TayariText me if you seen it and say i lve you the way i do
Yeah! Nimekumbuka ulivyomzimia N....Nilishawahi sana tu
Nan huyo tena?Yeah! Nimekumbuka ulivyomzimia N....
Duh! 😹😁Hahahaha 😂
Dada hupoi Wala huboi🤸
Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
I love you!
Hiyo Mali Safi naipenda kinoma mkaliSijaelewa mkuu😄
Umemchana, au umemkalia tu kimya naye hana habari?Mimi mwenyewe Humu Kuna mtu namzimia sana Sema ndo hivoo naolewa soon
Ngoja ndoa ipite yatazungumzika
Usijali nakupenda pia mtoto mzuri..🥰Nimekataliwa ana mutu wake so nani anipe moyo nisinywe pombe
Daah😂N...h
Ndio hivyo mkuu ulikua mzito wajanja wakakuzidi pole sana master ,ila chuma zipo nyingi mkuu.Hiyo Mali Safi naipenda kinoma mkali
Siunaona kaamua kuolewa asee jamaa.
😃N...h
I love youText me if you seen it and say i lve you the way i do
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai komaa mkali.