Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
ok shukrani mkuu nimekupata nitajaribu kufanya hivyo nitauleta mrejesho!Kula mizizi na tembea uchi wewee acha porojo na maneno meeengii jamvini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok shukrani mkuu nimekupata nitajaribu kufanya hivyo nitauleta mrejesho!Kula mizizi na tembea uchi wewee acha porojo na maneno meeengii jamvini
Dogo huo sasa ukomavu. Nimependezwa na ujasiri wako. Endelea kula mizizi na kutembea uchi na acha mara moja porojo jamvini. Usisahau kuleta mrejesho.ok shukrani mkuu nimekupata nitajaribu kufanya hivyo nitauleta mrejesho!
Ha ha ha!!Nimetest bhuana kumbe pc nimeunga na subwoofer kwa bluetooth na sebuleni ipo familia aisee. Kijasho chembamba kimeshuka
nime fanyaje tena jamani?Pia bila kumsahau mzabzab
Wananunua views 😁😁😁😁Humu kila mtu ni mchungaji 😊 hata hvyo hzo site video zake zina view nyingi kuliko site zozote zile za video unazozijua we , sasa nawaza watazamaji ni akina Nani😀
Tumia VPN dogo mzigo unakuja bilashakaNani kafanya uu upuuzi wameban saa ngapi hakika tutamkumbuka yuke mtu alafu ndo kwanzaa asubuhi ,tukafanye tambiko chato kufuta hizi kauli za marehemu
Wamefanya vizuri Sana, kongole kwa serikali kuondoka huu upuuzi.Mitandao mingi hasa ile iliyozoeleka na watu kama Xvideos,pornhub na mingine imepigwa ban
Tanzania siyo kisiwa, we ndezi.wamefanya la maana mno, porns na mitandao ya ngono imeharibu na ilichangia kuharibu watoto, vijana na wazee.
Zilichangia mno kuleta na kuhamasisha mambo ya ufirauni na ushoga. Pia zinachangia kuleta mihemko ya ajab na ya kishetani kwa rika zote.
Tena wapige life ban watakuwa wamekomboa vizazi vyetu na mambo ya ngono zembe na mambo ya ajabu
Na nashauri mitandao yote inayotangaza biashara za umalaya, ukahaba na ushoga kama insta, telegram na pamoko ipigwe life ban na ifutwe yote haifai
Ibaki mitandao yenye maana kama twitter
PIA BAA ZOTE, KUMBI ZOTE NA VIWANJA VYOTE VINAVYOTUMIWA NA MALAYA NA MAKAHABA KWAAJILI YA BIASHARA ZA UKAHABA ZIFUNGWE NA ZIFUTWE KABISA POLICE WAMWAGWE MAENEO HAYO ILI KUDHIBITI MALAYA.
TANZANIA NI KISIWA CHA AMANI NA BARAKA. HATUTAKI HARAMU.
mnapenda anasa za dunia kuliko mawaidha ya wenye hekima. Fuata hekima uishi kwa amani na kuwa na raha za kudumu, achana na anasa za dunia zenye raha za muda mfupi.Tanzania siyo kisiwa, we ndezi.
Hakuna amani mahala watu wana nyege muda wote.