Week nzima nataka nitoe zawadi kali kwa wadada watano wa JF. Nimeguswa tu moyoni

Week nzima nataka nitoe zawadi kali kwa wadada watano wa JF. Nimeguswa tu moyoni

Zamani nami nlikuwa na style kama yako kwa mabinti nikagundua siyo wote wanapenda hivyo. Wengi wanapenda wanaume shababy kweli kwel. Hizi mbinu unazotumia kwa JF wadada wengi wameshtukia. Change tactics.
Daah bro.
Unaanzaje kumkashfu binti mwema kiasi hiki?
Acha hizo basi?
 
Zamani nami nlikuwa na style kama yako kwa mabinti nikagundua siyo wote wanapenda hivyo. Wengi wanapenda wanaume shababy kweli kwel. Hizi mbinu unazotumia kwa JF wadada wengi wameshtukia. Change tactics.
Bahati mbaya nimevuka huo utoto miaka mingi, sitafuti mpenzi wala mchumba, mtaani kunanitosha, wafikishie taarifa wote we chizi😂😂
 
Well, nimewaza niwafanye nini wadada wa JF ambacho watanishukuru na kunikumbuka milele. Nikapata jibu.

Mimi kiuchumi nipo vizuri. Sina shida ndogo ndogo maisha yangu ni uchumi wa juu wa kati. Sijafanikiwa bado kuwa uchumi wa juu wa juu.

Ila si haba mambo mengi kwa kweli nayaweza. Tena nayaweza hasa. Hivyo naomba niwatafute wadada watano wazuri wa humu JF niwape zawadi ya maana hasa. Ya kudumu.

Walio tayari wanijulishe niwape zawadi nzuri. Zawadi ya Mimba. Tutapima na kama wote kiafya tupo vizuri. Nakupa mimba. Usijali kama siku ya kwanza haitashika. Nitakuwa nawe mpaka upate mimba ukihakikisha ndo nitakuachia. Ni zawadi ambayo nitawapa watu special tu. So tuwasiliane kwa ajili hiyo.

Msinishukuru sana. Ni jambo la kawaida kuonesha wema wangu kwenu. So msishukuru mpaka kupitiliza. Duniani kama una kitu share kwa wenzio. So nimeamua niwapatie Mimba bila tatizo. Karibuni.
Mkuu, Kajala na mwanawe wanaomba namba yako ya simu
 
Nilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.

Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag [emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo zawadi ngoja niwaachie wadada wenzangu mimi sitaki....ngoja wajichanganye
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo zawadi ngoja niwaachie wadada wenzangu mimi sitaki....ngoja wajichanganye
Mbona kama unawatisha? Kwamba wakijichanganya imekula kwao??? 😅😅😅

Ila jamaa amesema kuhusu hela Yuko njema sana.
 
Back
Top Bottom