Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

Heading TCCRA
Body TTCRA

Kmmmk, sijui umechanja ya wapi. Wape taarifa kwamba, sasa hivi hatuna haja na porn za kinguruwe, tunashiba na Team Uaminifu
Sasa hivi katafute mabwana Live[emoji2]mambo yakujitia madole hayapo tena[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Kuna video ulicheza unaliwa hivyo unaogopa kuonekana?
 
Utizamaji WA pono naona unatuponza Sisi wapakua movie Kwa bando za usiki[emoji23]...naona kuna kampuni moja ya simu iliyokuwa na bando zuri za usiku wanafanyia marekebisho ktk vifurushi vyao aisee kmmk walai isije ikawa wanashusha mbs[emoji86][emoji23][emoji23]
Waliondoa toboa tobo na Sasa bandika bandua ishaondolewa rasmi so nyumbani kumedoda now
 
Kwa nini umchagulie mtu cha kufanya.
Yani wewe mlokole unilazimishe unayoyaamini. Zama hizo tulishatoka ndio masna kuna malaya kola kona, kazi yangu ni kuamua niwanunue au nisiwaanunue.
Mimi nikimnunua malaya wewe hupungikiwi wala hauzidishiwi chochote.
Nikibaka nikosa la jinai ila tunakubaliana wawili wewe inazuia kwa interest zako.
Acha kujificha katika mlango wa faragha mzee.

Wewe serikali haijaingilia faragha yako,hauna mahusiano yoyote na mitandao ya ngono wewe ni mtu kando kabisa na mitandao ipo kando kabisa.

Serikali haijaja kupekua wala kudukua simu yako,ilichofanya imedili na mtandao moja kwa moja.

Usiweke propaganda za faragha mkuu wakati serikali hawajafungia simu yako.

Serikali haijakupangia matumizi kwa sababu haijaingilia simu yako wala maisha yako binafsi.

Naipongeza sana serikali
 
Jambo jema, lakini ni tiba? Inapaswa tujifunze toka huko zilipoanzia, wao wamefanyaje? Wanawalindaje watoto? Maana wao wanazo miaka na miaka. Na ukilinganisha, sidhani kama watoto wao ndo watu washenzi kihivyoooo. Ninadhani kuna mahali tunakosea , tujifunze namna bora ya kukabiliana na hili tatizo. Kufungia si tiba mujarabu saana, maana kwa utandawazi huu, siku watoto wakipata upenyo na kuanza kuziona, tutajuta.

Sisi bado tunaishi zama zileee,kudhani kuficha na ubabe ni tiba. Kama tunaweza kuuenzi utamaduni huu wa kizamani , sawa tuufanye. Lakini, kama hatuuwezi, tutafute mbinu mbadala.
 
Nasupport hii kitu ya kufungiwa.

Lakini hata hivyo ni bure tu au wakitaka wafungie na VPNs.

Kwa sasa ni fursa kwa VPN creators.
 
Aisee huu uzi umeacha nionekane chizi kwa kucheka hovyo.
Yaani hii kitu kumbe ni karibia kila mwenye kifaa cha internet ni mdau.
Bssi mimi nasema wafunge kabisa aiseee ndio maana siku hizi mademu wanaringa kumbe wana waume zao kwenye simu.
 
Nasikia website za ngono zimefungiwa Tanzania, kama ni kweli basi na support Kwa asilimia 100 uamuzi huu wa serikali maana siku hizi watoto wanajua kuchezea simu sana.

Licha ya hiyo, itasaidia vijana wengi kupunguza addiction ya picha hizi maana wameathirika wengi kisaikolojia.

Nashauri wazuie na VPN kabisaaa kama inawezekana.
Hat bila vpn ukiingia kawaida unaulizwa maswali (kama unavyojiunga twiter) I am robot?unaletewa vile vipicha picha sijui trafic light sijui zebra sijui tree ukijaza fasta unaletewa mzigo[emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom