lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
- #961
Huyu labda umpe nyama ya tako sijui au umroge hilo dushe lake lisisimame huko nje lasivyo na wewe utakua kama mercy tu atakucheat
Mimi sina tatizo na cheatings kabisaa. Mimi labda anishindwe uvivuu na kutojua kutafuta pesaaa. Kama hivo Mercy mimi kupanic, weweee mi mtoto wa kitaa napanic nini kwa mfano? Habari kapiga simu kachambwa wimawima na upupu ataipata huko Nairobi kwa Naima ila sio kwangu. Thubutuuuu. Nikijua Naima yupo nazidisha mahabaa niteketeze, Naima mwenywe anaachia ngazi kwa kukosa attention.
Sisi tuliopata viwanaume ushuzi hivi VIAMINIFUUU KAMA PAPA JOHN PAUL, HAVI CHEAT, HAVIKUSUMBUI, ILA NDO HAVINA HATA SENTI 5 KIPANDEE. VINACHOJUA KUKUBANA TU, NA MAPENZI YA KIHINDIII. Siku umempata mtu kama MOTP unaanzaje kufanya makosa sasa? Oraaaaaaaaa!
Hata akiniambia kama namtamani tamani shoga ako flani. Namtongozeaaa. Chezea mi vaccation, mi ghorofaaa hamuoni mtaani hali ilivo ngumu? Acheni masikhara.