Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASA somo la vifurushi vya dataWangetoa tangazo mapema kama zitafungiwa ili tuweke akiba.
Huu uamuzi wa kufungia ghafka utaathiri watu wengi sana
Uko kuna mavitu hatare sanaKwani Twitter haya mambo yapo mkuu?
Wewe unapata Babe?Kuna uzi mwingine unaosema inawezekana ni kweli zimefungiwa! Wengi wanasema hawapati
Mama juz kakumbushia mkono wa baunsa,Itakuwa kuna video ya mkubwa flan imerushwa huko
Site zangu zote za kulipia hazijapigwa ban labda kwa sababu hazina jam ya watu wengi...Supplier wangu wa Uhakika yuko whatsapp so mzigo ntapata kama kawaida tu
Ilo Ni kweli,Site zangu zote za kulipia hazijapigwa ban labda kwa sababu hazina jam ya watu wengi...
Mbona mzigo upo kwa hewaKuna uzi mwingine unaosema inawezekana ni kweli zimefungiwa! Wengi wanasema hawapati