Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Haha kuna siku nilicheka kuna mmama humu akasema mumewe anajishaua kuchepuka anamuangalia tu. Yeye anasafiri sana anakutana na wakaka wanachomekea na hawana vitambi, aiseeHata mwanaume mmoja anachoshaaaa, tena mwanaume ndio anachosha asikwambie mtu.
Afu kwa sababu unakuwa umetulia tu, inakuwa hujajiandaa kupokea gonjwa, so litakuwahisha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwakweli wa kuletewa unaumaaaa na hivyo lazima ufe haraka.
Mbona sisi hatuwapigi jamani?[emoji23] [emoji23] [emoji23] nikikugundua? [emoji109] itakuhusu
Wanatudhalilisha tu. Mtu utakuwa show yenyewe anatambaa tu kama chatu, basi kila mnapopita mnachekwa tu na michepukoNguvu zenyewe hawana alafu wanajitia vidume!! Mxiuuuuu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haha kuna siku nilicheka kuna mmama humu akasema mumewe anajishaua kuchepuka anamuangalia tu. Yeye anasafiri sana anakutana na wakaka wanachomekea na hawana vitambi, aisee
Wabadilishieni chakula sio kuwapa mi ugali tu kila siku....Wanatudhalilisha tu. Mtu utakuwa show yenyewe anatambaa tu kama chatu, basi kila mnapopita mnachekwa tu na michepuko
Yaani acha tu. Bora uwe huna uhakika kama uliletewa au uliuleta, hapo unakuwa unadunda tu.Afu kwa sababu unakuwa umetulia tu, inakuwa hujajiandaa kupokea gonjwa, so litakuwahisha tu
Mwanaume mara nyingi huwa anatamani tu hata akichepuka lakini bado anampenda mkewe lakini mwanamke akichepuka ujue kapenda mpaka kumoyo na mumewe yuko kwenye figoSasa ngumi za nini na nyote mnaboresha ndoa?ubabe mwingine hauna maana
Si ndio hapo sasa, au hawataki tudumishe ndoa? Tunajitahidi sana kudumisha ndoa jamani, shahidi yetu mkemia mkuu[emoji12]Sasa ngumi za nini na nyote mnaboresha ndoa?ubabe mwingine hauna maana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu tuletee hayo mafile ya mercy kana, usikimbie kivuli chako. Wakati unajiandaa kuyaleta hebu unirushie pesa maana naona unazo za mchezo.
Afu wenyewe walivyo na akili ndogo utakuta kabisa linajisifia "mke wangu ameshanizoea, yani hajali tena hata nikichepuka, ananiangalia tu". Basi unaishia tu kumuonea huruma huyu popompo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna watu hawataki utani, ukitoka nae anatoka kiroho safi tu alafu anakuchora tu.
[emoji23] [emoji23] alafu wakija huku wanajisifu wamepiga show ya karne[emoji23] [emoji23]Wanatudhalilisha tu. Mtu utakuwa show yenyewe anatambaa tu kama chatu, basi kila mnapopita mnachekwa tu na michepuko
Alafu vile wanawake tunapendaga kuwasifia hamna sasa!! Unasifia watu wanakung'ong'a tu na lichatu lako. Ukute sasa na mtambi alijaaliwa ndio kabisaaa!!!Wanatudhalilisha tu. Mtu utakuwa show yenyewe anatambaa tu kama chatu, basi kila mnapopita mnachekwa tu na michepuko
Hahaa kumbe wakipita wanachorwa tu walivyo wabovu. Ni mara chache kusikia mwanaume anasema kamess up kwenye mechi, kila mtu anajisifia tu.[emoji23] [emoji23] alafu wakija huku wanajisifu wamepiga show ya karne[emoji23] [emoji23]
Ndio msubiri tukajifunze ujuzi ili tuje tuwabadilishie chakula. Tusiulizane tu maswali jamani.Wabadilishieni chakula sio kuwapa mi ugali tu kila siku....
Kwahiyo hizo tamaa hazina kikomo?Mwanaume mara nyingi huwa anatamani tu hata akichepuka lakini bado anampenda mkewe lakini mwanamke akichepuka ujue kapenda mpaka kumoyo na mumewe yuko kwenye figo
Hahaa mtaa mzima anatangazwaAlafu vile wanawake tunapendaga kuwasifia hamna sasa!! Unasifia watu wanakung'ong'a tu na lichatu lako. Ukute sasa na mtambi alijaaliwa ndio kabisaaa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Si ndio hapo sasa, au hawataki tudumishe ndoa? Tunajitahidi sana kudumisha ndoa jamani, shahidi yetu mkemia mkuu[emoji12]
Leo stor hakuna