40 days for the thief 1 day the owner.
Kabla sijaendelea nafuatilia sanaaa comment zenu kwa ukaribuuu mkubwa. Naomba niulize swalaaa. Kwanini lawama ziwe upande mmoja kwangu na wanaume wenzangu kwa ujumla. Story nziiiiima nawachekiii tu haswaa wewe
Heaven Sent . Sriously nimegundua wanawake sijui nitumie neno gani nisionekane mkatili wa jinsiaaa. Mmenishupaliaa mimi bila kuadress NINI CHANZO CHA MIMI KUCHEAT?
All cases kwangu ni penalty, na ni penalty kweli. Wewe mimi sina time, naenda sehemu zote kiroho safiii, mijitu wanwake wenzenu wananishobokea kichwa kichwa, i be more than frank, kuwaambia jamani NIMEOA, NINA MKE WANGU NA WATOTO JUU, inakuwa kama ndo nimewawashia taa ya kijani, kama moto uongeze petrol, wananinganganiaaa kama lubaa, mpaka kuja kitandani kuomba kulala na mimi, and the what? Kosa ni languuuuuuuuuuuu? You must be kidding me.
Mngetaka kumaliza hizi case mngekuwa WANAWAKE KWA WANAWAKE, mnapendana na kuheshimiana, hambebi waume za watu. Sio mwanamke mmoja useme labda yule katiliii, wanwake wooote gia zao ni hizo hizo tofauti majinaaa tu. Sasa sio trend hio na janja janja yenu wanawake kuibiana mabwana huku sisi tukiwa clueless. Hio michezo yenu ya kunyakuliana mabwana sisi wanaume kwetu vita vya panzi furaha yetu kunguru.
Mimi binafsi i have no regrets, cause wanawake woote nilio lala nao i did put all the cards on the table from day 1. Wenyewe tu kwa akili zao timamu bila kushirikishwa na mtu wakafosiiii goal kick iwe PENALTY. Refa kapulizaaa kipenga Penalty. Naachaje kwa mfano kupiga hio penalty. Au mnataka waseme MOTP shogaaa. Mpaka maneno yafike kwa wife, MOTP shogaa mzoefuuu, wife awe anaishi na mimi bila amani. Nasemajeeeeeeeeeeee, nasemajeeeeee, nasemajeeeeee, nasema hiviiiiiii, ukija kichwa kichwa, nakupa onyo la 1, onyo la 2, ukijitia nundaaa, nafumuaaa fumuaaaa hiko kipapa bila hurumaaaa. Habari ndo hio. Itaneni mje mnijaribu.
Kama rahisi wapeni haya majaribu wanaume mnaowaamini sanaa sanaaa, mnoo kama baba mzazi, alal nae kitanda kimojaaaa, komaaa kulala nae tu hapo kitandani uone kitatokea nini. Au kaka yako unemuaminiii hakuna mfanowee, mfanyie kama hawa wadada walivonifanyia mimi, uone kama atamkumbuka mkewe, au wewe ni ndugu yake. Mjaribu hata padri wako au mchungaji uone moto wake. Navosema ni PENALTY mjue mwanaume yoyote dunianiii asingeweza kustahimiliiiii. Hata mumeoooo.
Alafu mbona manataka kuchuma dhambiii, oooh orodha kubwaaa! Kubwa ipi? Mercy nimemuoa, so haesabiki, first wife nimemuoaaa, pia haesabiki. Tunaanza Msabato, Boss na huyu Naimaa. Au kuna nilie msahau mnikumbushe ndugu wasomajii. Sasa wanwake wa 3 tu kwa miaka mingapi ya maishaaaa. Hio kwa sisi wanaume rijali mbona rekodi ya wiki tu mtu ukijifanya kuvurgwaaa. Sasa mimi kirekodi hiko kwa miaka zaidi ya mingapi sijui nayo inakuwa nongwaa. Nyie team roho mbaya mnaishi a wishful world! Hamuwajuiii wanaume nyieeee. I wish i could say more but telling on my team aint my game.
Sasa huyu Naimaa, nikaona mtu mzimaa mwenzanguuu, ladba tutawezanaaa, na mpaka hapo sijui bado anaficha nini ila nika assume not the worst. Nikasema pia maybe tu hajapata mtu. Si mnajua mambo ya mjini hapaaa. But i like her a lot and i wanted to give her a good life, full of good times. Na kujua wanaume wa nyuma hajakutana na fundi kama mimi nikasema nitakufurahishaaa, ukija kuachana na mimi utakua Pro.
Nilikula mzigo siku ila pale gehtto kwangu. Baadae i wanted some space. I need to get space sababu for crying out loud mimi ni mume wa mtu. Natakiwakwanza kila siku nimtie nyegeee mke wangu kwenye simu weeee, ndo alale vizuriii na awe na amani rohoniii. Niongee na wanangu wa kule Arusha wajue baba yupo maishani mwao, japo kila siku kwenye simu. Nijuekimetokea nini na nini. Na hii ni life commitment day by day sio kwamba kuna siku unachukua off no. Ni kama siku nina kazi ya kupiga penalty lazima niifanye hizi rituals asubuhi au mchana usiku nikafanye yangu.
Huyu Naima sikutaga kumla the usual old style. I wanted to play a game with her. Nikawa namfanyia mind games. Kumpa illusions mimi ni bongeeee moja la mwanaume. Duniani hakunaaa. Why i played these mind games labda uzeee, sijuiiiiiii. Labda. Date ya pili nikamwambia weekend nina surprise ya siku 3 jiandae. Akajiandaaaa.
Nikakata tiketi 2, kwenda Zanzibar, hotel mojaaa nyokoo sanaa, nishaendaga na mke wangu kwenye Aniversary. Usiku mmoja $300 ikiwa low season. Na yeye si mtu wa hotels nikaamua tu kumkomeshaaa. Tumefika Zbar nishaanda sheuffer, mpaka huko. Nikamwambia mama for these 3 days hapa mimi na wewe. Tulifika Ijumaa jioni. Basi anaona kama anaota. Kwa wanaume wa kibongo walivo bahiliii na huyu Magu kweli anaotaaaa.
Nikampiga show ya mchanaa pale, pale. Full kudekaaa. Mume wa mtu maziwaa ya Asas tena yale ya kisado flavor ya Strawberry. Namna hii mtaacha kuporana mabwana kweliiii eti team roho mbaya? Hahaaaaa! Na mimi nishaamua just to give her that time for her. Kwenye show ya mchana nilitumia nguvu ya ziada kumvurugaaa tu. Si nishawaambia namchezea mind games. Mwanaume wa kwenye movies sio uongo. Oraaaaaaa!
Kimbembe usiku, mke wangu Mercy kapiga simu, eti AKANUNA!!!!!!!!!!!! Khahaaaaaaaaaaaa! Nikasema usinitanieeee, lazima niipokeee, alivotaka yeye niizime. Si utamwambia ulikuwa mbali na simu. Thubutuuuuuuuuu. Nikaipokeaaa na ikanilazimuu kumuongelesha navomuongeleshagaa. Bila hivo lazima angestukaaaa usiku huo weekend, namuongeleshaje wima wima. Tunavoongea na mke wangu hata kama ni wewe ndugu msomajii lazima ungeonaaa kerooo. Mke wangu anajua mahabaaa ni balaaa. Alafu sijui makususiii, sijui it turns her on sijuii akitaka kuongea mambo ya nyege nyege ananiambia niweke loud speaker, ili awe anajisikia ile echo ya sauti yake. Au kunibana tu kuhakikisha sijalala na mtu na kama nimelala akome ubishii na kuwa nyakunyaku. Nikamfashia ishara ya kidole mdominiiiiii. Kanunaa kavimbaa kama chatuuu sijui cobra hapana alivimba kama kfyatuuu, yule nyoka kifyatuuu. Moyoni nasema umevimba hivo hajaanza kuongea akimaliza siutakua umekunya wewe.
"Niambie mume wangu mzurii mzuriii, wa kwangu peke yanguu, wengine wataibaaa tu, ila kukupata ndo washachelewaaa."Namwambia niambie mke wangu, mke wa maisha yangu, one and only, nimefikaaa mwisho wa reli kigomaaa, nitaaenda kote ila hapo ndo mwishooo" Sikuongea hivo kumkoama Naima hapanaa ila ndo kama Shikamoo, Maraha yangu na Mercy nisigesema hivoo au kuelekeana na hivo angestukaaa. "Akauliza huko kote unakoenda ni wapiii?"Hahahaaaaa! Nilijichuuza kweli kweli. "Nikamwambia kumbe bado unanipendaaa, nilikuwa nakupima temperature tu mke wangu kama bado una wivu na mimi na unanipenda penda kama zamaniii." Akaguna "weeeeee! Navokupendaaa afe kipa afe bekiiiii, wewe ndo mume wangu wa kufa na kuzikanaa. Wivu lazimaaa. Navokupendaa sijui kama nini, sijuiiii. Mungu atusimamie tuzeeke wotee. Unavojua kunifanyaaa sasa, nasisitiza kila siku nikijua una mwanamke mwingine kitachoniumaana huo ufundi wanguuu wa kunifanyia mimi nikiwaza umemfanyia na yeye nitauaaa mtu. Nakwambiaje MOTP tutagawana majengo ya serikaliiii. Mimi jengo la ukonga litanihusuuu na yeye uwanja wa kinondoni pale utamuhsu." Namwambia mimi mke wangu nakupenda wewe haki nakwambiaaaa!"
Tuliongeaa, kama masaa 2, and she nasty ndugu wasomaji, she nasty. Siwezi kuwapa deatils cause yule ni MKE siku hizi, angeukuwa mchepuko mimi nanyie sanaaa tu mbonaa, ninge wamwagia nukta kwa nuktaaaa. Alivokata simu, bibi kawa baloon from Kifyatuuu. Nikawapigia wanangu wa Arushaaa. Nao wana ma story kibaoooo. hata yule gaidi siku hizi nae ananipenda penda mzee wake sijuiashaanza kuvurugwa na visichanaa, ananiona mzee wake penalty tu ndo zilinivurugaaaa. Ikawa nusu saa ingineee.
Kuja kumrudia bibie kafumuuuu. Nikamwambia tu kwani sikukwambia nimeoaaa?Akasema najua but its hard! Alinichefuaa sio kidogooo. Nikamwambia if you chaged your mind, mi naweza kuchukua room ingine, nikakuachia hii, kesho kila mtu arudi Nairobi kivyake. I understand your concerns. Akaona sasa hapaa nikidenguaaa itakuwajee. Akaanza kujichangamshaaa. Na mimi nikawa namtekenya tekenyaa kumpoza tu moriii. Tukawa level moja sasa tunaenda sawaaaaa. Nampa mambo ya kiutu uzimaaa, anachanganyikiwaaa.
Siku zote 3 tuko huko huko Zenji tunakula bataaa refuuuuu. Siku ya 3 akaniuliza swali la ajabuuu sanaaa. "uNAMPENDA SANAA MKEO? It more sounded like mimi na mkeo unampenda nani asked ina different version. Nikamwambia straight, Nampendaaa sanaaa, sanaaaa! Duniani hakunaaa tenaaa. Hakutegemea hilo jibu kabisaaaa. Akapatwa na msongo wa mawazo ghafla. Moyoni nasema utakufa mapemaa wewe mtu mzimaaa. Hizo level zingine.
Tukaendelea na mambo yetu ya kubanjukaaaaa. Mpaka jioni tukarudi Nairobi maana kesho kazini. Akalala tena kwangu. Akanza sasa kuniboaaaaa. Ananigandaaa kama luba antaka kunigeuzaa mumeee. Afu nikamshutukia design anataka kumpindua mke wangu, kitu ambacho hakikunifurahishaaa. Hana tu akili, yeye anakaa na mimi siku 5 za week, mke wangu siku 2 ila bado nafsi yake haikuridhikaaa.
Akaanza mchezo mchafuuu, ikifika Ijumaa, atatafuta sabau yoyote ile duniani mradi tu anizuie nisiende Dar kwa Mercy. Nikawa nishaanza kumchokaaa. Hanijuiii. Nikawa nishaamua kwa mambo kama haya hatonifaaa. Atakuja Ijumaaa, atanipa uchiii mfululizoooo mpaka naghairiiii. Siku ingine akaumwaa hoi hoiiii. Nikawa wiki 2 nimeunga na ile ya vaccation 3 sijakanyaga ndani kwangu wala kuwaona wanangu. Sio kuwekwa chupani huko ni nini?
Akawa sasa ananipendaaa kama mjinga sasaaa. Sijui kwanini au bahati, nikimgusaa tu mwanamke anaipenda kufaaa, kwanini sipati wale makatili walau wanichuneee chuneee tu mpaka nibaki mifupaaa, au wanitie stress mpaka nione wema wa mke wangu. Mimi nikimgusaaa tu mwanamke anakufa ana ozaaa kabisaaa.
Siku hio akasema najua "MUNGU ANA MPANGO WAKE KUNIKUTANISHA NA WEWE!" Khaaaaaaaaa! Mmmmmmmmmhhh! Moyoni nikawaza Mungu huyu huyu wa USIZINI! au kuna mwingine? Nikawa nasikiliza tu kwa mshangao. Anakomaa"MUNGU ANA MIPANGO NA SISI NAKWAMBIA MOTP." Mmmmhhhh! Nikaamua tu ku reserve my comments juu ya hilo. Baadae nikaamua kumjaribu. "Mipango gani labda? Wewe si unajua mimi nina mke wa ndoa ya kanisaniii? Akawazaaa weee baadae akasema "Mungu wangu hashindwi jambo! Nimepiga magoti miaka mi 3, three godd years, January to december, zizunguke mara 3, namuomba Mungu anipe mwanaume nitakae ridhika nae, hamnaa akituuu, inakuja mijituuu ya jabuu ajabuuu. Siku ile tunakutana nilikuwa natoka kanisaniii nimetoka kumuuliza Mungu HIVI KWELI HAKUNAAA, HAKUNAA KABISAA KABISAAA KABISAAA DUNIA NZIMA INA WATU BILLION MMOJA TU WA KUNIPA MIMI. Nimetoka nimepita kunywa soda, ghafla ukaja wewe, roho yangu ikafanya paah. Ulivoninunulia ile soda nikasem this is Gods Sign. It had to be Gods sign. Na kila kitu ni exactly as i wished for baasi tu suala umeoaaaa limeharibu kila kitu. Ila Mungu hashindwi jambo".
Moyoni that was Goodbye kwangu. Yule mshenzi amevuka mipakaaa, alikuwa ana mu wish mke wangu kifooo. Maanake ili nimuoe inabidi mke wangu afe. Nikajiapiza hata bahati mbaya akifa kweli simuoiii ngooo, hata tukiachaa simuoii ngooo. Mimi na yeye ni Orevwaaaaa. Nikapanga kabisaaa siku hio ndo ya mwishooo kumla na kuonana nae. Nitamfanyia mipicha mipicha mpaka atafurahiii na kuniacha mwenyewe.
Ila roho ya kiume tu, bwana Naima ana ladha yake, nikasema ngoja nipige show moja extreme, anikumbuke huko aendakoo. Hahahaaa! Nikampigaaa vitu vya hatariiii sanaaaa. Ndo nikaharibu kabisaaa. Baada ya show ndo akanisimulia sasa maisha yake. Ikaniponza moja kwa mojaaa kumuacha ikawa vigumuuuu.
Kumbe ndugu wasomaji huyu Naima, aliolewaaa mdogooo, kamaliza tu mwaka wa 3 kapata mume msukumaaa, akamuweka ndani kwa harusiii. Mume mnyanyasaji hatariii, anaipigaaaaa, alikuwa anampa kipondooo cha hajaaaa, hakuna upendooo, ana mnyanyasaaa. Akamzalisha fasta fasta mitoto mi 3. Na vipigooo akapata depression. Almost ashikwe uchiziii kabisaaaa. Ndo ndugu wakaingilia kati kumuachanisha na huyo mume kinguvuuu.
Wakampeleka USA kusomaa. Mume kahama na watoto, hajulikani yupo nchi gani na watoto wake hajawaona tangia akachomolewe na polisiii kwa mume. Mume aligoma kumuachaaaaa, yaani alikuwa wakienda ndugu anatoka SMG. Wanafanyaje sasaa zaidi ya kukimbiaaa. Mume gaidiii. Anamfungia ndani, ndo anampigaaaa, na kumfanyia abuse zingine nyingi tu siwezi kuwaambia ndugu wasomaji, but likuwa mnyamaaa kweli kweli. Ikabidi sasa waende kwa kamanda wa polisiii, wamuombe akawasaidie kumchomoa ndugu yao. Maana majirani kila siku wanapiga simu, ndugu yenu anauawaaa huku. Mjumbe kapiga simu, majirani ndo walichokaaa, mapaka katibu kata maana wananchi walienda kwa katibu kataaa.
Anapiga kelele na kufaaaa, nakufaaa, wote wananjua yule jibaba ana SMG, wanaenda vipi kwa mfanoo kumuokoa humo ndani ya ukuta na fence ya umeme. La maana wakiona vimezidiii wanazunguka nyumba wanamwambia wewe Baba Jesca acha kumpiga mkeo, lasivo tunawagia petrol tunachoma nyumba hio mfe wote huko ndani usitutanieee. Wanarushia dumu la petrol kumuonesha wako serious na swala la kuchoma nyumbaa, wasukuma sio watu wazuriii kabisaaa. Akiona dumu anajua hapa kitachofata kiberiti tu au lighter ya sigara. Ndo inakuwa salama yake. She married a monster.
Siku ya siku ndo Kamanda akakubali, walimtia pesa kidogooo, jeshi la polisi na silaha, wale FFU wakavamiaaa mchana kweupeee, wakamchomoa Naima alikuwa kadhoofika, kama chiziii, nywele hazielewekiii, kakondaaaa sio kidogo, mdhaifuuu, watoto hawakuwepooo, wakamchukua yeye tu na kumkabidhi kwa ndugu zake. Akawa hataki kuondokaaa, anaawaxhaje wanae na yule monster. Wakamchukua kinguvuuu.
Baada ya hapo ikawa vita vya kifamiliaaa sasa. Kubwa la majambazi likagoma kutoa watoto. Kabisaa kabisaaa.Na likamwambia Naima unanijuaaaa, endelea kushindana na mimi ustawii wapi kama siajwaua ua hawa watoto ukakuta maiti na mimi nikahama nchi na kwenda kuzaa wengine. Kama unapenda hawa watoto waache hapa, na usinifatilie ishu zangu, ungewapenda sanaa ungekaa hapa, ushaamua kuondoka endelea na maisha mengine. Hawa ni damu yangu, siwasomeshi shule za mamillion? Ushaona wana dhiki yoyote hawa? Zingatia hilo. Basi ukilikuta kubwa la majambazi linamfanya Naima aonekane hafai utasikia "Mwanamke haridhiki yulee, nimemuoa yuko Chuo, nimempenda, sikutaka kumchezea, kamaliza tu nikamtolea posa na kumuoaaaa. na uongo kibaooo"
Akaamua tu kuwaacha wanae, japo ina mdepresss sanaaa kufikria wanae wanaishi na yule monster for a living, inamuumizaa sanaa. Alienda USA akaa miaka mi 3. Ndo kurudi akapata hii kazi sasa. N akuomba Mungu koote ndo akanipa mimi! Jamni jamaniii dunia haina hurumaaa mweeeeeeeeee.
Kumuacha ikashindikanaa atleast sio kwa kumuacha kikatili, si atajiona ana mikosiii. Ikabidi nimwambie Lara, wewe ndo umeniponzaaa, huku mambo yameharibikaaa, nitafutie exit strategy. Ishu hiko A, B na C. Tushaharibuu sasa tunafanya vipi ndugu yangu. Mi yule mwanamke simtakii, nimekomaa kuzururaaa nataka nitulie na mke wangu. How do we cut her loose.
Lara mijicho ilimtokaaa, kama inavowatokaa nyinyi ndugu wasomaji utadhani mijusi imebanwa na mlango, tukawa sasa tunaumiza vichwaaaa. Tunafanyaje. Maana na mimi nikimuacha ghafla ghaflaa ataweza hata kunywa sumuuu. As a humana being sikutaka aipitie stress ingine tenaaa, atahukia wanaume jumlaaa jumlaaaaa. I wanted it finished but cleanly and neatly. Akalaumu nilikwambiaa lakiniii usifike huko, kule mara moja sepaaa.
Hapo katikati alisema ooh kinga zina mu allergy so tukapime tuanze kukanyagia ringi, nikakubalii. Tukapima na UKWIMI sinaa mpo tean mroho mbaya, na yeye hanaa. Ila Lara akasema huyo hana lolote anataka mtoto. Nikamwambia hamnaaa. Siku 3 nyingi akasema natamani mtoto. Hiiiiiiiiiiiii! Hanijuiii. Nikawa namwagia njeee. Mbona kazi ndogo. Watoto wa 4 wamenitosha ndugu masomajiii.
Tukiwa bado tunajamba jamba na Lara, she got me in this, she had to get me out of it, or be with me in it mpaka kilewekeee ikabidi sasa niende Dar, Mda mke hajanionaaa. Na haya mapyaaa nikakumbuka wema wa mke wangu. Na nilimisi sho zake za kibabe ikawa hamnaa jinsiii. Huku ananihadaa nsiiendeee. Nikamwambia siendi, kumbe nishakata tiketi. Kuja kunicheki nikamwambia niko Airport naenda Dar mbona. Akanunaa. Na sikumpatilizaaaa.
Lara akasema maybe we put it jamvini people may have ideas, yeye kafika point blank, hajui nafanyaje. Story ikawa ishaanza kurukaaaa hatua za awali kabisaaa. Mmeona ndugu wasomaji. Nimefika home kwangu na wife wangu kanimisii kanipokea salaam. Tumepeana mambo matamuuuu. I never regret going back home.
Mchana nikachomeka simu yangu charge, si najua ina passord ya manenooo ambayo wife mpaka mwisho wa dahari hawezi ku guess hi password. Nimeiacha simu iko on, nikasema niende kunyoa hapo nje tu one time. Kurudi ndugu wasomaji nakuta Charger tuuu. Sijui mnanisomaaa??????? Charger iko peke yakeee. Simu haipo na mke hayupooo! Roho ikafanya paaaaaaah! Kengele zikagongaa kichwani mwangu DANGER!
Namuuliza mwanangu yule mkubwa wa kike where is mum and where is daddy phone? Ananiambia your phone rang so so many timess. So many times daddy. so mayny times. You knoe so many times. Mum picked it up and was talking to someone.Namsikilizaa tu, Nikamuuliza Who? Didnt she say Who? Kapo I dont know Dada ila akasemaaa JINA LAKO NAIMAAAA? like she was aking the person on the phone. Nili rest in peace ndugu msomajii nilirest in peace.
Kanaendela kuniambia, the she took your phone, she took Junior and her bags, she left, she said she is comming for me soon. Tobaaaaaaaaaa! Tobaaaaaaaaaaaa! Ndugu wasomaji! Nimekwishaaaaaaaaaaa!
ITAENDELEA SAA 4 USIKU.