carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Lara kampendelea bhana ila atleast alidakwa kua ana cheat japo evidence alivutaWapi busha, tezi dume, kaswende, gono, ngoma au kufumaniwa na mke wa mtu? Yaani kweli huyu MOTP katoka salama kote huko?
hahahaaa nyamaza tuNgoja tu ninyamaze kwanza
Yaani akipelekwa simiyu na mapambio ataanza kuimba dadeqSijui nikuombee njaa tu? Upelekwe simiyu uko, dadeq mbona ayo mapepo yenyewe yatakukimbia.. Wa kishua ukienda kijijini ata zikija izo unazojidai sijui penalty, utaona kuliko ufunge goli bora tu usepe na mpira kbs hahaa, uwaziri wa huruma utauacha tu cz pesa yote utainvest urud mjini..bt kwa kua ulishawahi kumsaidia Lara alipokua shidani.. Wacha niskuombee njaa. Kikombe chako kifurike.. Ila naomba tu nguvu za kiume zikupungue.
[emoji23] [emoji23] hili jibu ni jepesi sana,mjibie basi ata MOTPSame reason inayosababisha wanawake kucheat ndio hiyo hiyo inasababisha tunacheat.
Ukijibiwa niite nina swali jingineMOTP au mwanaume yeyote anisaidie tu kujibu hili swali rahisi, kwa nini wanaume tuna cheat?
Ukijibiwa niite nina swali jingine
Upendeleo gani sasa?
Amechange wapiiii!! Huyo anamlia tu timing Mercy, jasiri haachi asili.Man of the people has changed unexpectedly.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]story hii imetufundisha nini?
Wanandoa muheshimiane na muombeane pia, mfunge mmeo/mkeo kwa maombi.
kupiga penalty hovyo kuna madhara makubwa, mwiko kulinganisha kitambi cha mmeo na cha vijana wanaochomekea vzr..., NJIA YA KWENDA KWA MKEMIA MKUU NA IOTE MAJANI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah, tukiamua kuijenga basi tuijenge wote, sio mmoja anajenga mwingine busy kujifanya ana mapepo, mfyuuuu!!Yani kwa hapo, ntakuwa na roho nzuri. Ndoa ni continous efforts za watu wawili
Mie sichezi nae tena kwakweli.Dooh!lara 1 namna gani tena?[emoji24] [emoji24]
Akifika kwa anko gwaji chambe kwanzaaaaa ndio maombi yaendelee.Kama ni maombi tumpeleke kwa gwajima kwakweli,et ana mapepo nmechoka kwakweli
Kwa kweli that kind of heshima me siitaki. Heshima inayomatter zaidi ni ile ya kumuheshimu mkeo akiwa mbali na wewe periodSasa popote mbinguni na duniani Mercy ndio anajulikana mke wa MOTP. Wengine watajitahidi tu kula good time kwa kitambo ila mwenye hati miliki ni mke. Kauli ya MOTP kwamba anampenda na kumheshimu mkewe ni pumba kabisa, unasemaje unamheshimu mkeo huku dudu unaigawa nje kiholela?
Wacha we!!to be honest napenda mwanaume ambaye anapenda watoto wake na kumheshmu mkewe
mengine kuvmiliana jaman
Hahaa wajipunge wenyewe mapepo yaoYeah, tukiamua kuijenga basi tuijenge wote, sio mmoja anajenga mwingine busy kujifanya ana mapepo, mfyuuuu!!
Si ndio maana akina motp wapo kila kona, tumewazoesha kuwa cha msingi ni tule,tuvae na tuishi pazuri baaaasi. Sasa unategemea nini? Tutegemee tu kufanyia maombi mapepo hewa huku bwana shetani yuko beach anakunywa tu juice taratiiiibu!Eeeh wanaume wanapenda sana wanawake kama wewe
Heshima nzuri zaidi ni kubehave when your woman is not around. Sio ukiwa naye unajifanya kumuheshimu, akitoka tu unakuwa public property khaa
Kukaba hatuwakabi walaaa, jitoeni tu ufahamu. Na heart attack hazitupati ng'oooo. Ila nikigundua..................You have a strong heart dadaa!
Waache akina Heaven sent wajidai wanakaba hadi penat, wataambulia heart attack za bureee!
Vinakuja maana its not the end ujue!!Wapi busha, tezi dume, kaswende, gono, ngoma au kufumaniwa na mke wa mtu? Yaani kweli huyu MOTP katoka salama kote huko?
Na akipata magonjwa ni wako huyo umuuuuuguze mwisho akufie, kiruuuuuuuu!(wanajisemea wachaga)yaaan hawa viumbe mi sijui ata wakoje,hata siku moja huezi kuta akishare shida za maisha na mchepuko
bata sasa,yote 9 10 kumla mara mbili au tatu apite hivi
wewe unayempa mpapa asubuhi mchana na jion kutwa mara 3 km dozi
unafua,unapika cjui unaenda labour............mtoko mwisho honeymoon
zenji utaisikia kwenye taarifa ya habari
unajiona maneno yako? dawa yako MOTP tu ww[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo pa kulinganisha vitambi ni ngumu ujue!! Inatokeaga tu automatic.