Sasa we si nilisikia hizo P2 toka upo mdogo ndo ulikuwa unanywea chai?Kwahiyo nnijikute tuππKwa akili za huo mwandiko wako ni bora kumeza kiwanda kizima cha p2
Dadako utamwitaje mkuu?Mkuu!!
Nakusalimu sana.
Daah bro.Sasa we si nilisikia hizo P2 toka upo mdogo ndo ulikuwa unanywea chai?
Daah bro.
Unaanzaje kumkashfu binti mwema kiasi hiki?
Acha hizo basi?
Bahati mbaya nimevuka huo utoto miaka mingi, sitafuti mpenzi wala mchumba, mtaani kunanitosha, wafikishie taarifa wote we chiziππZamani nami nlikuwa na style kama yako kwa mabinti nikagundua siyo wote wanapenda hivyo. Wengi wanapenda wanaume shababy kweli kwel. Hizi mbinu unazotumia kwa JF wadada wengi wameshtukia. Change tactics.
Wanamjua huyu mchizi vyema tuKuna wadada watano wa JF wanaenda kuliwa kimasiharaπππ
Kula chuma iko
Kaka mbona unaanza kuniwekea vikwazo vya kimahusiano tena jamani..shikamoo hiyo vipi tena!au unataka niendelee kuwa single ππSijambo shikamoo.
Nimekukumbuka sana.
Hapana..nilikuwa nachomwa sindano za p2 kwenye mishipa iwahi kufika haraka.Sasa we si nilisikia hizo P2 toka upo mdogo ndo ulikuwa unanywea chai?
Niko ngazi ya cheti kakaπ€π€Aisee.
Kumbe upo vizuri kujibu shombo eeh? Nimecheka Sana asee.
Mkuu, Kajala na mwanawe wanaomba namba yako ya simuWell, nimewaza niwafanye nini wadada wa JF ambacho watanishukuru na kunikumbuka milele. Nikapata jibu.
Mimi kiuchumi nipo vizuri. Sina shida ndogo ndogo maisha yangu ni uchumi wa juu wa kati. Sijafanikiwa bado kuwa uchumi wa juu wa juu.
Ila si haba mambo mengi kwa kweli nayaweza. Tena nayaweza hasa. Hivyo naomba niwatafute wadada watano wazuri wa humu JF niwape zawadi ya maana hasa. Ya kudumu.
Walio tayari wanijulishe niwape zawadi nzuri. Zawadi ya Mimba. Tutapima na kama wote kiafya tupo vizuri. Nakupa mimba. Usijali kama siku ya kwanza haitashika. Nitakuwa nawe mpaka upate mimba ukihakikisha ndo nitakuachia. Ni zawadi ambayo nitawapa watu special tu. So tuwasiliane kwa ajili hiyo.
Msinishukuru sana. Ni jambo la kawaida kuonesha wema wangu kwenu. So msishukuru mpaka kupitiliza. Duniani kama una kitu share kwa wenzio. So nimeamua niwapatie Mimba bila tatizo. Karibuni.
Jf haijawahi kuleta stressππDuh π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo zawadi ngoja niwaachie wadada wenzangu mimi sitaki....ngoja wajichanganyeNilivyoona kichwa Cha habari kuwa utatoa zawadi kwa wadada, nilitaka kumtag Trudie, ili awe miongoni mwao.
Ila baada ya kujua zawadi ni mimba, sidhani kama atataka hata kukuona. Nimeogopa kumtag [emoji28][emoji28]
Nimejikuta nacheka tu. Sio Kwa ilo jibu π πJf haijawahi kuleta stressππ
Anauza matunda mbezi sokoni mara nyingine makumbusho stand, labda kipato kimepanda baada ya kuanza kumdanga mbunge na yulw demu wakeNgoja kwanza aje mama mtoto wako trudie atuthibitishie kuhusu hicho kipato chako Cha juu kabla wadada wa Jf hawajauvaa mkenge. Maana huu ni uvuvi Haram kabisa.
Rrudie ukuje kipande hii.
Mbona kama unawatisha? Kwamba wakijichanganya imekula kwao??? π π π[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo zawadi ngoja niwaachie wadada wenzangu mimi sitaki....ngoja wajichanganye
Haya sasa kumepambazukaAnauza matunda mbezi sokoni mara nyingine makumbusho stand, labda kipato kimepanda baada ya kuanza kumdanga mbunge na yulw demu wake
π π π Utakuwa umemfananisha na mtu mwingine.Anauza matunda mbezi sokoni mara nyingine makumbusho stand, labda kipato kimepanda baada ya kuanza kumdanga mbunge na yulw demu wake