Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Tangu asubuhi nahangaika kutafuta zile video huko mitandaoni kwenye website pendwa zile video za namba za kirumi 🔞

Inaonekana TCRA mmezipiga ban hizo website, sasa je hamuoni huo ni kuingilia uhuru wa vyombo vya habari.

Je, mbona hamtoi tamko Rasmi

Hii nchi kwa sasa inaendeshwaje jamani lakini?

Au mnataka kutuendesha kama Taliban wanavyoiendesha Afghanstan?
 
Asilimia tisini ya wachangiaji wa hii mada ni watazamaji wa hizo filamu, na wengine wanalazimika kwenda kutazama ili kuthibitisha kama kweli zimefungiwa!
 
Hawa jamaa ni wapuuzi mno sasa ndio nini?

CCM wametuchoka sana ila dawa yao ipo njiani tu, Kuanzia sasa rasmi na mimi ni mpiga kura
 
Back
Top Bottom