Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Hivi kwanza mbegu za kumpa mimba unazo?ninajiuliza tuYule simpi. Akili yake haipo sawa. Atakuja huku kutangazia watu nimempa mimba ikawa usumbufu. Yule simpi hata kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanza mbegu za kumpa mimba unazo?ninajiuliza tuYule simpi. Akili yake haipo sawa. Atakuja huku kutangazia watu nimempa mimba ikawa usumbufu. Yule simpi hata kidogo.
Ama.Ni kwamba wewe ni domo mbigiri ama?
Sio wewe uliyesalimiwa kuwa mpoleNimepokea. Nashukuru.
Usijiulize na usiniulize. Njoo tutajua tu jibu kamili. Mi sijajua tunda ambalo mbegu yake ipo tu nje nje hivi....Hivi kwanza mbegu za kumpa mimba unazo?ninajiuliza tu
Anachezea Koki. Ataloana.Unachokozi chizi utamwagiwa maji machafu binti[emoji23]
Haya mi mpole.Sio wewe uliyesalimiwa kuwa mpole
Kwa jinsi kichwa yangu ilivyokaa huwezi kuta najibizana na mtu.ni mwendo wa kugonga 🥂🍾mimi na maji machafu hatupatani😁Unachokozi chizi utamwagiwa maji machafu binti[emoji23]
GudHaya mi mpole.
Karibu mama Diana.Huyu ndio Chizi Maarifa OG😀
Kwahiyo nnijikute tu😁😁Kwa akili za huo mwandiko wako ni bora kumeza kiwanda kizima cha p2Usijiulize na usiniulize. Njoo tutajua tu jibu kamili. Mi sijajua tunda ambalo mbegu yake ipo tu nje nje hivi....
😂😂😂😂😂😂Nilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.
Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag 😅😅
Duh 😅Kwahiyo nnijikute tu😁😁Kwa akili za huo mwandiko wako ni bora kumeza kiwanda kizima cha p2
Wewe hutaki? 😅Walo na shida na mimba waje 😂
Aisee.Kwahiyo nnijikute tu[emoji16][emoji16]Kwa akili za huo mwandiko wako ni bora kumeza kiwanda kizima cha p2
Mimi nauliza swali na wewe unaniuliza swali!Unataka awe nani sasa?
Nashukuru dada. Mimi huwa sina kinyongo au roho ya uchoyo. Napenda watu wafurahi najisikia amani. Najua mtu akipata mimba yangu atakuwa na furaha maana si zawadi ya mchezo.Kwa kweli watu kama wewe duniani mpo wachache sana