikiliza na wazazi wakoo...! Au imbaa tu kwenye gari ambapo kuna wazeee hata vijana wanaojielewaaa... Achenii kutetea ujingaaHivi ni lazima kila kitu msikilize na watoto?
Bhasi sikiliza na wazazi wakoo...! Au imbaa tu kwenye gari ambapo kuna wazeee hata vijana wanaojielewaaa... Achenii kutetea ujingaa
Wewe jamaa ni kichwani maji kabisa hivi unadhani watoto nyimbo wanajifunzia nyumbani? Watoto wanacheza mtaani na huko mtaani Kuna vilibrary na soloon ambazo zinapiga nyimbo muda wote, mtoto anajifunza vitu vingi mtaani kuliko nyumbani, ukisema usiupige nyumbani lakini mtoto akarudi anaimba nyege nyege nyege.Hivi ni lazima kila kitu msikilize na watoto?