Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Kumekucha 😅😅Haya sasa kumepambazuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha 😅😅Haya sasa kumepambazuka
Shuka zakayo uliyeko mtini 🤣🤣🤣🤣Mbona kama unawatisha? Kwamba wakijichanganya imekula kwao??? 😅😅😅
Ila jamaa amesema kuhusu hela Yuko njema sana.
Maisha ni kufurahi ndugu yangu😂😂Nimejikuta nacheka tu. Sio Kwa ilo jibu 😅😅
Anataka wanase kwenye mtego tuu hana lolote. Hao wadada wajiandae kulea wenyewe huku vijembe na madongi juu kila siku. Jamani anauza matunda huyo msimu wa maembe ndio huwa anapata visenti kidogo.[emoji28][emoji28][emoji28] Utakuwa umemfananisha na mtu mwingine.
Jamaa yuko njema sana kwenye maswala ya hela. Kasema wadada wasione tabu kumcheki PM [emoji28][emoji28]
Nasubiria majibu toka kwa jamaa 😅😅Shuka zakayo uliyeko mtini 🤣🤣🤣🤣
Shauri zao me nasema hiiiiiii ( in mwendazake voice)Mbona kama unawatisha? Kwamba wakijichanganya imekula kwao??? [emoji28][emoji28][emoji28]
Ila jamaa amesema kuhusu hela Yuko njema sana.
Ngoja nimtag Chizi Maarifa aje. Pengine hiyo siku aliyoonekana anauza matunda, ilikuwa ni script tu ya movie, maana nasikia ni muigizaji 😅Maisha ni kufurahi ndugu yangu😂😂
Tufurahi tu.
Ila trust me kuna mtu kaingia kwenye huu uzi hivi punde aljazeera wataanza kuripoti mabomu makali ya nyuklia kuendelea kutokea urusi na ukraine…wacha tuone
Mwenyewe nilivyoona kichwa cha habari nimefungua haraka, kuona muanzisha mada tuu nikakata tamaa kabla hata sijasoma hiyo zawadi [emoji23][emoji23][emoji23]Nilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.
Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag [emoji28][emoji28]
Duh, msimu wa maembe si mpaka mwezi wa 12??Anataka wanase kwenye mtego tuu hana lolote. Hao wadada wajiandae kulea wenyewe huku vijembe na madongi juu kila siku. Jamani anauza matunda huyo msimu wa maembe ndio huwa anapata visenti kidogo.
😅😅😅😅Mwenyewe nilivyoona kichwa cha habari nimefungua haraka, kuona muanzisha mada tuu nikakata tamaa kabla hata sijasoma hiyo zawadi [emoji23][emoji23][emoji23]
Chiz ni kaka anguWewe hutaki? 😅
Nisamehe sana, nilikuwa sijui 😉😉Chiz ni kaka angu
Kwa hiyo ni laana kuzaa na kaka yakoNisamehe sana, nilikuwa sijui 😉😉
Basi nakutoa kwenye hiyo list 😅😅Kwa hiyo ni laana kuzaa na kaka yako
Ungevuka usingekuwa unahangaika na kauli hizo ambazi sisi wengine tulikuwa tunatumia miaka ya 90 kupatia mabinti.Bahati mbaya nimevuka huo utoto miaka mingi, sitafuti mpenzi wala mchumba, mtaani kunanitosha, wafikishie taarifa wote we chizi😂😂
Kwa hiyo zawadi yangu haitafanikiwa kwako? Haya nisipoteze nanii zangu bure....Hapana..nilikuwa nachomwa sindano za p2 kwenye mishipa iwahi kufika haraka.
Kwa chai inachelewa kufanya kazi🙃
Mmmmh..... Yale madudu hapana. Nitakuwa naharibu tu zawadi zangu. Yaani unamnunulia nguruwe suit? Ataenda kuoga nayo kwenye tope tu.Mkuu, Kajala na mwanawe wanaomba namba yako ya simu
Mihamgaikaji ni weweUngevuka usingekuwa unahangaika na kauli hizo ambazi sisi wengine tulikuwa tunatumia miaka ya 90 kupatia mabinti.