Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Ahsantee sana Mercy.

MOTP me kukulaumu sitoacha hata ukamilifu wa dahari. You know you are a married man, respect your commitment period. Tumesamehewa dhambi na sio majaribu, so majaribu lazima yaje coz hakuna kitu ambacho shetani anakipiga vita kama a happy marriage. Sasa wewe shetani akigonga tu hodi huyooo ushamfungulia hadi chumbani khaa. Wewe kila siku ni bahati mbaya tu, unayaentertain majaribu wee; Zinaa haikemewi, inakimbiwa. We can't blame michepuko, yenyewe haina commitment na mkeo

Afu wanaume wa humu mnisikilize kwa makini, najua wengi wenu mnakutana na opportunity kama za MOTP, unfortunately wengi wenu mawazo yenu yanakuwa ya kupiga match na kusepa, ila wanawake tupo calculated always. Afu unaniudhi unavyowapa treatments kama za mkeo muone kwanza mtcheew, unategemea watakubali kuachana na wewe? Siku zinavyoenda wewe unaona shughuli imeisha ila mwenzako ndo mapenzi yamemnogea and so ataanza kujitahidi kumpindua mkeo ili akumiliki. Ndo unapomuweka mkeo kwenye hatari sasa bila yeye kujua, please waoneeni huruma wake zenu. Naima ameshaamua liwalo na liwe, she had a taste of paradise, there is no way she will let go it. Mara nyingi hakuna mtu anayependa tu kuishia kuwa mchepuko wa a good man, atapigana vita vyote ili akumiliki. You can't guarantee how low she can stoop kuwin hiyo vita yake please. Tena shukuru tu michepuko yako haina akili za kujibebesha mimba, ila soon utaanza kuwa na watoto East Africa yote. Endeleeni kujiendekeza tu, siku hizi mwanaume mpumbavu hujisababishia kifo chake mwenyewe
My big sis is better than yourssss ..daadaa wanyoosheee they so called mens[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Sijui kwanini sina mzuka kiivyo na next episode, labda kwasababu Mercy naye alisha cheat before kwahiyo hii kesi ya kumfumania MOTP itakuwa sio kesi kubwa

Ooops! Team roho mbaya kumbe wapo busy kuangalia mabaya ya MOTP Ila usaliti wa Mercy hawakuuona.

Hamna kesi hapo, MOTP Ana panic bure tu. Kumfumania mwanaume anaye timiza majukumu yake ipasavyo sio ishu

By the way hii friendship zone baina ya MOTP na Lara1 siielewi elewi. Anyways, ujanja wako wote MOTP umekuja kudakwa kiboya kwelikweli, yani unaacha simu home kindezi huku umesha jua Nairobi kuna bomu linalipuka any time.
 
Sijui kwanini sina mzuka kiivyo na next episode, labda kwasababu Mercy naye alisha cheat before kwahiyo hii kesi ya kumfumania MOTP itakuwa sio kesi kubwa

Ooops! Team roho mbaya kumbe wapo busy kuangalia mabaya ya MOTP Ila usaliti wa Mercy hawakuuona.

Hamna kesi hapo, MOTP Ana panic bure tu. Kumfumania mwanaume anaye timiza majukumu yake ipasavyo sio ishu

By the way hii friendship zone baina ya MOTP na Lara1 siielewi elewi. Anyways, ujanja wako wote MOTP umekuja kudakwa kiboya kwelikweli, yani unaacha simu home kindezi huku umesha jua Nairobi kuna bomu linalipuka any time.
Hivi Mercy kucheat na mzava kulikuwa na tatizo gani? Nikudate wewe mume wa mtu ambaye huwezi kunioa afu atokee mtu anataka kunioa nimuache, kisa nini?
 
Alafu we MOTP usijifanye kutia huruma na kuwalaumu wanawake!! Unataka hao wanawake waiheshimu ndoa yako kwani wao ndio walifunga ndoa na mkeo? Kama hujitambui ni haujitambui tu kwahiyo usitafute visingizio, kwenye hiyo list Mercy hakosekani maana kabla ya kuwa mke alikuwa mchepuko,mbona umemsahau na yule muathirika? Au ndio aibu zinakujia sasa?

Alafu kumbuka yo married, kwahiyo hukupaswa kuwa proud na huo ujinga unaoufanya. Hao unaolala nao ni kuwa umewaruhusu walale na wewe, hakuna hataa mmoja alokubaka. Tena hadi kwako ambapo na mkeo huwa anakuja!! Damn you!!

Pamoja na hilo, tezi dume bado nakuombea.

Kwani muathirika ali mcheat Mercy au yule Mke wa KWANZA? Msimfanyie man of the people UNFAIR COUNTS. Sahivi kamuoa Mercy na Mercy kamcheat na watu wa 3 tu. Za nyuma ziliacha kuhesabika kwa mwenye ndoa yake kumove on na maisha mengine. Tuwe fair.
 
Sijui kwanini sina mzuka kiivyo na next episode, labda kwasababu Mercy naye alisha cheat before kwahiyo hii kesi ya kumfumania MOTP itakuwa sio kesi kubwa

Ooops! Team roho mbaya kumbe wapo busy kuangalia mabaya ya MOTP Ila usaliti wa Mercy hawakuuona.

Hamna kesi hapo, MOTP Ana panic bure tu. Kumfumania mwanaume anaye timiza majukumu yake ipasavyo sio ishu

By the way hii friendship zone baina ya MOTP na Lara1 siielewi elewi. Anyways, ujanja wako wote MOTP umekuja kudakwa kiboya kwelikweli, yani unaacha simu home kindezi huku umesha jua Nairobi kuna bomu linalipuka any time.

Umeonaaaa, MOTP kadakwaaa kiboyaaa sanaaaa. Hujajuaaaa tu yaliojiriiii. Mi naweza kusema tu AROBAINI YAKE ILIFIKAAAA. Arobaini yako ikifika bwana, fanya ufanyavyo lazima udakweee.

Usikose next episodeee. MOTP nakuibia tu 40 YAKE ILIFIKA NA WHATEVER YOU DO IN DARKNESS COMES TO LIGHT. Ndo kilichomkutaaa. Usikosee.

Afu uarafiki wangu na MOTP naomba uache kama ulivo. Mwenywe nazengea zengea hapa kama fisiiii. Kwani hi mi vaccation mimi sii mind mnadhaniii? Mercy akinawaa tu, namdaka MOTP juu. Namwambia nakusaidia kule wanaoaaa. Nakuwa kama Majorey Harvey! Simbaniii.

Akitaka kuchepukaa namwambia unampitisha kwanza hapa kwa mkeo, nimfanyie ukaguziii, kama hana TBS namwambia huyo achana nae kakomaa bwanaa, bora hata flani. Mke wa digitali kama mimi ndo namuweza MOTP.

Na mimi Mungu wangu hashindwi jambo. Heheheeeeeeeeeee!
 
My big sis is better than yourssss ..daadaa wanyoosheee they so called mens[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]

Afu mwambie aache kimbelembele front cha kusema michepuko tusipewe treatment za wife! Kwani sisi wio wanwake? Huyo mke ana nini na sisi tuna nini? Na mmind nimetoa like kishingo upandee tu ila ajue sio poa kukata tawi nilio kalia fanani wake. Heheeeeeee!
 
Afu mwambie aache kimbelembele front cha kusema michepuko tusipewe treatment za wife! Kwani sisi wio wanwake? Huyo mke ana nini na sisi tuna nini? Na mmind nimetoa like kishingo upandee tu ila ajue sio poa kukata tawi nilio kalia fanani wake. Heheeeeeee!
Hahaha maandiko yanasema "mke ni kitu chema na kahaba ni shimo refu"; suit yourself
 
Hi all,shost Lara 1,wacha nideclare interest,mie ni team silent reader wa stories zako . Salute u are doing great,sema naomba nikuombe jambo moja ingewezekana muendelezo wa story uwe unakuwa first page ili kupunguza usumbufu,coz wengine hatuna time ya kuchitchat na kuscroll all the pages,its tiring.pia si vyema kuingilia uhuru wa watu kuchat and all that.moreover itasave time kwetu sie tusokuwa na time ya kuscroll all the chitchat pages.am sorry kama nitakuwa nimemkwaza yeyote.@lara 1.its simply a humble request.also usisahau kuget in touch when u gat a Chance my boy anasubir zawad yake hahaha

Hahahahaaaa! Sio kwamba mimi hilo silijui, MAYBE NEXT POST NITAJARIBU NIONE ITAKUWAJEE. SO BADALA YA KUENDELEA HUKU NIWE NAENDELEA PALE PALE KWENYE FRONT PAGE. LETS TRY THIS AND SEE. NITAFANYIA KAZI.

Ill get in touch dear, ila si unaonaa hapa, Mbingu zime rule in our favor mimi na Naima, Mercy akinawaaa tu, naanza kupambana na Naima, na yule kikongwe mimi haniwezii nadhani hilo liko wazi ndugu wasomajii.

Seriously ill get in touch, sijasahau mpendwa. Na zawadi zipo gado.
 
Hahaha maandiko yanasema "mke ni kitu chema na kahaba ni shimo refu"; suit yourself

Ila makahaba wengi kwenye bible wame LIVE LARGE.

Tuanze na Rahabu. Si akatoa uzao wa Messiah. Ukirudi rudi nyumaaa huko kuna yule mke Hosea. Tukienda mbele yule aliemfuta Yesu miguu na machozi yake, yule alieletwa kazini, akaambiwa asameheweee.

Sio kwamba nasifia, ila nachosema ni kuwa HAYA MAMBO HAYAJAANZA LEO, NA MWISHO WA HAWA WATU SIO KWENYE BIBBLE SIO WAPI HAUWAGI MBAYA WALA NINI.

Mimi nikiwa MKE naomba twende sawa kwenye hilo neno sitofanya makosa ya Mercy kungolewa na mijitu iko nje huko. Sitopambana na hao wakosa bahati hata siku mojaaa wala sekunde. Nitafocus kwenye kumpa mahaba MOTP, mahaba niue, mahaba niponde ponde kama nyanyaa, mahaba nipotezeee, namrogaaaa namogaa kweli kweliiiii sio kidogo kiasi kwamba mda wa kupiga hizo penalty anakuwa hanaaaa. Autoe wapi wakati mwenyewe mimi PENALTY TOSHAA. Cha zaidi atakuwa ana haha kunichungaaa mimi mda wote. Hatoona cha penalty wala goal kick.

Uzuri mi mwenyewe kungwi la kimataifaaa. Wanae navojipendekeza utasema nimewazaa mimi. Wake wenzangu shoga zanguuu, hata wakipasha kiporooo poa tu. Kwani mwisho wa siku anarudi wapi?

Ndo maana nawaambia MOTP hajapata badomtu wa kummuduuu. Namba kubwa ile inahiaji akili kubwa kuimuduuu.
 
MOTP mtafute mkeo muyajenge na utubu kwa dhati na huyo Naima hakutakii mema kwanza huwezi kumuoa maana bado ni mke wa mtu. Mrudie mkeo na ukome kuchepuka
 
Ila makahaba wengi kwenye bible wame LIVE LARGE.

Tuanze na Rahabu. Si akatoa uzao wa Messiah. Ukirudi rudi nyumaaa huko kuna yule mke Hosea. Tukienda mbele yule aliemfuta Yesu miguu na machozi yake, yule alieletwa kazini, akaambiwa asameheweee.

Sio kwamba nasifia, ila nachosema ni kuwa HAYA MAMBO HAYAJAANZA LEO, NA MWISHO WA HAWA WATU SIO KWENYE BIBBLE SIO WAPI HAUWAGI MBAYA WALA NINI.

Mimi nikiwa MKE naomba twende sawa kwenye hilo neno sitofanya makosa ya Mercy kungolewa na mijitu iko nje huko. Sitopambana na hao wakosa bahati hata siku mojaaa wala sekunde. Nitafocus kwenye kumpa mahaba MOTP, mahaba niue, mahaba niponde ponde kama nyanyaa, mahaba nipotezeee, namrogaaaa namogaa kweli kweliiiii sio kidogo kiasi kwamba mda wa kupiga hizo penalty anakuwa hanaaaa. Autoe wapi wakati mwenyewe mimi PENALTY TOSHAA. Cha zaidi atakuwa ana haha kunichungaaa mimi mda wote. Hatoona cha penalty wala goal kick.

Uzuri mi mwenyewe kungwi la kimataifaaa. Wanae navojipendekeza utasema nimewazaa mimi. Wake wenzangu shoga zanguuu, hata wakipasha kiporooo poa tu. Kwani mwisho wa siku anarudi wapi?

Ndo maana nawaambia MOTP hajapata badomtu wa kummuduuu. Namba kubwa ile inahiaji akili kubwa kuimuduuu.
Huyu labda umpe nyama ya tako sijui au umroge hilo dushe lake lisisimame huko nje lasivyo na wewe utakua kama mercy tu atakucheat
 
ILA JAMANI NAIMAAA MSHENZII NA KIBOKO YA MOTP! HAHAHAAAAAAAAAAAAA! NDO NINI KUPIGA MI SIMU MFULULIZOOOO KAMA ILE NA KUJIAMBULISHA MI NAIMA! HAHAHAAAAAAAAAAA! YAAAAANI KANICHOSHA SHOGA ETUUU.

KAONA MUNGU ANACHELEWA BORA AENDE MWENYEWE NA SURURU KWENYE NDOA YA MOTP AKATIE TIE NYUFA KINDOA CHA MOTP, MPAKA KIBOMOKE CHENYEWE YEYE YUPO KONA STANDBY KUWA MKE WA MOTP. HAHAHAAA HALOOOOO! WANAWAKE SISI.

KWELI ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE.
 
Ila makahaba wengi kwenye bible wame LIVE LARGE.

Tuanze na Rahabu. Si akatoa uzao wa Messiah. Ukirudi rudi nyumaaa huko kuna yule mke Hosea. Tukienda mbele yule aliemfuta Yesu miguu na machozi yake, yule alieletwa kazini, akaambiwa asameheweee.

Sio kwamba nasifia, ila nachosema ni kuwa HAYA MAMBO HAYAJAANZA LEO, NA MWISHO WA HAWA WATU SIO KWENYE BIBBLE SIO WAPI HAUWAGI MBAYA WALA NINI.

Mimi nikiwa MKE naomba twende sawa kwenye hilo neno sitofanya makosa ya Mercy kungolewa na mijitu iko nje huko. Sitopambana na hao wakosa bahati hata siku mojaaa wala sekunde. Nitafocus kwenye kumpa mahaba MOTP, mahaba niue, mahaba niponde ponde kama nyanyaa, mahaba nipotezeee, namrogaaaa namogaa kweli kweliiiii sio kidogo kiasi kwamba mda wa kupiga hizo penalty anakuwa hanaaaa. Autoe wapi wakati mwenyewe mimi PENALTY TOSHAA. Cha zaidi atakuwa ana haha kunichungaaa mimi mda wote. Hatoona cha penalty wala goal kick.

Uzuri mi mwenyewe kungwi la kimataifaaa. Wanae navojipendekeza utasema nimewazaa mimi. Wake wenzangu shoga zanguuu, hata wakipasha kiporooo poa tu. Kwani mwisho wa siku anarudi wapi?

Ndo maana nawaambia MOTP hajapata badomtu wa kummuduuu. Namba kubwa ile inahiaji akili kubwa kuimuduuu.

Ahhaa umeona ulivyowaita sasa "wakosa bahati"

It's like this, shetani siku zote hawezi akakutumia afu akutwike mabaya. Lazima akuperembe na vitu vizuri vizuri ili uendelee kuwa mfuasi wake mwema before he strikes you down mazima. Ndo hizo bata tunazoona wanakula hadi tunatamani. Ila siku zote baraka za shetani huchanganyika na maumivu, huzuni na majuto unlike baraka za Mungu, muulize Naima anavyochanganyikiwa. Na mercy asingepanic honestly after simu za Naima, ndo akili za michepuko zilivyo, akuchanganye weee uachie ngazi. Ukikomaa yenyewe inabaki kutapatapa na vichaa vyao. Mimi will always stick na the nyumba kubwas, watu wenye vibali vyao mbele za Mungu. Not necessarily michepuko kuwa na mwisho mbaya duniani, maana tunaishi tu kwa neema, hesabu zetu huko, but just a thought kwamba "I'm his second best"... God forbid,
 
Back
Top Bottom