Week nzima nataka nitoe zawadi kali kwa wadada watano wa JF. Nimeguswa tu moyoni

Week nzima nataka nitoe zawadi kali kwa wadada watano wa JF. Nimeguswa tu moyoni

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Well, nimewaza niwafanye nini wadada wa JF ambacho watanishukuru na kunikumbuka milele. Nikapata jibu.

Mimi kiuchumi nipo vizuri. Sina shida ndogo ndogo maisha yangu ni uchumi wa juu wa kati. Sijafanikiwa bado kuwa uchumi wa juu wa juu.

Ila si haba mambo mengi kwa kweli nayaweza. Tena nayaweza hasa. Hivyo naomba niwatafute wadada watano wazuri wa humu JF niwape zawadi ya maana hasa. Ya kudumu.

Walio tayari wanijulishe niwape zawadi nzuri. Zawadi ya Mimba. Tutapima na kama wote kiafya tupo vizuri. Nakupa mimba. Usijali kama siku ya kwanza haitashika. Nitakuwa nawe mpaka upate mimba ukihakikisha ndo nitakuachia. Ni zawadi ambayo nitawapa watu special tu. So tuwasiliane kwa ajili hiyo.

Msinishukuru sana. Ni jambo la kawaida kuonesha wema wangu kwenu. So msishukuru mpaka kupitiliza. Duniani kama una kitu share kwa wenzio. So nimeamua niwapatie Mimba bila tatizo. Karibuni.
 
Well, nimewaza niwafanye nini wadada wa JF ambacho watanishukuru na kunikumbuka milele. Nikapata jibu.

Mimi kiuchumi nipo vizuri. Sina shida ndogo ndogo maisha yangu ni uchumi wa juu wa kati. Sijafanikiwa bado kuwa uchumi wa juu wa juu.

Ila si haba mambo mengi kwa kweli nayaweza. Tena nayaweza hasa. Hivyo naomba niwatafute wadada watano wazuri wa humu JF niwape zawadi ya maana hasa. Ya kudumu.

Walio tayari wanijulishe niwape zawadi nzuri. Zawadi ya Mimba. Tutapima na kama wote kiafya tupo vizuri. Nakupa mimba. Usijali kama siku ya kwanza haitashika. Nitakuwa nawe mpaka upate mimba ukihakikisha ndo nitakuachia. Ni zawadi ambayo nitawapa watu special tu. So tuwasiliane kwa ajili hiyo.

Msinishukuru sana. Ni jambo la kawaida kuonesha wema wangu kwenu. So msishukuru mpaka kupitiliza. Duniani kama una kitu share kwa wenzio. So nimeamua niwapatie Mimba bila tatizo. Karibuni.
Nilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.

Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag 😅😅
 
Nilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.

Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag 😅😅
Yule simpi. Akili yake haipo sawa. Atakuja huku kutangazia watu nimempa mimba ikawa usumbufu. Yule simpi hata kidogo.
 
Ngoja kwanza aje mama mtoto wako trudie atuthibitishie kuhusu hicho kipato chako Cha juu kabla wadada wa Jf hawajauvaa mkenge. Maana huu ni uvuvi Haram kabisa.

Rrudie ukuje kipande hii.
 
Ngoja kwanza aje mama mtoto wako trudie atuthibotishie kuhusu hicho kipato chako Cha juu kabla wadada wa Jf hawajauvaa mkenge. Maana huu unaonekana Kama ni uvuvi Haram.

Rrudie ukuje kipande hii.
Huyo usimwitie. Atasumbuka bure kuja hapa. Simpi mimba hata kidogo. Hayupo ok huyo. Simpi mimba hata kwa dawa. Atabaki hivyo hivyo wakati wenzake wana enjoy
 
Back
Top Bottom