Ndo nasoma muda huu nilipitiwa jana na usingizi
Hahahaa Jamaa anatafuna nyuchi tu halafu anajiita mtumishi
Nipo mrembo wangu, man of the people anafanya yake huku.Upoooo
Nliku miss uncle Freddy wangu
Ngoja sasa nisome. Ile nyingine ndio meimaliza jana.Shukrani ma. Nipo hapa
Haha ndugu yetu kauza mechiNgoja sasa nisome. Ile nyingine ndio meimaliza jana.
Unanitingisha ujue!! Subiri nisome ili twende sawa.Haha ndugu yetu kauza mechi
Hello Ms, ku-quote uzi mrefu ni kero kwa wanaotumia simu.Haha..hapana chezea hela chiu unaloa pichu inajisogeza yenyew..mwendo wa kukojooooa(in mange's voice)
Haha ndugu yetu kauza mechi
lara 1 pamoja na kwamba nilikutania hapa ila umenilike..Safi sana sister,kweli nimeamini hubabaishwi.lara 1 sikuhizi amezidiwa umaarufu na Miss Natafuta .Kama kuna ka ukweli nipeni Likes zangu wakuu
Siku nyingine unistue mapema, ndio kwanzaaaa memaliza episode 3 duuuh!!Haha ndugu yetu kauza mechi
Haya ntakushtua maSiku nyingine unistue mapema, ndio kwanzaaaa memaliza episode 3 duuuh!!
Tena kizembezembe tu