Weekend Story! The Man of the People love triangle!

Weekend Story! The Man of the People love triangle!

ILA JAMANI NAIMAAA MSHENZII NA KIBOKO YA MOTP! HAHAHAAAAAAAAAAAAA! NDO NINI KUPIGA MI SIMU MFULULIZOOOO KAMA ILE NA KUJIAMBULISHA MI NAIMA! HAHAHAAAAAAAAAAA! YAAAAANI KANICHOSHA SHOGA ETUUU.

KAONA MUNGU ANACHELEWA BORA AENDE MWENYEWE NA SURURU KWENYE NDOA YA MOTP AKATIE TIE NYUFA KINDOA CHA MOTP, MPAKA KIBOMOKE CHENYEWE YEYE YUPO KONA STANDBY KUWA MKE WA MOTP. HAHAHAAA HALOOOOO! WANAWAKE SISI.

KWELI ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE.
Wako wengi saana hao wakina Naima kwa kweli nawaombea FISTULA Daima yaaani
Mume unamkula bado hata akija kwangu inakuuma kweli jamani[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Huyu HEAVEN SENT kweli roho mbayaaaa!

Hiyo mi text yake anavyofunguka as if ndo dadaake Mercy!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu HEAVEN SENT kweli roho mbayaaaa!

Hiyo mi text yake anavyofunguka as if ndo dadaake Mercy!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa si bora hata dada ake Mercy, utadhani me ndo Mercy nina uchungu na mume
 
Weeee mume anauma bana mwee[emoji33] [emoji33] . Afu michepuko inajuaga kuvuruga bana, kiasi kwamba hadi akili ije ikukae sawa unakuta ushaharibu sana. So tuombe Mungu atupe hekima na busara za kudeal na hivi vitu vikitokea, coz ukisema tu ushindane naye basi imekucost. Wewe muignore tu na hashuo lake la chura hajulikani amekaa anaruka au amelala, akianza kukufanyia makusudi, wewe mpe tu vibes za mke mwenye akili njema. Atatapatapa akaishie huko shimoni mwake
Yaaan na hii njia inahitaji busara saana kwa kweli maana sio watu ni mapepo
Unakuta mume kajitahidi kafuta kila kitu na anajua fika yuko nyumbani lakin atapiga tu mxiuuuuuuu
 
Wako wengi saana hao wakina Naima kwa kweli nawaombea FISTULA Daima yaaani
Mume unamkula bado hata akija kwangu inakuuma kweli jamani[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahaha Cesy umetisha sana, eti fistula lol
 
Afu mwambie aache kimbelembele front cha kusema michepuko tusipewe treatment za wife! Kwani sisi wio wanwake? Huyo mke ana nini na sisi tuna nini? Na mmind nimetoa like kishingo upandee tu ila ajue sio poa kukata tawi nilio kalia fanani wake. Heheeeeeee!
Hhhaa ukishaitwa ni mchepuko kubaliana na vyote kamwe hawezi lingana sawa na njia kuu ...atafanya ufirauniii wooote kwa mchepuko but still wife ni dhahabu atarudi kwa mkewe tuuu ...mpo hapoo nyie michepukoo[emoji3][emoji3]
 
Yaaan na hii njia inahitaji busara saana kwa kweli maana sio watu ni mapepo
Unakuta mume kajitahidi kafuta kila kitu na anajua fika yuko nyumbani lakin atapiga tu mxiuuuuuuu
Kwa kweli ni mapepo, shida yao kubwa ndoa yako ivunjike period. Na wanaume wenyewe wakujiendekeza hivi, basi tu[emoji35] [emoji35]
 
Hhhaa ukishaitwa ni mchepuko kubaliana na vyote kamwe hawezi lingana sawa na njia kuu ...atafanya ufirauniii wooote kwa mchepuko but still wife ni dhahabu atarudi kwa mkewe tuuu ...mpo hapoo nyie michepukoo[emoji3][emoji3]

Muulize mkewe wa kwanza kama tupo au hatupoo afu muulize na Ex mchepuko Mercy
 
Hahaa si bora hata dada ake Mercy, utadhani me ndo Mercy nina uchungu na mume
Adui mkubwa wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe!

Mtu anaambia MOTP kaoa, bado anang'ang'ania, mnataka afanyeje?

It's your own fault ladies!

You should love each other na mlindiane. Hapa ndipo wanaume tunapowazidia!
 
Hivi Mercy kucheat na mzava kulikuwa na tatizo gani? Nikudate wewe mume wa mtu ambaye huwezi kunioa afu atokee mtu anataka kunioa nimuache, kisa nini?

Unatania aisee, naamini haupo serious. Kama alikuwa mwema si angemwambia MOTP kuwa sioni future kwahiyo nina mtu anataka anioe? Kwanini she came clean after she has been caught? That's cheating hakuna justification yoyote hapo
 
Umeonaaaa, MOTP kadakwaaa kiboyaaa sanaaaa. Hujajuaaaa tu yaliojiriiii. Mi naweza kusema tu AROBAINI YAKE ILIFIKAAAA. Arobaini yako ikifika bwana, fanya ufanyavyo lazima udakweee.

Usikose next episodeee. MOTP nakuibia tu 40 YAKE ILIFIKA NA WHATEVER YOU DO IN DARKNESS COMES TO LIGHT. Ndo kilichomkutaaa. Usikosee.

Afu uarafiki wangu na MOTP naomba uache kama ulivo. Mwenywe nazengea zengea hapa kama fisiiii. Kwani hi mi vaccation mimi sii mind mnadhaniii? Mercy akinawaa tu, namdaka MOTP juu. Namwambia nakusaidia kule wanaoaaa. Nakuwa kama Majorey Harvey! Simbaniii.

Akitaka kuchepukaa namwambia unampitisha kwanza hapa kwa mkeo, nimfanyie ukaguziii, kama hana TBS namwambia huyo achana nae kakomaa bwanaa, bora hata flani. Mke wa digitali kama mimi ndo namuweza MOTP.

Na mimi Mungu wangu hashindwi jambo. Heheheeeeeeeeeee!

Hahahaaaa nakugawa bure kubwa la maadui, unajifanya mke wa mwendokasi sio unamchagulia mume mchepuko.

Jada naye ndio anajifanya hiyo kuwa ni siri ya kudumu kwenye ndoa na Will Smith, kwamba Will huwa ana muomba ruhusa ya kuchepuka na yeye Hana noma anamruhusu. Utakuwa umedesa kwa Jada
 
Adui mkubwa wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe!

Mtu anaambia MOTP kaoa, bado anang'ang'ania, mnataka afanyeje?

It's your own fault ladies!

You should love each other na mlindiane. Hapa ndipo wanaume tunapowazidia!
Excuse us. Wewe mwanaume mwenye commitment nije nikulindie commitment yako mimi mchepuko???? Tulia na mkeo huko bana

Wewe usimpende na kumlinda mkeo, mchepuko ndo uje umlinde? Akhuu
 
Unatania aisee, naamini haupo serious. Kama alikuwa mwema si angemwambia MOTP kuwa sioni future kwahiyo nina mtu anataka anioe? Kwanini she came clean after she has been caught? That's cheating hakuna justification yoyote hapo
Teh my daddy anasemaga kama hauna ndoa there is no cheating, ni multiple relationships tu. Anayecheat ni aliye kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom