Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

kuangalia ni hiyari, mbn pombe hawazfungii kwan hazisababishi uraibu
Mpaka wao kufunga hivyo jua kuna dosari nyingi tu wameziona mkuu think deeply kuhusu hizi porn sites Kuna vitu vinawekwa si vizuri kwa afya ya akili hata kidogo.. dhambi moja haifanyi uiachie nyengine.
Pombe inaunafuu hatari ya haya maporn si mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…