Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmh!!!Lara kuna story yangu nitakupa ifuate baada ya hii..., yani kwenye ile wanawake ni washindi mwanzo mwenga...,
so akina espy, heaven sent na wengineo kwenye hii kunyweni maji, mtashinda kwenye movie inayofuata siyo hii.., sawaee
##KanyagaTwende
##KandamizaTeamRohoMbaya
money still talking [emoji23][emoji23]asee ameniangusha hapo me nilijua kidogo sasa ivi atakuwa na msimamo
Kama ambavyo huwa anatubadilihia gia angani ndivyo ajitahidi tu na kwa MOTP nae ampe tu sawasawa na matukio yake.hahahaha Lara1 kuwa makini kuna wafilisti wanataka kutupa story feki.
Hebu ninong'oneze basi
Hebu ninong'oneze basi
asee ameniangusha hapo me nilijua kidogo sasa ivi atakuwa na msimamo
Ooh nampenda sana mke wangu na wanangu, mfyuuu zake na roboHizo ndo gear zake anaanza ooh me mume wa mtu,mara mipira ya kurushwa sitaki mara ooh hii penalt ningefanyaje msomaji,mwisho wa siku anakula kama kawaida yake mfyuu zake
ShindwaaaLara kuna story yangu nitakupa ifuate baada ya hii..., yani kwenye ile wanawake ni washindi mwanzo mwenga...,
so akina espy, heaven sent na wengineo kwenye hii kunyweni maji, mtashinda kwenye movie inayofuata siyo hii.., sawaee
##KanyagaTwende
##KandamizaTeamRohoMbaya
Haha tutaandamanaLara anavyopenda pesa, yaani MOTP alishamroga kabisaaa, utashangaa walaa hamkaangi, anapata tu the happy ending. Yaani lara usitutanie lasivyo mimi nitaimalizia story haki tena.
[emoji2] [emoji2] ntakusaidia kwakweli yan tutampa tu tezi dume letuLara anavyopenda pesa, yaani MOTP alishamroga kabisaaa, utashangaa walaa hamkaangi, anapata tu the happy ending. Yaani lara usitutanie lasivyo mimi nitaimalizia story haki tena.
Msimamo autoe wapi wakati anapenda papuchi kama nini sijuiasee ameniangusha hapo me nilijua kidogo sasa ivi atakuwa na msimamo
[emoji2] haya bhanaHaha shoga nataka ni guess tu
ntaanza na top 5
Yaani ajitahidi tu, lasivyo yunamalizia story.Haha tutaandamana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] ntakusaidia kwakweli yan tutampa tu tezi dume letu
Damn laraHahahahaa! Mnitueeeeeeee! Ndo yale mambo yenu, "WASHKAJI NIPO GETO NA DEMU, NISHAMVUA NGUO, NA MIMI NIMEVUA, NAOMBENI USHAURIII, NIMFANYE NINI? MMI NASHAURI CHUKUA KITANA HIKO MCHANE VUZI HIZO AKIRIDHIKA MBANE KIMCHICHA
Lara anavyopenda pesa, yaani MOTP alishamroga kabisaaa, utashangaa walaa hamkaangi, anapata tu the happy ending. Yaani lara usitutanie lasivyo mimi nitaimalizia story haki tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimemuomba amtandike hata ebola wakati anajiandaa kutupa mwendelezo wa tezi dume inavyomsumbua....
Aisee ungetupia na link ya YANGA (Naipenda Yanga) ingependeza sana.Katika story zote, hakuna ambayo naikubali hadi leo kama YANGA(Naipenda Yanga) maisha ya uswazi, full vibweka. Nishairudia zaidi ya mara 5 hadi now.
lara 1 hebu fanya utuletee story nyingine ya uswazi asee, tucheke tena. Unawapendelea sana watoto wa kishua wangu.