The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Ndo nasoma muda huu nilipitiwa jana na usingizi
Sasa hayo manjonjo ndio ya kuvunjia jungu. Na wewe utaongeza kidogo ufundi wako. Nasikia vitu vinavyofichwa kwenye buibui ni habari nyingine, viwango vya ISO, tbs haitii mguu. Au ndio maana man of people alimganda muislam licha ya kuwa king'amuzi hakina stereo? Hahahaaa