Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Wakuu twendeni ndani turudi nje uraibu wa porn sio mzuri na nichanzo cha michezo michafu pia mtu anasikia neno usagaji au ushoga akienda kule anaukuta!,akianza ku practice matokeo yake ni nini hiyo! Tusilaumu tu serikali angalieni na upande wapili watu inawaathiri kisaikolojia mtu anashindwa kuacha punyeto kisa porn!.

Kwa hili serikali naiunga mkono wafunge tu hakuna namna sio pazuri kule!. Huwezi kuelewa madhara yake mpk uone mtu alie addicted na wengi hupenda kuacha lakini kesho anashindwa maana access yake ni kugusa tu pilau hilo!.
 
Nchi ina matatizo Mengi,ajira,corona,ufisadi,utawala mbovu,
Raisi yupo bize kutuletea sheria za dini yake,siku si nyingi utasikia marufuku wanaume kusuka,kuvaa hereni,hakuna kuimba singeli,
Hii mijitu yenye imani kali za dini,haioni shida kuua kuiba,lakini inaona shida kuvaa hereni(wanaume),
 
Wakuu twendeni ndani turudi nje uraibu wa porn sio mzuri na nichanzo cha michezo michafu pia mtu anasikia neno usagaji au ushoga akienda kule anaukuta!,akianza ku practice matokeo yake ni nini hiyo! Tusilaumu tu serikali angalieni na upande wapili watu inawaathiri kisaikolojia mtu anashindwa kuacha punyeto kisa porn!.

Kwa hili serikali naiunga mkono wafunge tu hakuna namna sio pazuri kule!. Huwezi kuelewa madhara yake mpk uone mtu alie addicted na wengi hupenda kuacha lakini kesho anashindwa maana access yake ni kugusa tu pilau hilo!.
kuangalia ni hiyari, mbn pombe hawazfungii kwan hazisababishi uraibu
 
Back
Top Bottom