Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Chakorii nimekuona umecheka kwenye hii comment.. Au umemwona boya jamaa anayetaka azae na wewe?Anauza matunda mbezi sokoni mara nyingine makumbusho stand, labda kipato kimepanda baada ya kuanza kumdanga mbunge na yulw demu wake
Lakini unamkataa chizi maarifa tena hapa hapa live jamvini.Kaka mbona unaanza kuniwekea vikwazo vya kimahusiano tena jamani..shikamoo hiyo vipi tena!au unataka niendelee kuwa single ππ
Humu hakuna dada,humu Sheria tunaitana wakuu.
Asante.... Nimeshapata watatu mpaka sasa.Kila la kheri...
Daah wewe dada umepasua mfuko wa taka.Anataka wanase kwenye mtego tuu hana lolote. Hao wadada wajiandae kulea wenyewe huku vijembe na madongi juu kila siku. Jamani anauza matunda huyo msimu wa maembe ndio huwa anapata visenti kidogo.
πππππUnataka awe nani sasa?
Alf tuzae watoto wenye akil kama zako?.Well, nimewaza niwafanye nini wadada wa JF ambacho watanishukuru na kunikumbuka milele. Nikapata jibu.
Mimi kiuchumi nipo vizuri. Sina shida ndogo ndogo maisha yangu ni uchumi wa juu wa kati. Sijafanikiwa bado kuwa uchumi wa juu wa juu.
Ila si haba mambo mengi kwa kweli nayaweza. Tena nayaweza hasa. Hivyo naomba niwatafute wadada watano wazuri wa humu JF niwape zawadi ya maana hasa. Ya kudumu.
Walio tayari wanijulishe niwape zawadi nzuri. Zawadi ya Mimba. Tutapima na kama wote kiafya tupo vizuri. Nakupa mimba. Usijali kama siku ya kwanza haitashika. Nitakuwa nawe mpaka upate mimba ukihakikisha ndo nitakuachia. Ni zawadi ambayo nitawapa watu special tu. So tuwasiliane kwa ajili hiyo.
Msinishukuru sana. Ni jambo la kawaida kuonesha wema wangu kwenu. So msishukuru mpaka kupitiliza. Duniani kama una kitu share kwa wenzio. So nimeamua niwapatie Mimba bila tatizo. Karibuni.